Woyooooo!!!Wee kajamaa sema huna hela, siyo mbaya ukijikuna unapofikia. Kama una uwezo wa kutoa zawadi ya 10k inatosha. Mwenzako ana uwezo wa kutoa zawadi ya gari 60m. Ni uwezo wake, hakuna mjinga wala wala mjanja. Ni kupenda na uwezo.
Iliyo kwenye uwezo wako mzeeshingapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na usiombe uwe na wapangaji ambao kodi wanalipiwa(wadada) wanakuwa wasumbufu kulipa ukiwauliza wanasema bado sijapewa.
kuna msemo unasema eti miti inaongea maana yake wanatumia uchawiKuna masuala yanashangaza sana, kivipi ubebe jukumu la kumlea mtu mzima mwenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya kazi. Huko wapi huo u-independent and u-strong woman ambao wanawake wanajitamba nao kila siku.
Kushamili kwa huu upuuzi wanaume pia tunastahiri lawama. Kwanini wanawake hawathamini tena kujitunza mpaka watakapoelewa? kwa sababu wanajua wakimalizana na umalaya wao kuna masimp kibao mtaani
Angalia alichokifanya Aziz kii, kaoa single mother wa watoto ambao kila mmoja ana baba ake, tena mtoto mmoja ana utata wa nani baba ake halisi. utaanzaje kuwafundisha mabinti wadogo na wakina dada umuhimu wa kujitunza wakati wanaona mpaka malaya mashuhuri mjini wanaolewa.
Boss lady la kibantuSiku hizi tunajengewa nyumba, tena maghorofa. Uko nyuma sana na taarifa. Kupangiwa iko so Yesterday.
Siku zote wanawake wanataka kile ambacho mwanaume huna. Ukiweza timiza na ikishindikana mute endelea kuutunza mwili wako na akili yako.halafu hawa viumbe kadri unavyokuwa mwema kwao ndiyo wanakushusha kumamak€ kweli
GumuHakika ni gumu kuliko
Diamond kwa sasa ni mjasiriamali. Hata mahusino yake anayaweka kwenye ujasiriamali. Wanawake wote ambao hawamuingizii pesa anawapiga chini faster.Kutembea na mondi ni fursa ambayo angekuwa na akili ya kujiongeza kidg tu angeweza kutoboa kwa sababu mondi ana platform nyingi ambazo zinamfanya hata ndugu zake wa damu asiwape hela bali watumie hizo platform kupata hela kama kina esma na ricardo momo
Sasa madem kama huyu wakutegemea K Tu impe kila kitu wanasahau kwamba K ukiizoea haina maajabu tena ya kukufanya utoe hela kama mwanzo alivo bwege alikuwa anasubir gar nani akununulie gar mtu usiyeweza kununua mafuta ili wahun waanze kukunulia mafuta wakubutue
Msipojiongeza mtaliwa bure sana
Siyo kodi, kuna ambao tulijengewa nyumba kwa sababu hawakutaka tukae kwenye za kupanga 😅je wewe unaweza mlipia kodi mtu ambaye hujamuoa ??
ujinga ni kipaji 🤣🤣Ujinga ni kipaji
ujinga ni kipaji 🤣🤣
Kuwah na huruma dada 🤔Siku hizi tunajengewa nyumba, tena maghorofa. Uko nyuma sana na taarifa. Kupangiwa iko so Yesterday.
Kusomesha pia ni mwiko hata kama ni mkeo otherwise ana watoto wa 3Suala la kulipia demu kodi ni gumu dunia kote sio kwa Mond tu ndiyo maana nasemaga kuoa ni kwa ajili ya watu dhaifu 🤣
wanaume nice guy huwa inalipa kodi hadi milioni 3 eti..! Dah halafu unalikuta linalipa hiyo kodi hata bima ya afya hana.
Mimi nakumbuka niliwahi kuachana na demu mmoja mseng& nilikuwa ni kweli namlipia kodi ila huyo mseng& alikuwa anataka mimi nisiwe na chochote yani nilikuwa hata kuvaa kwangu shida kumamak& ila toka nimepigana nae chini nimepiga hatua kubwa halafu wale waseng& wanaenda hadi kwa waganga kukupiga juju🤣🤣🤣🤣
Quote
je wewe unaweza mlipia kodi mtu ambaye hujamuoa ??