Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Soma kwa kuelewa sio kwa kubishana. Unajua kilichoelezwa lakini?fuatilia hotuba ya makufuli akielezea kuhusu ufisadi bwawa la mtera, mbona mnasahau mapema tatizo lenu kumbukumbu ya mechi za simba na yanga mnazijua hata ya miaka ya 70. bwawa la mtera mji usiku yanafunguliwa kwenda kwenye mashamba ya watu, hilo ziwa la victoria linaweza kuwapa maji afrika nzima kwa zaidi ya miaka 100 lakini mji wa mwanza wengi wao hawana maji na kuna mgao, nayo utasema ukame