KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Magufuli Derangement SyndromeHata tukose maji hadi tufe,sitakaa nimkumbuke yule mwendawazimu,
unafikiri angekuwepo angefanya nini? Hakuwa na akili za kutatua crisis yoyote, zaidi ya kuagiza jeshi
Landcruiser moja inakwenda milioni 500 zikinunuliwa kumi ni bilioni tano. Hapo haujaleta utatuzi wa masuala ya maji?.Sasa hivi nchi nzima tuna ukame ambao haujakuwpo kwa miaka kama kumi hivi.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.
Serikali haijaleta tetemeko.... kweli tumetoka mbali nji ii.......Sasa hivi nchi nzima tuna ukame ambao haujakuwpo kwa miaka kama kumi hivi.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.
Suala la Maji na umeme kukosekana ni suala la kufanyiwa kazi na mgombea bora kupitia ccm mwaka 2025Sasa hivi nchi nzima tuna ukame ambao haujakuwpo kwa miaka kama kumi hivi.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.
Mwendawazimu kwa mataahira pepkeeHata tukose maji hadi tufe,sitakaa nimkumbuke yule mwendawazimu,
unafikiri angekuwepo angefanya nini? Hakuwa na akili za kutatua crisis yoyote, zaidi ya kuagiza jeshi
Lilianza kufanyiwa kazi Awamu ya Nne, ya Tano jamaa aifutilia mbali mipango.Suala la Maji na umeme kukosekana ni suala la kufanyiwa kazi na mgombea bora kupitia ccm mwaka 2025
Now mmoja mmoja wanaanza kutoka mafichoni 😂😂😆Ilikuwa ni swala la muda tu😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati mwingine namkumbuka mwendazake sema najikaza tu.
Hahahah panya wote wanachomoka mashimoniNow mmoja mmoja wanaanza kutoka mafichoni 😂😂😆
Husika na kichwa cha habari hapo juuKuhusu kumkumbuka au..??
Wavamizi wakiondolewa misitu ya hifadhi mnawalaani na kuwafukuza maafisa misituMaliasili ndiyo wanatuua, misitu mingi inakatwa wao wanatazama na kula rushwa
Indication ilikuwepo hasa kutokana na ukame wa huko nyuma kama mtoa mada alivyoeleza. Kwa muktadha huo, waliplan kujenga bwawa la Kidunda ili liwe limekamilika kabla ya ukame wa mwaka huu. Aliyemfuatia JK aliupiga chini mradi huo na kuanzisha miradi yake ya Chato Airport, Kigongo Busisi na mingine. Sisemi kuwa miradi hii mibaya au haina maslahi kwa Taifa, hapana. Ila huenda ilipaswa kutanguliwa kwa umuhimu na ule wa Bwawa la Kidunda. Jambo jema, Samia ameufufua mradi huu na tatizo la kupungua kwa kina cha maji kwenye mto Ruvu litaisha (japo sina hakika kama tatizo la maji Dar litaisha).
Hadi hapa nachelea kusema mama Samia anapaswa kumtosa aweso. Dar tunaweza kusema ni ukame kwa kuwa wanategemea mto ruvu. Vipi kuhusu mikoa ya kanda ya ziwa ambayo wanategemea maji ya ziwa Victoria? Napo ziwa Victoria limekauka?
Si vema kwenda unako taka kwenda, maana Magufuli hakuwa msafi.fuatilia hotuba ya makufuli akielezea kuhusu ufisadi bwawa la mtera, mbona mnasahau mapema tatizo lenu kumbukumbu ya mechi za simba na yanga mnazijua hata ya miaka ya 70. bwawa la mtera mji usiku yanafunguliwa kwenda kwenye mashamba ya watu, hilo ziwa la victoria linaweza kuwapa maji afrika nzima kwa zaidi ya miaka 100 lakini mji wa mwanza wengi wao hawana maji na kuna mgao, nayo utasema ukame
Angalia nyuma ya makal*o yako utazikutaSi vema kwenda unako taka kwenda, maana Magufuli hakuwa msafi.
Hadi leo Tshs 1.5 Trilioni haina maelezo.
Tukazane kuona jinsi ya kujenga hilo bwawa la Kidunda.
Panua hapo nikuonueshe zilipoSi vema kwenda unako taka kwenda, maana Magufuli hakuwa msafi.
Hadi leo Tshs 1.5 Trilioni haina maelezo.
Tukazane kuona jinsi ya kujenga hilo bwawa la Kidunda.
Na sasa unaambiwa kama hautaki hamia Burundi.Serikali haijaleta tetemeko.... kweli tumetoka mbali nji ii.......
Huyu si ndiye alikata miti karibu milioni 2?Wakati mwingine namkumbuka mwendazake sema najikaza tu.
Kwa miaka 60 iliyopita ccm walikua wanafanya nini? Hawakujua kwamba kuna shida ya maji kipindi cha ukame na wajiandae? Kama kweli mwanza kuna shida ya maji, unaona viongozi ni wawajibikaji? Kwa uzoefu tu, 60% ya ccm itakua madarakani after 2025, asilimia ngapi ya viongozi wa hovyo wa saivi watarudi madarakani? Wewe ni mzalendo wa ccm au Tanzania? ccm ni kiongozi gani anafaa kuongoza nchi after 2025?Suala la Maji na umeme kukosekana ni suala la kufanyiwa kazi na mgombea bora kupitia ccm mwaka 2025