Hata tukose maji hadi tufe,sitakaa nimkumbuke yule mwendawazimu,
unafikiri angekuwepo angefanya nini? Hakuwa na akili za kutatua crisis yoyote, zaidi ya kuagiza jeshi
Kuhusu kumkumbuka au..??Ilikuwa ni swala la muda tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Magufuli Mwaka 2017 akiwa Simiyu Wananchi kutokana na Ukame uliowakumba Wakimwomba Msaada wa Chakula Akawajibu kuwa yeye sio BABA YAOSasa hivi nchi nzima tuna ukame ambao haujakuwpo kwa miaka kama kumi hivi.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.
Du......!Hata Magufuli Mwaka 2017 akiwa Simiyu Wananchi kutokana na Ukame uliowakumba Wakimwomba Msaada wa Chakula Akawajibu kuwa yeye sio BABA YAO
Tuna matatizo ya akili nadhani, mfano hapo umemtaja Gaddafi ila watakuja watu humu kumzungumzia kwamba alikuwa dikteta hilo ndio watakaloliona wao.Libya ni Jangwaa ilaa Gadafi alileta maji 24 hours buree...!! Hizi nchi za kiafrika kuna laana sijuiii
Kwani ukame haukuwai kutokea kipindi cha Magufuli? Mbona hatukuona mgao wa umeme au maji?Samia na mawaziri Wake wazembe tu kutwa kuzurula nchi za watu, utafikiri unaweza pata maendeleo kwa kuzurula,Ukipita pale mto Luvu maji yanatirililika tu yanakwenda bahalini,Dawasco kuna mainjinia kibao kwanini wasiweke magata kuzuia maji yasitirilike ili wajaze matemki ili wapewe wananchi, mgao wenyewe waliaidi watatoa maji mala mbili kwa kila zone hata moja imewashinda.Serikali ya Samia janga la taifaTena angekuwepo saa hii tusingeshangaa kusikia watu wanatekwa kwa kukosoa serikali yake kuhusu tatizo la umeme na maji.
Sasa hivi nchi nzima tuna ukame ambao haujakuwpo kwa miaka kama kumi hivi.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.
Kweli kabisa mto Ruvu umefurika!Hakuna Ukame acha kupotosha umma...
Kweli kabisa mto Ruvu umefurika!
Hata Mkuu wa Mkoa Amos Maklla alisema juzi.
Maliasili ndiyo wanatuua, misitu mingi inakatwa wao wanatazama na kula rushwaSasa hivi nchi nzima tuna ukame ambao haujakuwpo kwa miaka kama kumi hivi.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.
Ccm ni JANGA wote wako na low thinking capacitySasa hivi nchi nzima tuna ukame ambao haujakuwpo kwa miaka kama kumi hivi.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.
Hata tukose maji hadi tufe,sitakaa nimkumbuke yule mwendawazimu,
unafikiri angekuwepo angefanya nini? Hakuwa na akili za kutatua crisis yoyote, zaidi ya kuagiza jeshi