vanus
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 1,151
- 2,896
Mchana bodaboda alisimamia ukucha mama amechoka.Mnanyimwa u house
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchana bodaboda alisimamia ukucha mama amechoka.Mnanyimwa u house
😅😅Haiombwi ivyo mkuu ongeza ubunifuUsiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka.
Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
😂😂ChululuSi heri ANinyime tu, wengine anakunyima na mkilala anajifanya anajiweka sawa matakk yake yote anayaleta kwenye chululuuu...
Sasa bora awe kalala na nguo nzito ila ni night dress hiyo atakugusisha zigo lake na ukimgusa Hataki.
Yani wana torturing ambayo unaweza jichukulia maamuzi mkononi ukaonekana Mbakaji.
Kama nikweli uyasemayo achana na mpenzi wa watu 😀Akimgusa anapigwa teke.
Basi we na jamaa yako Kuna boda boda wameshafanya Yao. Mmezidiwa ufundi. Wakagueni marinda wake zenuMbona story inataka kufanana na ya kwangu aisee nilijua ni mimi peke yangu pole mkuu
Mpenzi yupi mkuuKama nikweli uyasemayo achana na mpenzi wa watu 😀
Ulishawahi kupigwa mashine na mkurya Kwa kutumia mbinu hiyo dada?We ni mkurya?!
Waaaambieeee haooo...wanadhani wameoaa marobot😏😏Mchana wote mke hajaona dalili ya upendo hata kidogo, hakuna msg wala simu umwambie mkeo neno zuri zuri... Mnatoka kazini mume hujaona hata pipi njiani pia hata karanga ya 500? Unafika nyumbani hujui hata neno moja tamu la kumwambia mke... hata kumkonyeza hakuna...hata kumbambia mmekutana koridoni kidogo hakuna! Mnapanda kitandani ndio unakumbuka kuwa una mke unatia tia tu kama kuku unamaliza unageukia pembeni unakoroma...jinga kabisa wewe. Kesho yake ukiomba tena lazima unyimwe. Wote mnaolalamika huu ndio utaratibu wenu katika mapenzi. Ninakotoka mimi ni aibu kubwa mume kulalamika amenyimwa unyumba.
Umetisha Sana mkuu 😂Ukinyimwa unyumba na mke mwanaume unawesa kuwa na hasira mpaka ukahisi Dunia yote inakuelemea.
Tena anae kunyima una kuta hajali na wala hana muda na wewe kabisaa.
Mi wangu alivyo ni nyima nikamuundia kosa niliponda sura yake na mabanzi akaumuka.
Baadae nika bembeleza akanipa unyumba.Kati kati ya Show nika mchana ukiwa una ninyima nakuwa na hasira sana hivyo usininyime maana naweza kuvunja meno ya mbele.
Tangu hapo mi show nabonda muda wowoteeee
Mletee mwenzie kaka stress za nn. .hela utafute kwa jasho mbususu nayo changamoto halafu mkeo. ..cku inayofuata tu atajua kuna mwenzieUsiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka.
Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
Haiombwi ivoKwani unyumba huwa unaombwa boss? Huwa unasema “njoo tufanye mapenzi”?