Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Sasa mbona Kitwanga hajiuzulu kupisha uchunguzi?
Huyu mtu anajiamini sana, ukumbuke aliposhinda ubunge tu alijiaminisha atapewa wizara nyeti, kwa mdomo wake mwenyewe alitamka kabla baraza halijatangazwa, kumbuka pia ilichuka muda kwa baraza kutangazwa.