Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

jinsia ya kike ni wa kuwavumilia na kuwasaidia tu. binafsi haikuwa kumkopesha, kuna dada mmoja nadhani kwao alisoma peke yake na akawa tegemeo, mama na baba walishafariki hivyo ni yatima fulani na rundo la mzigo. nilimwonea huruma nikawa naye karibu. nilimpambania kama mdogo wangu, aliolewa na bado akaniona kama mtu wa muhimu kuliko wote ukiondoa mume wake. kumbe mimi sijui, amefanikiwa amepata cheo kikubwa, mwenzangu akawa anatafuta namna gani atanishukuru. awali nilijua utani tu kwa sababu hatujazidiana miaka mingi, though mi namwona kama mdogo wangu na nimeokoka anajua siwezi kuzini. alikuja kufunguka siku moja kwamba anatamani anipe zawadi, ipi? kumbe ya uzinzi, mimi nina mke na watoto anawajua. akahamishwa mkoa, nikaenda kibiashara kwenye mkoa wake, akajua nipo kwenye hotel fulani, aliuliza hadi nikaona anagonga chumbani kwangu, nilifungua tukakaaa tukaongea na hatukufanya kitu, hata baada ya kujibaraguzi mara oohh mi karibu naondoka, mara sijui nataka kurudi nyumbani nikamwambia mdogo wangu wewe unajua mimi nimeokoka, siwezi kuzini pamoja na kwamba nakupenda wewe kama mdogo wangu na upo karibu mno na mimi na ninajua unanipenda, tafadhali tuheshimiane ili mimi nisigombane na Mungu na wewe usigombane na mumeo, mumeo akikuacha mimi sitakuoa, pia mimi nikizini na wewe nitaingia kwenye mgogoro na Mungu utakaonigarimu, jambo ambalo sipo tayari. kwa msimamo wangu ule ndani ya miaka 5, sijawahi kuzini naye.

kitu nilichojiuliza, kwahiyo aliamini akizini na mimi ndio atakuwa amecompensate yale yoote niliyomsaidia maishani? na mumewe ni mtu wa maana tu Phd holder kabisa na wana maisha tu siku hizi wala hakuwa anahitaji pesa, ila penzi langu. shindwa shetani kwa Jina la Yesu.
babako alilea shoga😕😕😕😕
 
umenitukana bila sababu yeyote, ningaliweza kukutamkia kitu kikatokea kama nitakavyotamka, lakini nakusamehe na Mungu akusamehe, akufungue macho ujue umuhimu wa kuishi maisha matakatifu ya kumhofu Mungu. maisha ya dunia hii yanapita, hivyo unavyojiona mjanja, hujakamatika tu, mtafute Mungu ungalipo na nafasi. Mungu akusaidie. nasema hivi kwa sababu I just felt it in my heart not to speak anything bad against you, kwa sababu kingekupata hakika, ndio maana nimeamua kukusamehe na kukutakia mema. ogopa watu waliookoka kuliko chochote, nakushauri.
Kafie pemba huko
 
Kama
Kawaida yako kuna mmoja niliwai mkopa 30k wakati wa kulipa nikamwambia achana nayo, siku kupita akaja nikopa tena umefika wakati wa kulipa mara mikutumie kwa namba ipi nipo kwa wakala, mara oooh wakala kasema hana hela ntaenda badae, badae mara nliacha simu hostel nikaenda discussion . Lengo tu asikie baki nayo.

Ila nilimkomalia akalipa na ikawa mara ya mwisho kukopa kwangu
Ndio zao ni mda wa kuweka heshima kwenye hela zetu
 
Wewe ndio uko troubled ndio maana umetuletea matatizo yako humo ya kudhulumiwa na malaya
Pitia comments zetu kutoka juu hadi hapa halafu judge objectively who sounds stupid and who sounds wise kati yetu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutotaka kulipa deni hio ndio dalili yenyewe ya kukutaka, au wewe unataka uonyeshwe dalili gani ili ujue kua mwanamke anakutaka?
Hapo anajua ukimkula ndio tayari ameshakupata na lengo lake la kukopa linakua tayari limefanikiwa.
Duuh 😂 kazi ipo mi sijajaliwa uwezo wa kusoma dalili za kutakwa
 
jinsia ya kike ni wa kuwavumilia na kuwasaidia tu. binafsi haikuwa kumkopesha, kuna dada mmoja nadhani kwao alisoma peke yake na akawa tegemeo, mama na baba walishafariki hivyo ni yatima fulani na rundo la mzigo. nilimwonea huruma nikawa naye karibu. nilimpambania kama mdogo wangu, aliolewa na bado akaniona kama mtu wa muhimu kuliko wote ukiondoa mume wake. kumbe mimi sijui, amefanikiwa amepata cheo kikubwa, mwenzangu akawa anatafuta namna gani atanishukuru. awali nilijua utani tu kwa sababu hatujazidiana miaka mingi, though mi namwona kama mdogo wangu na nimeokoka anajua siwezi kuzini. alikuja kufunguka siku moja kwamba anatamani anipe zawadi, ipi? kumbe ya uzinzi, mimi nina mke na watoto anawajua. akahamishwa mkoa, nikaenda kibiashara kwenye mkoa wake, akajua nipo kwenye hotel fulani, aliuliza hadi nikaona anagonga chumbani kwangu, nilifungua tukakaaa tukaongea na hatukufanya kitu, hata baada ya kujibaraguzi mara oohh mi karibu naondoka, mara sijui nataka kurudi nyumbani nikamwambia mdogo wangu wewe unajua mimi nimeokoka, siwezi kuzini pamoja na kwamba nakupenda wewe kama mdogo wangu na upo karibu mno na mimi na ninajua unanipenda, tafadhali tuheshimiane ili mimi nisigombane na Mungu na wewe usigombane na mumeo, mumeo akikuacha mimi sitakuoa, pia mimi nikizini na wewe nitaingia kwenye mgogoro na Mungu utakaonigarimu, jambo ambalo sipo tayari. kwa msimamo wangu ule ndani ya miaka 5, sijawahi kuzini naye.

kitu nilichojiuliza, kwahiyo aliamini akizini na mimi ndio atakuwa amecompensate yale yoote niliyomsaidia maishani? na mumewe ni mtu wa maana tu Phd holder kabisa na wana maisha tu siku hizi wala hakuwa anahitaji pesa, ila penzi langu. shindwa shetani kwa Jina la Yesu.
Ili ni tatizo
 
Habari za jioni wakuu

Napenda kuwapa taarifa kuwa sikopeshi mwanamke yoyote hela yangu tena. Kusema kweli sijawahi kukutana na shida ya kurudishiwa hela yangu kutoka kwa mwanaume mwenzangu (niliowakopesha mimi) ila kwa wanawake yamenifika kooni. Hadi uwe mkali ndo upewe hela yako.

Nimekopesha kama wanawake sita hivi kwa kujipa moyo huyu atakuwa tofauti. Huyu ananisumbua kulipa akija huyu najifariji kwamba wanawake wote hawafanani tabia natoa tena.

Kwa hawa niliokutana nao mimi nimeona katabia fulani common, unapimwa kwanza akuone utasikia anasema "na wewe nae mwanaume mzima unadai hadi hiyo jamani".

Hii ni dalili kwamba anayo ila kwa kuwa wewe ni mwanaume anaona uzito kurudisha.

Wanawake wenye hii tabia badilikeni bwana, hata sisi wanaume ni binadamu kama nyie tunafanya kazi za kutuchosha akili na mwili, vi hela vyetu tunavyopata ndio vipoozeo.

Pia, siku nyingine unaweza kuwa na shida genuine kabisa umekwama niko kwenye nafasi ya kukusaidia nikaishia tu kukwambia Niko vibaya.
NAKAZIA 📌🔨
 
Usimp unahusika kwa sababu unawakopesha malaya watatu hawakulipi hapo ulitakiwa ujifunze

Ulivyo msenge bado unaendelea mpaka wanafika malaya 6 na wote wanakuchinjia baharini hiyo ni akili ya masculine au simp?
Haya hapa, soma paragraph ya pili halafu jitafakari kama ulikuwa unataka kujenga hoja kulikuwa na haja gani ya kutumia hilo tusi?
 
Back
Top Bottom