hawa UKAWA ni wehu sana hawana akili kabisaKwa uzi wa aina hii nadhani umo njiani kutumbuliwa na sheria ya mtandao. Pole sana, comrade
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa UKAWA ni wehu sana hawana akili kabisaKwa uzi wa aina hii nadhani umo njiani kutumbuliwa na sheria ya mtandao. Pole sana, comrade
Unamtisha nani sasa, tutasema tusiposema sisi mawe yatasemaKwa uzi wa aina hii nadhani umo njiani kutumbuliwa na sheria ya mtandao. Pole sana, comrade
mbowe alipomuuzia chama Lowasa mbona hukusema hapaUnamtisha nani sasa, tutasema tusiposema sisi mawe yatasema
Nyie takataka za UKAWA tumewachoka!Wewe utakuwa Lugumi mwenyewe au Kitwanga
Hamchoki takataka zinazoiba mnachoka zinazopiga kelele za kuibiwa? Kiburi chenu cha utajiri wa wizi kitaisha tuNyie takataka za UKAWA tumewachoka!
Unamtisha nani sasa, tutasema tusiposema sisi mawe yatasema
Rais aliomba kazi anayoifahamu, hujamfundisha na wala hutoweza kumfundisha afanye kipi na aache kipiHamchoki takataka zinazoiba mnachoka zinazopiga kelele za kuibiwa? Kiburi chenu cha utajiri wa wizi kitaisha tu
Mpango wenu CHADEMA kuiyumbisha serikali hautafanikiwa
Ukiwa na kumbukumbu kuwa kazi hiyo ili paswa kukamilika toka 2011 kwanini isinge kamilika mpaka sasa na pia ukijiuliza ni kiasi gani cha fedha kitakuwa kimesalia baada ya mgao, na je bei za mashine bado ni zile zile hapo ndio utajua kama kazi hiyo ya kufikirika ita weza kukamilika au laa.hebu mwacheni Lugumi afanye kazi, acheni kumuingilia muda si mrefu kazi itakamilika kama mkataba unavyotaka
Mimi naamini tingatinga limepanda lenyewe huko kwa umahiri wa dereva wake. kihandisi hili linawezekana. dereva anatumia huo mkononyundo wa tingatinga kulipandisha na kulishusha. kuna klipu nyingi zinazoelezea hili. Kinachofanyika ni kuwa dereva anaanda mazingira mazuri ya kusambazia kifusi cha serious fraud. hataki kifusi kuja kuwa kero baadaye kwa kukosa sehemu ya kukizambaza! Mimi ndivyo nilivyomuelewa kipanya.
Mimi naamini tingatinga limepanda lenyewe huko kwa umahiri wa dereva wake. kihandisi hili linawezekana. dereva anatumia huo mkononyundo wa tingatinga kulipandisha na kulishusha. kuna klipu nyingi zinazoelezea hili. Kinachofanyika ni kuwa dereva anaanda mazingira mazuri ya kusambazia kifusi cha serious fraud. hataki kifusi kuja kuwa kero baadaye kwa kukosa sehemu ya kukizambaza na baadaye ataleta shindilia mashine iweke sawa sehemu hiyo kabla ya kujenga jengo zuri la Uzalendo, uaminifu, utendaji kazi mzuri kwa manufaa ya watanzania wa sasa na wa vizazi vijavyo ! Mimi ndivyo nilivyomuelewa kipanya.
Uko dunia gani mkuu, sorry nchi gani?Lugumi? nipo backbencher sana hebu nielewesheni kdogo