Suala la kuomba unyumba na kunyimwa linaumiza sana

Mimi wa hivo huwa nawashusha walale sakafuni huko sitaki majaribu ya kipumbavu
 
Alianza hivi baadae mm ndo naamua lini nile kidude chake nakaaga hata miaka 4 nikiamua
 
Hapo penye mpesa hapo.....we kaka unajuaaaaaa.....unajuaaaaaaaa
 
Masking,umemgeuza mtumwa wa ngono,
Anyways anasifiwa mtaani ,ni mke wa fulani huyu🤣🤣🤣
 
Siku nyingine usiombe. We paramia tu huku Abdala kasimama si ni mkeo bana tuone kama atapeleka kesi police kwamba AMEBAKWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…