Suala la LUGUMI ni mtihani mgumu kwa Rais Magufuli, akiiweza hii basi tena

Suala la LUGUMI ni mtihani mgumu kwa Rais Magufuli, akiiweza hii basi tena

Naskia hainaga uzalendo tunakulaga x2[emoji443][emoji444]

EPA kapita [emoji444][emoji443]
Escrow kapita [emoji444][emoji443]
Lugumi nae kapita [emoji444][emoji443]

Zamu ya nani? [emoji443][emoji444]
Zamu ya......
 
JIPU LA LUGUMI LIMEKAA NINDUMKU .....KULIPASUAA SHUGULII
 
Mleta Thread umenena kweli ila nchi yangu ya maajabu na ya kusadikika inachekesha sana.
Ni hivi mimi huwa ninasema kuwa kama Rais Maguli ni kweli anadhamira ya kutukomboa Watz. na yale maswahiba yetu ya toka sayari ya TATU,afanikishe kupatikana kwa Katiba ya Wananchi chini ya Tume ya Jaiji Warioba na iboreshwe kwa kupewa meno makali zaidi pasipo kujali huyu ni nani wala nani.
Na Katiba hiyo iondoe kinga ya Rais tuanze na wao n.k.n.k.
Otherwise workdone=Zero
 
Mheshimiwa Rais umejipambanua kama mtumbuaji majipu lakini Lugumi ni kashifa kubwa iliyoibuka katika serikali yako mbona umekaa kimya?

Au wewe unashughulikia mafisadi wa utawala uliopita? Kama lugumi ni propaganda serikali yako ikanushe raia tusiwe na hofu. Ni jambo la kushangaza kuona serikali inayopambana na ufisadi ikilinyamazia hili. Kama mengi umeyafanya kupambana na ufisadi sioni kwanini hili linakuwa gumu ?
Hata Lugumi ni ya wakati wa awamu iliyopita. Ndugu yangu naona uachane na jambo hili maana kama umefuatilia ziara ya JPM kanda utakuwa unegundua ukubwa wa mahusiano ya wawili hao
 
Mheshimiwa Rais umejipambanua kama mtumbuaji majipu lakini Lugumi ni kashifa kubwa iliyoibuka katika serikali yako mbona umekaa kimya?

Au wewe unashughulikia mafisadi wa utawala uliopita? Kama lugumi ni propaganda serikali yako ikanushe raia tusiwe na hofu. Ni jambo la kushangaza kuona serikali inayopambana na ufisadi ikilinyamazia hili. Kama mengi umeyafanya kupambana na ufisadi sioni kwanini hili linakuwa gumu ?
Lugumi hawezi kutumbuliwa kwa kuwa ni kibaraka wa RAFIKI YAKE (Kitwanga), waache waendelee kuitafuna nchi kwa raha kama kawaida yao.
 
Jipu la lugumi limeota pabaya sabab linamgusa mshikaji wake kitwanga ambaye alishiriki kwa karibu kumuingiza mkulu magogoni
 
Lugumi hawezi kutumbuliwa kwa kuwa ni kibaraka wa RAFIKI YAKE (Kitwanga), waache waendelee kuitafuna nchi kwa raha kama kawaida yao.
Ndyo maana lugumi aliwaambia washikaji zake kuwa " game hili halihitaji hasira". Kauli hii ilimaanisha jpm hawezi kumfanya chochote mwisho wa siku naibu spika Dr. Turia akalimaliza "kiana" bungeni. Kwa hili tu la lugumi linamaanisha jpm hana nia ya dhati zaidi ni kulipiza kisasi kwa wale wabaya wake
 
Ndyo maana lugumi aliwaambia washikaji zake kuwa " game hili halihitaji hasira". Kauli hii ilimaanisha jpm hawezi kumfanya chochote mwisho wa siku naibu spika Dr. Turia akalimaliza "kiana" bungeni. Kwa hili tu la lugumi linamaanisha jpm hana nia ya dhati zaidi ni kulipiza kisasi kwa wale wabaya wake
Upo sawa kwa sababu haiwezekani afanye ya nyuma yake yanamshinda
 
Mleta Thread umenena kweli ila nchi yangu ya maajabu na ya kusadikika inachekesha sana.
Ni hivi mimi huwa ninasema kuwa kama Rais Maguli ni kweli anadhamira ya kutukomboa Watz. na yale maswahiba yetu ya toka sayari ya TATU,afanikishe kupatikana kwa Katiba ya Wananchi chini ya Tume ya Jaiji Warioba na iboreshwe kwa kupewa meno makali zaidi pasipo kujali huyu ni nani wala nani.
Na Katiba hiyo iondoe kinga ya Rais tuanze na wao n.k.n.k.
Otherwise workdone=Zero
Tusiwe na Ndoto za Katiba mpya kwa serikali ya jpm sidhani kama anaweza kuleta hii Sera huku akijua itamuweka pabaya
 
Hata Lugumi ni ya wakati wa awamu iliyopita. Ndugu yangu naona uachane na jambo hili maana kama umefuatilia ziara ya JPM kanda utakuwa unegundua ukubwa wa mahusiano ya wawili hao
Hata Lugumi ni ya wakati wa awamu iliyopita. Ndugu yangu naona uachane na jambo hili maana kama umefuatilia ziara ya JPM kanda utakuwa unegundua ukubwa wa mahusiano ya wawili hao
Najua Lugumi ni fupa lisilotafunika
 
Back
Top Bottom