Suala la Machinga, yafanyike haya

Hilo haliwezekani
 
Angewapenda angewajengea chinga city jangwani na karume sio kuwaacha wauze vitunguu mpaka kwenye kuta za ikulu.
 
Wapo wataalamu wa town planners, na urban designers,watumieni wawape solutions, alafu Hili ni tatizo la councils ambapo madiwani na mameya wanahusika, RC na DC Hawana ubavu wa kusolve hii tatizo
 
Wakitoka jkt unawapeleka wapi?
 
Mkuu nakuheshimu Sana unanikera unapoipongeza serikali, mambo ya kupongeza ni ya watu wajinga wasiojua majukumu ya serikali
 
Wapo wataalamu wa town planners, na urban designers,watumieni wawape solutions, alafu Hili ni tatizo la councils ambapo madiwani na mameya wanahusika, RC na DC Hawana ubavu wa kusolve hii tatizo
Hao town planners na urban designers unaowasema ndo hawa wanaoenda kupima viwanja vya makazi kwenye maeneo yenayopitiwa na mafuriko? Au wengine?
 
Machinga ni takataka waende wakalime huko,walikuwa misukule ya jpm kwa kuwachaji 20000 .that was a corruption
 
Ukiona hivyo basi kwenye hup ukuta wa ikilu wateja wapo,
Hali inatisha. Ukipita Posta maeneo ya chuo cha ifm kuelekea ikulu vimejaa vibanda kote! Alafu bora vingekuwa vimejengwa kwa mpangilio na standard moja inayofanana. Ni uchafu mtupu, watu wamejaza vibanda vilivyojengwa hovyo bila mpangilio na sasa vimefanya watu watembee barabarani yanapopita magari.

Miaka ya 90 na 2000 mwanzoni yake maeneo ndo tulikuwa tunaenda kupunga upepo na kutembea lure fresh Ila sasa hivi ni kero na uchafu mtupu
 
Mkuu nakuheshimu Sana unanikera unapoipongeza serikali, mambo ya kupongeza ni ya watu wajinga wasiojua majukumu ya serikali
Nashukuru Mkuu! Ila sio mbaya kupongeza pale watu wanapoanza kufanya vitu sahihi ambayo Kwa kipindi vimekuwa havifanyiki
 
Miaka ya 90 ukimaliza chuo unapata ajira, udsm unasoma bure unapewa na chai ya maziwa na makate wenye blue band, sasa hivi hayapo wacha tu tupange nguo hadi ikulu,
 
Miaka ya 90 ukimaliza chuo unapata ajira, udsm unasoma bure unapewa na chai ya maziwa na makate wenye blue band, sasa hivi hayapo wacha tu tupange nguo hadi ikulu,
Kwa nini hampangi nguo maeneo ya Lugalo? Kwa nini mkapange ikulu na mwenge?
 
JPM aliwapa jeuri ipi?

Unajua kwamba wamachinga nao ni raia wa nchi hii?

Kama hijui usiongee, JPM alitoa maelekezo sahihi kabisa hata SSH anajua

Yan mwendazake aliiharibu inchi kila machinga wametapakaa kama siafu.
 
JPM aliwapa jeuri ipi?

Unajua kwamba wamachinga nao ni raia wa nchi hii?

Kama hijui usiongee, JPM alitoa maelekezo sahihi kabisa hata SSH anajua


Mama D, uraia si kificho cha kufanya jambo lolote. La sivo unasema tutumie uraia wetu kufanya kila mtu anavotaka. Je majengo tujenge bila vibali? Si ni raia hawa hawa hata hubomolewa nyumba zao ili barabara, nguzo za umeme na mabomba ya maji yapite??

Wanaotaka mabadiliko kuhusu wanachinga wanataka mambo yadhibitiwe kabla hayajaharibika. Sasa hata majengo mazuri mijini, sehemu za wazi hakuna tena. Mabanda yenye plastic za blue yamejaa pembeni ya barabara na juu ya mitaro. Njia za wenda kwa miguu haziko tena wapita njia wanatumia barabara ya gari kutembea. Sehemu nyingine dereva hapati hata mita moja kutoka kwa mtu na meza yake hakafu maonyo kama “nigonge uone” yakitolewa. Mabanda ya vyakula kila sehemu huu ya mitaro ya maji yaliyosimama. Hali ni mbaya!

Kila jambo liwe na wakati wake na nafasi yake! Hiyo ndio sayansi, tuache emotions!! Tuwe na mpangilio.
 
JPM aliwapa jeuri ipi?

Unajua kwamba wamachinga nao ni raia wa nchi hii?

Kama hijui usiongee, JPM alitoa maelekezo sahihi kabisa hata SSH anajua

Kwa hio wana haki kuliko watu wanaolipa kodi?...
Machinga hawalipi kitu ila wanataka potential areas that other citizens pay millions for..
 
Umesema vyema kabisa
 
Ila si mbaya lina faida zake...
Wakipangwa watalipa kodi
Mapato yataongezeka vibaya mnoo tozo irudi shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…