Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Wanatisha kama nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatisha kama nini
Najua wewe unaweka na riba kabisa wakati wa kurudisha uteni na utwenti 🤣, huna pigo hizo, bana ila sijichanganyi 😂😂 (joking Mis R)Wanatisha kama nini
Yaani mimi nafanya mara 5 ya ile ulonipa😂Najua wewe unaweka na riba kabisa wakati wa kurudisha uteni na utwenti 🤣, huna pigo hizo, bana ila sijichanganyi 😂😂 (joking Mis R)
Unaona watu hawajui tu, kuna watu bana na huwa unaleta mwenyeewe 🤣🤣🤣Yaani mimi nafanya mara 5 ya ile ulonipa😂
We mbona kam unanifaham vizur sana,,uko wap nikuletee sasaiv😂😂🙌🏾Unaona watu hawajui tu, kuna watu bana na huwa unaleta mwenyeewe 🤣🤣🤣
Baada ya msimamo wako hakuendelea kujileta?jinsia ya kike ni wa kuwavumilia na kuwasaidia tu. binafsi haikuwa kumkopesha, kuna dada mmoja nadhani kwao alisoma peke yake na akawa tegemeo, mama na baba walishafariki hivyo ni yatima fulani na rundo la mzigo. nilimwonea huruma nikawa naye karibu. nilimpambania kama mdogo wangu, aliolewa na bado akaniona kama mtu wa muhimu kuliko wote ukiondoa mume wake. kumbe mimi sijui, amefanikiwa amepata cheo kikubwa, mwenzangu akawa anatafuta namna gani atanishukuru. awali nilijua utani tu kwa sababu hatujazidiana miaka mingi, though mi namwona kama mdogo wangu na nimeokoka anajua siwezi kuzini. alikuja kufunguka siku moja kwamba anatamani anipe zawadi, ipi? kumbe ya uzinzi, mimi nina mke na watoto anawajua. akahamishwa mkoa, nikaenda kibiashara kwenye mkoa wake, akajua nipo kwenye hotel fulani, aliuliza hadi nikaona anagonga chumbani kwangu, nilifungua tukakaaa tukaongea na hatukufanya kitu, hata baada ya kujibaraguzi mara oohh mi karibu naondoka, mara sijui nataka kurudi nyumbani nikamwambia mdogo wangu wewe unajua mimi nimeokoka, siwezi kuzini pamoja na kwamba nakupenda wewe kama mdogo wangu na upo karibu mno na mimi na ninajua unanipenda, tafadhali tuheshimiane ili mimi nisigombane na Mungu na wewe usigombane na mumeo, mumeo akikuacha mimi sitakuoa, pia mimi nikizini na wewe nitaingia kwenye mgogoro na Mungu utakaonigarimu, jambo ambalo sipo tayari. kwa msimamo wangu ule ndani ya miaka 5, sijawahi kuzini naye.
kitu nilichojiuliza, kwahiyo aliamini akizini na mimi ndio atakuwa amecompensate yale yoote niliyomsaidia maishani? na mumewe ni mtu wa maana tu Phd holder kabisa na wana maisha tu siku hizi wala hakuwa anahitaji pesa, ila penzi langu. shindwa shetani kwa Jina la Yesu.
ananiheshimu though hata ukikutana naye unaona anaona aibu.Baada ya msimamo wako hakuendelea kujileta?
Hiyo haijapelekea kujiweka mbali na wewe?ananiheshimu though hata ukikutana naye unaona anaona aibu.
😂😂😂 Ngoja nikirudi nakustua 🤣🤣🤣We mbona kam unanifaham vizur sana,,uko wap nikuletee sasaiv😂😂🙌🏾
Ila wao ukiwaomba wakukopeshe mbususu zao wananuna hao 🤣🤣🤣🤣🤣Wanawake sijui wanatuona sisi wote ni matako zao, mwingine eti aliniambia, sijawahi kula pesa yako hata siku moja. Nikamwangaliaaa, sasa sijui alikuwa anafikiri mi ni muha
Kitu nilichojifunza hivi karibuni, ukitaka mwanamke asikuombe pesa acha ukaribu naye usio na maana, ukijiroga utupie na voko ,anakuingiza kwenye list ya vichuna wake.wanawake hawakopeshwi na sio wa kuwasaidia kama marafiki maana wao hawasaidii labda uwe kama umetoa sadaka tu.
Kila demu ana jamaa yake, hela akaombe au kukopa anakotoa mzigo.
Mara buku umkopeshe mchizi huwa wanarudisha, hata asiporudisha ukiwa na shida iliyondani ya uwezo wake ukimsanua tu anachinja.
Kawaida yako kuna mmoja niliwai mkopa 30k wakati wa kulipa nikamwambia achana nayo, siku kupita akaja nikopa tena umefika wakati wa kulipa mara mikutumie kwa namba ipi nipo kwa wakala, mara oooh wakala kasema hana hela ntaenda badae, badae mara nliacha simu hostel nikaenda discussion . Lengo tu asikie baki nayo.Uko sahihi mkuu mi sijapata shida na masela, wanarudisha bila shida akichelewa kidogo atakwambia. Wenzetu hawa siku ya kukulipa ikifika kimya kama humdai yani
Ila wao ukiwaomba wakukopeshe mbususu zao wananuna hao 🤣🤣🤣🤣🤣
uwahi 😂😂😂😂😂 Ngoja nikirudi nakustua 🤣🤣🤣
Ole wako riba unayoweka ipungue...ndo natembea hivyo, si unajua nilikukopesha wewe akiba yotee 🤣🤣uwahi 😂😂
usiogope punguza kujieleza ivo😂😂😌Ole wako riba unayoweka ipungue...ndo natembea hivyo, si unajua nilikukopesha wewe akiba yotee 🤣🤣
Nimecheka huku 😂😂😂usiogope punguza kujieleza ivo😂😂😌