Suala la LUGUMI ni mtihani mgumu kwa Rais Magufuli, akiiweza hii basi tena

Suala la LUGUMI ni mtihani mgumu kwa Rais Magufuli, akiiweza hii basi tena

Unakuta haka kajamaa Kama Tabu zake nyingi halafu kanakuja hapa lugumi lugumi, upinzani wameshindwa wewe ndo utaweza? Mwishowe wanapigwa 7m au kifungo then wanakuja kutusumbua tuchangie
Mkuu usijali kuhusu Mimi ukweli si uchochezi kweli itabaki kuwa kweli
 
Mi Tanzania bhna sijui huwa tukoje....suala LA Lugumi lishafanyiwa uchunguzi na kazi ambayo alipewa lugumi ameshaifanya katika kila kituo cha polisi....sasa kelele za nini???!
No sense wewe ni kibalaka mkubwa sana limefanyiwa kazi kivip??
 
kama tulivyosema sisi kina gogo la shamba miaka hii mitano ni ya kusikia na kuona mabo mengi ya ajabu
 
Una uhakika??
Zimefungwa lini kwa taarifa yako wewe ni muongo endelea kuwa muongo

Na uje kutuambia sababu ya kitwanga kuondolewa ni ulevi

Kama na wewe sio mlevi itakuwa umetoka kuvuta sigara kubwa
 
Mbuzi wa lugumi shamba la lugumi
hakimu lugumi kesi imeletwa na familia ya lugumi atahukum lugumi
 
  • Thanks
Reactions: 999
1480048467815-jpg.440032


Wandugu.
Wengi kwasasa tunaelewa kinachoendelea kati ya uongozi wa jeshi la polisi na kamati ya bunge (PAC) katikati akicheza Saidi Lugumi na timu yake ya vigogo.

Hii Leo jeshi la polisi lilipaswa kua limewasilisha mkataba wao na Lugumi Enterprises ikiwa ni pamoja na payment trends in which 99 % of contract sum ishalipwa kwa lugumi elihal contract execution haijafikia hata 20%.

Katika hili ukiachilia mbali Said mwenyewe pia wanatajwa Riz ,kitwanga na Mwema. Ninaamini kabisa kua wapo wengine wengi wanene.

Kwa jeshi la polis I kushindwa kuwasilisha nyaraka hizo Leo kwa kamati ya Bunge, je ? Polisi wamepuuza amri ya Bunge ? Kuna nini ndani yake? Hapa ndipo tutakapoweza kuupima utumbuaji majipu ya kipenzi rais wetu JPM.
 
Una uhakika??
Zimefungwa lini kwa taarifa yako wewe ni muongo endelea kuwa muongo

Na uje kutuambia sababu ya kitwanga kuondolewa ni ulevi

Kama na wewe sio mlevi itakuwa umetoka kuvuta sigara kubwa
mmmmmmm
 
Hamna kitu hapo zaidi ya kuhangaika na wenyeviti wa mtaa.

Apite tu nae aende zake
 
Back
Top Bottom