Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

holy spirit

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2020
Posts
856
Reaction score
1,376
Habari za jioni wakuu

Napenda kuwapa taarifa kuwa sikopeshi mwanamke yoyote hela yangu tena. Kusema kweli sijawahi kukutana na shida ya kurudishiwa hela yangu kutoka kwa mwanaume mwenzangu (niliowakopesha mimi) ila kwa wanawake yamenifika kooni. Hadi uwe mkali ndo upewe hela yako.

Nimekopesha kama wanawake sita hivi kwa kujipa moyo huyu atakuwa tofauti. Huyu ananisumbua kulipa akija huyu najifariji kwamba wanawake wote hawafanani tabia natoa tena.

Kwa hawa niliokutana nao mimi nimeona katabia fulani common, unapimwa kwanza akuone utasikia anasema "na wewe nae mwanaume mzima unadai hadi hiyo jamani".

Hii ni dalili kwamba anayo ila kwa kuwa wewe ni mwanaume anaona uzito kurudisha.

Wanawake wenye hii tabia badilikeni bwana, hata sisi wanaume ni binadamu kama nyie tunafanya kazi za kutuchosha akili na mwili, vi hela vyetu tunavyopata ndio vipoozeo.

Pia, siku nyingine unaweza kuwa na shida genuine kabisa umekwama niko kwenye nafasi ya kukusaidia nikaishia tu kukwambia Niko vibaya.
 
Habari za jioni wakuu

Napenda kuwapa taarifa kuwa sikopeshi mwanamke yoyote hela yangu tena. Kusema kweli sijawahi kukutana na shida ya kurudishiwa hela yangu kutoka kwa mwanaume mwenzangu (niliowakopesha mimi) ila kwa wanawake yamenifika kooni. Hadi uwe mkali ndo upewe hela yako.

Nimekopesha kama wanawake sita hivi kwa kujipa moyo huyu atakuwa tofauti. Huyu ananisumbua kulipa akija huyu najifariji kwamba wanawake wote hawafanani tabia natoa tena. Kwa hawa niliokutana nao mimi nimeona katabia fulani common, unapimwa kwanza akuone utasikia anasema "na wewe nae mwanaume mzima unadai hadi hiyo jamani". Hii ni dalili kwamba anayo ila kwa kuwa wewe ni mwanaume anaona uzito kurudisha.

Wanawake wenye hii tabia badilikeni bwana, hata sisi wanaume ni binadamu kama nyie tunafanya kazi za kutuchosha akili na mwili, vi hela vyetu tunavyopata ndio vipoozeo. Pia, siku nyingine unaweza kuwa na shida genuine kabisa umekwama niko kwenye nafasi ya kukusaidia nikaishia tu kukwambia Niko vibaya.
Okay 👍
 
Sasa utamkopeshaje mwanamke hela? Na huyo mwanamke aliyekopa kwa mwanamme ataanzaje kumlipa wakati ana mbususu chakula pendwa kwa wanaume? Ukimpa hela mwanamke automatically unataka mbususu! Shauli yako!
Sio wanawake wote tunapita nao mkuu. Sa zingine sitaki mbususu nataka hela yangu
 
Habari za jioni wakuu

Napenda kuwapa taarifa kuwa sikopeshi mwanamke yoyote hela yangu tena. Kusema kweli sijawahi kukutana na shida ya kurudishiwa hela yangu kutoka kwa mwanaume mwenzangu (niliowakopesha mimi) ila kwa wanawake yamenifika kooni. Hadi uwe mkali ndo upewe hela yako.

Nimekopesha kama wanawake sita hivi kwa kujipa moyo huyu atakuwa tofauti. Huyu ananisumbua kulipa akija huyu najifariji kwamba wanawake wote hawafanani tabia natoa tena.

Kwa hawa niliokutana nao mimi nimeona katabia fulani common, unapimwa kwanza akuone utasikia anasema "na wewe nae mwanaume mzima unadai hadi hiyo jamani".

Hii ni dalili kwamba anayo ila kwa kuwa wewe ni mwanaume anaona uzito kurudisha.

Wanawake wenye hii tabia badilikeni bwana, hata sisi wanaume ni binadamu kama nyie tunafanya kazi za kutuchosha akili na mwili, vi hela vyetu tunavyopata ndio vipoozeo.

Pia, siku nyingine unaweza kuwa na shida genuine kabisa umekwama niko kwenye nafasi ya kukusaidia nikaishia tu kukwambia Niko vibaya.
jinsia ya kike ni wa kuwavumilia na kuwasaidia tu. binafsi haikuwa kumkopesha, kuna dada mmoja nadhani kwao alisoma peke yake na akawa tegemeo, mama na baba walishafariki hivyo ni yatima fulani na rundo la mzigo. nilimwonea huruma nikawa naye karibu. nilimpambania kama mdogo wangu, aliolewa na bado akaniona kama mtu wa muhimu kuliko wote ukiondoa mume wake. kumbe mimi sijui, amefanikiwa amepata cheo kikubwa, mwenzangu akawa anatafuta namna gani atanishukuru. awali nilijua utani tu kwa sababu hatujazidiana miaka mingi, though mi namwona kama mdogo wangu na nimeokoka anajua siwezi kuzini. alikuja kufunguka siku moja kwamba anatamani anipe zawadi, ipi? kumbe ya uzinzi, mimi nina mke na watoto anawajua. akahamishwa mkoa, nikaenda kibiashara kwenye mkoa wake, akajua nipo kwenye hotel fulani, aliuliza hadi nikaona anagonga chumbani kwangu, nilifungua tukakaaa tukaongea na hatukufanya kitu, hata baada ya kujibaraguzi mara oohh mi karibu naondoka, mara sijui nataka kurudi nyumbani nikamwambia mdogo wangu wewe unajua mimi nimeokoka, siwezi kuzini pamoja na kwamba nakupenda wewe kama mdogo wangu na upo karibu mno na mimi na ninajua unanipenda, tafadhali tuheshimiane ili mimi nisigombane na Mungu na wewe usigombane na mumeo, mumeo akikuacha mimi sitakuoa, pia mimi nikizini na wewe nitaingia kwenye mgogoro na Mungu utakaonigarimu, jambo ambalo sipo tayari. kwa msimamo wangu ule ndani ya miaka 5, sijawahi kuzini naye.

kitu nilichojiuliza, kwahiyo aliamini akizini na mimi ndio atakuwa amecompensate yale yoote niliyomsaidia maishani? na mumewe ni mtu wa maana tu Phd holder kabisa na wana maisha tu siku hizi wala hakuwa anahitaji pesa, ila penzi langu. shindwa shetani kwa Jina la Yesu.
 
Ulimkopesha ukiwa na akili zako timamu, au ndio ulikuwa unaonyesha u gentleman!?
Sio wanawake, hata ndugu hakopeshwi.
we ukitaka undugu na urafiki uvunjike, kopeshaneni
Nilikuwa na akili timamu mtu kaja kwangu akajieleza kakwama anaomna kustiriwa. By the way mi sijawahi kupata tatizo kulipwa kwa wanaume niliowakopesha
 
mwake 2020 nikiwa mkoa fulani, nilikuwa na jirani ameolewa na kijana fulani anafanyia NIDA, anaishi mkoa mwingine,pale anakuja kila Ijumaa. yule mama nadhani kuna siku alitingwa vikoba, akaja kunikopa pesa akalipe kikoba (mama mwenyewe ana salon ya kike ndogo tu naona jamaa alimfungulia), nilimpa pesa kiasi, kwenye kurudisha nikaona ananilengesha ili tumalizane, utani umevuka mpaka, na mimi kama mtu mzima najua anachokitaka. NIliamua kuweka mpaka nikamwachia na deni kuliko kuzini naye mumewe akiwa mkoa mwingine. ukiona una mke ana vikoba, mkalishe chini, mwambie siku ya kikoba uniambie lejesho bei gani nikupe, wakikosa lejesho hawa viumbe, utavuna mabua na ni wadhaifu sana.
 
jinsia ya kike ni wa kuwavumilia na kuwasaidia tu. binafsi haikuwa kumkopesha, kuna dada mmoja nadhani kwao alisoma peke yake na akawa tegemeo, mama na baba walishafariki hivyo ni yatima fulani na rundo la mzigo. nilimwonea huruma nikawa naye karibu. nilimpambania kama mdogo wangu, aliolewa na bado akaniona kama mtu wa muhimu kuliko wote ukiondoa mume wake. kumbe mimi sijui, amefanikiwa amepata cheo kikubwa, mwenzangu akawa anatafuta namna gani atanishukuru. awali nilijua utani tu kwa sababu hatujazidiana miaka mingi, though mi namwona kama mdogo wangu na nimeokoka anajua siwezi kuzini. alikuja kufunguka siku moja kwamba anatamani anipe zawadi, ipi? kumbe ya uzinzi, mimi nina mke na watoto anawajua. akahamishwa mkoa, nikaenda kibiashara kwenye mkoa wake, akajua nipo kwenye hotel fulani, aliuliza hadi nikaona anagonga chumbani kwangu, nilifungua tukakaaa tukaongea na hatukufanya kitu, hata baada ya kujibaraguzi mara oohh mi karibu naondoka, mara sijui nataka kurudi nyumbani nikamwambia mdogo wangu wewe unajua mimi nimeokoka, siwezi kuzini pamoja na kwamba nakupenda wewe kama mdogo wangu na upo karibu mno na mimi na ninajua unanipenda, tafadhali tuheshimiane ili mimi nisigombane na Mungu na wewe usigombane na mumeo, mumeo akikuacha mimi sitakuoa, pia mimi nikizini na wewe nitaingia kwenye mgogoro na Mungu utakaonigarimu, jambo ambalo sipo tayari. kwa msimamo wangu ule ndani ya miaka 5, sijawahi kuzini naye.

kitu nilichojiuliza, kwahiyo aliamini akizini na mimi ndio atakuwa amecompensate yale yoote niliyomsaidia maishani? na mumewe ni mtu wa maana tu Phd holder kabisa na wana maisha tu siku hizi wala hakuwa anahitaji pesa, ila penzi langu. shindwa shetani kwa Jina la Yesu.
Unastahili pongezi
 
Usimp una uhusiano gani na mtu kukopa hela. Watu wenyewe wanaojifanya alpha sijui bad boys madem zao tunapita nao tu za unajiuliza huyu SI alpha dem wake anafanya nini kwangu kwanini asmlilie huko
Usimp unahusika kwa sababu unawakopesha malaya watatu hawakulipi hapo ulitakiwa ujifunze

Ulivyo msenge bado unaendelea mpaka wanafika malaya 6 na wote wanakuchinjia baharini hiyo ni akili ya masculine au simp?
 
Back
Top Bottom