Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugumi fupa lisilotafunikaMh.Magufuli atalitumbua tu jipu la Lugumi kama ameweza kumgusa fisadi lao Bulembo na Simba roho yangu kwatu Lugumi ajipange
Mkuu usijali kuhusu Mimi ukweli si uchochezi kweli itabaki kuwa kweliUnakuta haka kajamaa Kama Tabu zake nyingi halafu kanakuja hapa lugumi lugumi, upinzani wameshindwa wewe ndo utaweza? Mwishowe wanapigwa 7m au kifungo then wanakuja kutusumbua tuchangie
Kweli inaumaUnanijaribu eeh? Mimi huwa sijaribiwi.
Mungu ni kwemaTuongeze maombi!!!
Ukweli sio majaribuUnamjaribu eeh! Hataki hayo mambo ya kujaribiana maana akichukia anaweza kugeuka mhehe mara moja na kuchukua hatua
No sense wewe ni kibalaka mkubwa sana limefanyiwa kazi kivip??Mi Tanzania bhna sijui huwa tukoje....suala LA Lugumi lishafanyiwa uchunguzi na kazi ambayo alipewa lugumi ameshaifanya katika kila kituo cha polisi....sasa kelele za nini???!
Nenda vituo vya polisi Tanzania nzima vimefungiwa mitamo.....No sense wewe ni kibalaka mkubwa sana limefanyiwa kazi kivip??
Wandugu.
Wengi kwasasa tunaelewa kinachoendelea kati ya uongozi wa jeshi la polisi na kamati ya bunge (PAC) katikati akicheza Saidi Lugumi na timu yake ya vigogo.
Hii Leo jeshi la polisi lilipaswa kua limewasilisha mkataba wao na Lugumi Enterprises ikiwa ni pamoja na payment trends in which 99 % of contract sum ishalipwa kwa lugumi elihal contract execution haijafikia hata 20%.
Katika hili ukiachilia mbali Said mwenyewe pia wanatajwa Riz ,kitwanga na Mwema. Ninaamini kabisa kua wapo wengine wengi wanene.
Kwa jeshi la polis I kushindwa kuwasilisha nyaraka hizo Leo kwa kamati ya Bunge, je ? Polisi wamepuuza amri ya Bunge ? Kuna nini ndani yake? Hapa ndipo tutakapoweza kuupima utumbuaji majipu ya kipenzi rais wetu JPM.
Na bado hii ni gichwa bado yenyewekama tulivyosema sisi kina gogo la shamba miaka hii mitano ni ya kusikia na kuona mabo mengi ya ajabu
mmmmmmmUna uhakika??
Zimefungwa lini kwa taarifa yako wewe ni muongo endelea kuwa muongo
Na uje kutuambia sababu ya kitwanga kuondolewa ni ulevi
Kama na wewe sio mlevi itakuwa umetoka kuvuta sigara kubwa
Nenda vituo vya polisi Tanzania nzima vimefungiwa mitamo.....