Suala la LUGUMI ni mtihani mgumu kwa Rais Magufuli, akiiweza hii basi tena

Ndio maana Mimi najisemea mziki nimzito kwa JPM. Ila tuvute subira tuone!!

JPM kachemsha kucheza mziki wa mafisadi...

eskrow, lugumi, wizi TRA kwa kila dk, madudu ya stanbik....

ni aibu mahakama ya mafisadi kukosa watuhumiwa.
 
Ni jipu la LUGUMI,Naona hili halitumbuliki au tabia ile ile ya CCM kulindana na kuangaliana usoni?
 
Ukweli lazima tuuseme,mpasua majipu mbona jipu hili limekushida,au unaangalia sura na ukada?ni hayo tu.
 
Lugumi unterchable. Ana kula raha tu sahizi yuko na full makomando wakimlinda sogea wakuvunje miguu.... Shikamoo pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…