Suala la kuomba unyumba na kunyimwa linaumiza sana

Suala la kuomba unyumba na kunyimwa linaumiza sana

Hahaha..........nitafurahi ukiniletea hiyo Kiko Mjukuu, maana Babu yako nina arosto sana leo 😊

Kuna mambo sio rahisi kuyakuta kwa Vijana wa miaka hii as wengi hawakufundishwa, kama Wazee tumeona tuwapitishe kidogo 🤪
Wafundishe hawa vijana hawajui kitu
 
Kauli hizi:

Nimechoka
Humalizi tu na wewe
Mbona hukojoi
Basi maliza na wewe
Kojoa basi na wewe

Ukisikia hivyo jua hapo umedandia mtumbwi wa Vibwengo
Na huwa zinaondoa sana mood ya tendo.

Kwa utafiti usio rasmi, Wanawake wa Pwani wengi huwa wako ready muda wowote.

Na kama utakuwa humnyimi vihela vya Madera mapya na elfu 5 tano za vikoba kila wiki basi utakuwa unapewa hadi useme umechoka 🏃🏃
 
Usiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.

Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka.

Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
tumia akili mzee jifanye hutaki kabisa hiyo kitu ndoa ni uvumilivu mwingi, akiona hivyo utajikuta anakuangushia mguu au mkono huku hana hata night dress ,ukipewa ni vitendo tu usiongee unamkunja haswa
 
Hayo matatizo utayakuta kwenye ndoa za kikiristo lakini ndoa za kiislamu huwezi kuyakuta wanajua ukizingua mme anaongeza make mwingine.
 
Mchana wote mke hajaona dalili ya upendo hata kidogo, hakuna msg wala simu umwambie mkeo neno zuri zuri... Mnatoka kazini mume hujaona hata pipi njiani pia hata karanga ya 500? Unafika nyumbani hujui hata neno moja tamu la kumwambia mke... hata kumkonyeza hakuna...hata kumbambia mmekutana koridoni kidogo hakuna! Mnapanda kitandani ndio unakumbuka kuwa una mke unatia tia tu kama kuku unamaliza unageukia pembeni unakoroma...jinga kabisa wewe. Kesho yake ukiomba tena lazima unyimwe. Wote mnaolalamika huu ndio utaratibu wenu katika mapenzi. Ninakotoka mimi ni aibu kubwa mume kulalamika amenyimwa unyumba.
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
 
Kumbe kuna kunyimwa tena, ngoja niendelee kuchukua notice ili nikija kuingia kwenye ndoa nichukulie baridaa
 
Siwezi acha Pangia michepuko Nyumba, Siwezi maana ukisema mtumie Lodge/hotel gharama ni nyingi.

ni heri niendeleze kautaratbu ka kulipia zile master za 150k kwa mwezi unalipa ya Mwaka Unatulia.

Akibana, unainuka unajinyoosha unamwambie Naenda Dukani nakuja.

Kurudi ni kesho Tena nikitoka kazini,niko mwepesiiiii kama Uzi wa Sufi.
Mlooa mnateseka,poleni,
 
Mwanamke akikunyima unyumba usimchukulie serious wala kuonyesha umemind, ukijichanganya atajua hiyo ndiyo fimbo ya kukuchapia na hakuna rangi utaacha ona maana hawanaga nguvu ya kutupiga wanatunyima chini ili kutuchapa kisaikolojia nakutukomoa cz wanajua wanaume tunapenda sana chini kwao

Ukinyimwa kausha alafu endelea na mambo mengine fanya kama hujui kilicho tokea, then kesho yake angalia kwenye file lako kamchepuko nenda kapooze moyo huko, ukirudi endelea na maisha yako na hata akikusogezea tulia tuli usishtuke.

Ukifanya hivyo atakosa kujiamini na atabaki kujiuliza au kuna mtu anakupa huko nje akikunyima, ukiona anajileta wewe mkazie kabisa endelea na mambo yako onyesha huna shida na kitu yake ila huduma zingine ziendelee kama kawa.

Uvumilivu utamchoka na mwisho wasiku lazima atafunguka mwenyewe na kuikali kwa uchungu, akifanya hivyo piga ila usionge chochote kula mzigo ukimaliza endelea na mishe zako,

hakika ukizingatia hili hatokaa arudie tena kukunyima.

ILA HAKIKISHA USIWE UNAWAKAUSHIA MADEMU WA NJIANI HATA KAMA UNAMKE , HUKO NDIKO TUNAKO PONEAGA
 
Usiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.

Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka.

Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
Thread hii ya saa 12 alfajiri. ....sina la kusema zaidi ya kukwambia Pole 😅
 
Usiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.

Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka.

Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
Kwenye uchumba ilikuaje?
 
Ukinyimwa unyumba na mke mwanaume unawesa kuwa na hasira mpaka ukahisi Dunia yote inakuelemea.
Tena anae kunyima una kuta hajali na wala hana muda na wewe kabisaa.

Mi wangu alivyo ni nyima nikamuundia kosa niliponda sura yake na mabanzi akaumuka.
Baadae nika bembeleza akanipa unyumba.Kati kati ya Show nika mchana ukiwa una ninyima nakuwa na hasira sana hivyo usininyime maana naweza kuvunja meno ya mbele.

Tangu hapo mi show nabonda muda wowoteeee
Mkuu mbona huo ni kama ubakaji sasa!😂😂
 
Back
Top Bottom