Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
CCM n mabingwa wa kutengeneza matatizo halafu wanarud kuyatatua kwa mlango wa nyuma
Bahat mbaya ukame hautatuliki kiboya Kama wanavyodhan
Kama mtu anashamba la.kuweza kutumia maji Lita milion 1 kwa saa bas hyo n mkilima mkubwa hivyo walipaswa kulijua mapema inashangaza kuona wamegundua Sasa kwakwel
Viongoz wetu n Wala rushwa Sana huyo mchina hatachukuliwa hatua yoyote Zaid ya kuachiwa na wananch ndio watakaopata tabu kwa kutoa taarifa za upotevu wa maji
Magufuli nilikuwa simpend ila ametufundisha mengi Sana hasa uzalendo na kuisema kwel hata Kama chungu
CCM n janga la taifa
Bahat mbaya ukame hautatuliki kiboya Kama wanavyodhan
Kama mtu anashamba la.kuweza kutumia maji Lita milion 1 kwa saa bas hyo n mkilima mkubwa hivyo walipaswa kulijua mapema inashangaza kuona wamegundua Sasa kwakwel
Viongoz wetu n Wala rushwa Sana huyo mchina hatachukuliwa hatua yoyote Zaid ya kuachiwa na wananch ndio watakaopata tabu kwa kutoa taarifa za upotevu wa maji
Magufuli nilikuwa simpend ila ametufundisha mengi Sana hasa uzalendo na kuisema kwel hata Kama chungu
CCM n janga la taifa