Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

Wanawake wengine wanakopa sio kama wanashida na pesa, wanawake hua wanaona haya kumtongoza mwanaume anaempenda hivyo anakutongoza kwa njia ya kukuomba umkopeshe, maana wanajua pesa ya mwanaume hua hailiwi kizembe, kivyovyote mkopeshaji atahitaji kufidia pesa yake kupitia mwili wake

Kwa niliowakopesha sijaona dalili za mtu kunitaka, wanahitaji tu kutatua changamoto zao ila kwenye kulipa sijui ndo hawataki kukulipa pesa anakusumbua ili labda ndo umwambie njoo nikule tumalizane
 
Kwa niliowakopesha sijaona dalili za mtu kunitaka, wanahitaji tu kutatua changamoto zao ila kwenye kulipa sijui ndo hawataki kukulipa pesa anakusumbua ili labda ndo umwambie njoo nikule tumalizane
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutotaka kulipa deni hio ndio dalili yenyewe ya kukutaka, au wewe unataka uonyeshwe dalili gani ili ujue kua mwanamke anakutaka?
Hapo anajua ukimkula ndio tayari ameshakupata na lengo lake la kukopa linakua tayari limefanikiwa.
 
jinsia ya kike ni wa kuwavumilia na kuwasaidia tu. binafsi haikuwa kumkopesha, kuna dada mmoja nadhani kwao alisoma peke yake na akawa tegemeo, mama na baba walishafariki hivyo ni yatima fulani na rundo la mzigo. nilimwonea huruma nikawa naye karibu. nilimpambania kama mdogo wangu, aliolewa na bado akaniona kama mtu wa muhimu kuliko wote ukiondoa mume wake. kumbe mimi sijui, amefanikiwa amepata cheo kikubwa, mwenzangu akawa anatafuta namna gani atanishukuru. awali nilijua utani tu kwa sababu hatujazidiana miaka mingi, though mi namwona kama mdogo wangu na nimeokoka anajua siwezi kuzini. alikuja kufunguka siku moja kwamba anatamani anipe zawadi, ipi? kumbe ya uzinzi, mimi nina mke na watoto anawajua. akahamishwa mkoa, nikaenda kibiashara kwenye mkoa wake, akajua nipo kwenye hotel fulani, aliuliza hadi nikaona anagonga chumbani kwangu, nilifungua tukakaaa tukaongea na hatukufanya kitu, hata baada ya kujibaraguzi mara oohh mi karibu naondoka, mara sijui nataka kurudi nyumbani nikamwambia mdogo wangu wewe unajua mimi nimeokoka, siwezi kuzini pamoja na kwamba nakupenda wewe kama mdogo wangu na upo karibu mno na mimi na ninajua unanipenda, tafadhali tuheshimiane ili mimi nisigombane na Mungu na wewe usigombane na mumeo, mumeo akikuacha mimi sitakuoa, pia mimi nikizini na wewe nitaingia kwenye mgogoro na Mungu utakaonigarimu, jambo ambalo sipo tayari. kwa msimamo wangu ule ndani ya miaka 5, sijawahi kuzini naye.

kitu nilichojiuliza, kwahiyo aliamini akizini na mimi ndio atakuwa amecompensate yale yoote niliyomsaidia maishani? na mumewe ni mtu wa maana tu Phd holder kabisa na wana maisha tu siku hizi wala hakuwa anahitaji pesa, ila penzi langu. shindwa shetani kwa Jina la Yesu.
Kongole kwako Mlokole
 
Mkuu sijaelewa, ananipima kwenye kutoa hela au pale nilipo mu approach?
Yote majibu ,ukitoa hela utakutana na usumbufu Tu wakukurudishia (Vuta picha kabla ya mahusiano yenu hela alikuwa anakopaga wapi?,Mtu hata hamjuani vzr unakopesha Tu labdah uwe tayari kupoteza

2.Ulivomuapproach kuna wengine hutumia vizinga kama mbinu yakukufuza,kama mbinu yakukuonesha humjali kwahio uamuzi ni wako kama Una hela za kuchezea mwaga kama huna pita hivi maana kama anakupenda utiii na heshima ni vitu vya kwanza
 
Ila huyu sio msimamo hana kwelii ndo maana alikuja kujibu usikuuu..!aliitafuta akakosa
Hamna mkuu pesa ipo ninayo, na nilikuwa na uwezo wa kumpa, ila ni mapema sana. Hatuna ukaribu kiivyo nawezaje kukuamini?.
 
Hamna mkuu pesa ipo ninayo, na nilikuwa na uwezo wa kumpa, ila ni mapema sana. Hatuna ukaribu kiivyo nawezaje kukuamini?.
Afu 20 au afu 10 huwa ni kipimo cha faster kuona kama unajiweza ilaa ukikosa hata afu 20 ya kupoteza ndugu yangu sasa laki ya kuhudumia utakuwa nayo.
 
Yote majibu ,ukitoa hela utakutana na usumbufu Tu wakukurudishia (Vuta picha kabla ya mahusiano yenu hela alikuwa anakopaga wapi?,Mtu hata hamjuani vzr unakopesha Tu labdah uwe tayari kupoteza

2.Ulivomuapproach kuna wengine hutumia vizinga kama mbinu yakukufuza,kama mbinu yakukuonesha humjali kwahio uamuzi ni wako kama Una hela za kuchezea mwaga kama huna pita hivi maana kama anakupenda utiii na heshima ni vitu vya kwanza
Yani baad ya kumu apprch, aka reject, so nika mute ikapita siku kama nne hatuna mawasiliano, ndio jana kakanipigia simu, salam, ,nikakakuliza point?, alikuwa ana nisalimia, nika kata sijakaa vzud akanitumia hio sms, wakat huo niko site nafanya shughuli flan ,nikasoma nikacheka nikavubga tu.
 
Afu 20 au afu 10 huwa ni kipimo cha faster kuona kama unajiweza ilaa ukikosa hata afu 20 ya kupoteza ndugu yangu sasa laki ya kuhudumia utakuwa nayo.
Hahaha kwakweli nafanya calculations, sasa si ana mpenz wake kwanini asimuombe aje kwangu?😂
 
Yani baad ya kumu apprch, aka reject, so nika mute ikapita siku kama nne hatuna mawasiliano, ndio jana kakanipigia simu, salam, ,nikakakuliza point?, alikuwa ana nisalimia, nika kata sijakaa vzud akanitumia hio sms, wakat huo niko site nafanya shughuli flan ,nikasoma nikacheka nikavubga tu.
Mwanamke ili umfaidi mzidi hatua moja ,hii kanuni ukicheza nayo vituko kama hivi utaona vya kawaida ,maana uyo kashakugeuza kama pikipiki posta ukituma Tu Kapotea mpaka shida ziwaunganishe
 
jinsia ya kike ni wa kuwavumilia na kuwasaidia tu. binafsi haikuwa kumkopesha, kuna dada mmoja nadhani kwao alisoma peke yake na akawa tegemeo, mama na baba walishafariki hivyo ni yatima fulani na rundo la mzigo. nilimwonea huruma nikawa naye karibu. nilimpambania kama mdogo wangu, aliolewa na bado akaniona kama mtu wa muhimu kuliko wote ukiondoa mume wake. kumbe mimi sijui, amefanikiwa amepata cheo kikubwa, mwenzangu akawa anatafuta namna gani atanishukuru. awali nilijua utani tu kwa sababu hatujazidiana miaka mingi, though mi namwona kama mdogo wangu na nimeokoka anajua siwezi kuzini. alikuja kufunguka siku moja kwamba anatamani anipe zawadi, ipi? kumbe ya uzinzi, mimi nina mke na watoto anawajua. akahamishwa mkoa, nikaenda kibiashara kwenye mkoa wake, akajua nipo kwenye hotel fulani, aliuliza hadi nikaona anagonga chumbani kwangu, nilifungua tukakaaa tukaongea na hatukufanya kitu, hata baada ya kujibaraguzi mara oohh mi karibu naondoka, mara sijui nataka kurudi nyumbani nikamwambia mdogo wangu wewe unajua mimi nimeokoka, siwezi kuzini pamoja na kwamba nakupenda wewe kama mdogo wangu na upo karibu mno na mimi na ninajua unanipenda, tafadhali tuheshimiane ili mimi nisigombane na Mungu na wewe usigombane na mumeo, mumeo akikuacha mimi sitakuoa, pia mimi nikizini na wewe nitaingia kwenye mgogoro na Mungu utakaonigarimu, jambo ambalo sipo tayari. kwa msimamo wangu ule ndani ya miaka 5, sijawahi kuzini naye.

kitu nilichojiuliza, kwahiyo aliamini akizini na mimi ndio atakuwa amecompensate yale yoote niliyomsaidia maishani? na mumewe ni mtu wa maana tu Phd holder kabisa na wana maisha tu siku hizi wala hakuwa anahitaji pesa, ila penzi langu. shindwa shetani kwa Jina la Yesu.
yaan hii ndio koment ya mwisho nimesoma
umenikera sana yani toto limejileta ukaacha kulitafuna kiroho mbaya.
unachezea bahati
 
Mara ya kwanza na ya mwisho kumkopesha hela mwanamke ni takribani miaka 12 iliyopita wakati nasoma chuo, alinilipa hela yangu jioni ya siku ambayo mchana wake nilimfata hostel kwao nikampokonya smartphone yake na kuondoka nayo kama bond ya deni.
 
jinsia ya kike ni wa kuwavumilia na kuwasaidia tu. binafsi haikuwa kumkopesha, kuna dada mmoja nadhani kwao alisoma peke yake na akawa tegemeo, mama na baba walishafariki hivyo ni yatima fulani na rundo la mzigo. nilimwonea huruma nikawa naye karibu. nilimpambania kama mdogo wangu, aliolewa na bado akaniona kama mtu wa muhimu kuliko wote ukiondoa mume wake. kumbe mimi sijui, amefanikiwa amepata cheo kikubwa, mwenzangu akawa anatafuta namna gani atanishukuru. awali nilijua utani tu kwa sababu hatujazidiana miaka mingi, though mi namwona kama mdogo wangu na nimeokoka anajua siwezi kuzini. alikuja kufunguka siku moja kwamba anatamani anipe zawadi, ipi? kumbe ya uzinzi, mimi nina mke na watoto anawajua. akahamishwa mkoa, nikaenda kibiashara kwenye mkoa wake, akajua nipo kwenye hotel fulani, aliuliza hadi nikaona anagonga chumbani kwangu, nilifungua tukakaaa tukaongea na hatukufanya kitu, hata baada ya kujibaraguzi mara oohh mi karibu naondoka, mara sijui nataka kurudi nyumbani nikamwambia mdogo wangu wewe unajua mimi nimeokoka, siwezi kuzini pamoja na kwamba nakupenda wewe kama mdogo wangu na upo karibu mno na mimi na ninajua unanipenda, tafadhali tuheshimiane ili mimi nisigombane na Mungu na wewe usigombane na mumeo, mumeo akikuacha mimi sitakuoa, pia mimi nikizini na wewe nitaingia kwenye mgogoro na Mungu utakaonigarimu, jambo ambalo sipo tayari. kwa msimamo wangu ule ndani ya miaka 5, sijawahi kuzini naye.

kitu nilichojiuliza, kwahiyo aliamini akizini na mimi ndio atakuwa amecompensate yale yoote niliyomsaidia maishani? na mumewe ni mtu wa maana tu Phd holder kabisa na wana maisha tu siku hizi wala hakuwa anahitaji pesa, ila penzi langu. shindwa shetani kwa Jina la Yesu.
Uko Kama Mimi mtumishi wa Bwana
 
Back
Top Bottom