Suala la Maji: Utawala corrupt unatuletea shida, Mchina akamatwa akichepusha maji mto Ruvu kumwagilia mboga

Suala la Maji: Utawala corrupt unatuletea shida, Mchina akamatwa akichepusha maji mto Ruvu kumwagilia mboga

CCM n mabingwa wa kutengeneza matatizo halafu wanarud kuyatatua kwa mlango wa nyuma

Bahat mbaya ukame hautatuliki kiboya Kama wanavyodhan

Kama mtu anashamba la.kuweza kutumia maji Lita milion 1 kwa saa bas hyo n mkilima mkubwa hivyo walipaswa kulijua mapema inashangaza kuona wamegundua Sasa kwakwel

Viongoz wetu n Wala rushwa Sana huyo mchina hatachukuliwa hatua yoyote Zaid ya kuachiwa na wananch ndio watakaopata tabu kwa kutoa taarifa za upotevu wa maji

Magufuli nilikuwa simpend ila ametufundisha mengi Sana hasa uzalendo na kuisema kwel hata Kama chungu

CCM n janga la taifa
Mkuu wanasema pale Ruvu kwenye mitambo ya maji yamepungua maji lita milioni 150.Na kuna labda watu sampuli hiyo zaidi ya elfu moja wanachepua maji na labda watu milioni mmoja wanaharibu kingo za mto sababu ya shughuli za binadamu.

Na huo mtambo wa Mchina unachepua lita milioni 1 kwa saa ni wastani wa milioni 24 kwa siku.That is tip in iceberg

Tuseme tu matumizi holela hayajaanza leo,kwanza ni aibu kuwa na mamlaka ya hifadhi kumbe ni dili tu.Hizo wizara za mazingira zingevunjwa ni rushwa tu hamna kitu.Iundwe idara itakayoratibu shughuli za umwagiliaji kwenye wizara ya maji.
 
Mene Mene tekeli na peresi. Hawa wawekezaji wa mboga mboga ndio hangaya alisema wasisumbuliwe vibali sio.
 
Tangu lini wachina wakafata sheria, hawa dawa yao ni kuwakazia kwenye vibali vya uwekezaji sababu hata kazi zao zenyewe hazionekani na ni wezi wakubwa wa kodi.
 
Yaani umuachie mhalifu ambaye most likely kuna wakubwa aliowahonga ili afanye uharamia huo aendelee?
Nimesoma karibu comments zote na kila mtu amecomment kutokana na uelewa wake.

Ni kweli mkulima huyu wa mbogamboga alitumia fursa iliyotangazwa na serikali kukaribisha wawekezaji waje kuwekeza.Akaja kupitia uhamiaji kama alipitia na naamini alipitia kwa sababu anapolima kuna viongozi wa serikali,kuanzia balozi,wenyeviti mbalimbali,mbunge n.k.

Haikutosha,serikali ikawa inahamasisha kulima kilimo cha umwagiliaji,Mchina akajiongeza akakianzia,na wananchi wengine wengi,nao tunawafahamu wanafanya kilimo cha umwagiliaji na mboga zao tunakula kila siku.Imekuwaje leo hii,kilimo cha umwagiliaji kwa mchina kiwe haramu lakini kwa wengine kiwe halali.Au serikali ilikuwa na maana gani kuhamasisha kufanya kilimo cha umwagiliaji,au walikuwa wanamaanisha kumwagilia kwa kutumia ndoo ya mkono.

Huyu Mchina hakuanza kulima leo.Labda mniambie kuwa hakuwa na kibali cha kuishi nchini.Na kama ni hivyo kwa nini hakukamatwa siku zote.Hii tafsiri yake taasisi ya usalama imelala usingizi mzito,inasubiri kuambiwa ya kuwakamata viongozi wa upinzani raia wa nchi hii na kuwapa makesi makubwa makubwa ambayo hayana dhamana.

Na hapa napenda kusema hivi.ni maoni yangu.Kukamatwa kwa Mchina kumetokana na kukatika kwa umeme kitu ambacho sio sahihi.Kama sababu ya umeme kupungua ni Mchina kumwagilia Serikali mnatudanganya.Tafuteni sababu nyingine.

Mmetueleza sababu nyiiiiingi sana za ubabaishaji,mara mashine hazikufanyiwa service kipindi cha JPM.Kwa nini kipindi hicho hizo mashine hazikufa? mara maji yamepungua nk. Nitaendelea tena chai inapoa
 
Duuh kazi ipo kwahio Chalinze wamejaa wachina wengi eeeh?!

Labda bandari ya bagamoyo inawekwa kimkakati kwa ajili ya kusafirisha mazao yao na kulisha nchi yao….
 
Nimesoma karibu comments zote na kila mtu amecomment kutokana na uelewa wake.

Ni kweli mkulima huyu wa mbogamboga alitumia fursa iliyotangazwa na serikali kukaribisha wawekezaji waje kuwekeza.Akaja kupitia uhamiaji kama alipitia na naamini alipitia kwa sababu anapolima kuna viongozi wa serikali,kuanzia balozi,wenyeviti mbalimbali,mbunge n.k.

Haikutosha,serikali ikawa inahamasisha kulima kilimo cha umwagiliaji,Mchina akajiongeza akakianzia,na wananchi wengine wengi,nao tunawafahamu wanafanya kilimo cha umwagiliaji na mboga zao tunakula kila siku.Imekuwaje leo hii,kilimo cha umwagiliaji kwa mchina kiwe haramu lakini kwa wengine kiwe halali.Au serikali ilikuwa na maana gani kuhamasisha kufanya kilimo cha umwagiliaji,au walikuwa wanamaanisha kumwagilia kwa kutumia ndoo ya mkono.

Huyu Mchina hakuanza kulima leo.Labda mniambie kuwa hakuwa na kibali cha kuishi nchini.Na kama ni hivyo kwa nini hakukamatwa siku zote.Hii tafsiri yake taasisi ya usalama imelala usingizi mzito,inasubiri kuambiwa ya kuwakamata viongozi wa upinzani raia wa nchi hii na kuwapa makesi makubwa makubwa ambayo hayana dhamana.

Na hapa napenda kusema hivi.ni maoni yangu.Kukamatwa kwa Mchina kumetokana na kukatika kwa umeme kitu ambacho sio sahihi.Kama sababu ya umeme kupungua ni Mchina kumwagilia Serikali mnatudanganya.Tafuteni sababu nyingine.

Mmetueleza sababu nyiiiiingi sana za ubabaishaji,mara mashine hazikufanyiwa service kipindi cha JPM.Kwa nini kipindi hicho hizo mashine hazikufa? mara maji yamepungua nk. Nitaendelea tena chai inapoa
We unaona sawa mchina kuja kulima mboga Tanzania? Huo ndio uwekezaji uliomleta
 
Subirini mtakuta ana vibali halali vya uwekezaji kapewa na wizara husika na kwa mbwembwe kabisa hapo ndio mtajua mazuzu wako wengi na sio wa 'kule' tu
 
Mala kumi mamlaka ya maji ifanye tathimini ya kiasi cha maji anacho tumia then alipe ili aendelee kulima mpaka atakavyo vuna mazao yaliopo shambani then akuna kutoa kibari Cha kulima baada ya kuvuna mazao yake kuliko kumzuia kumwagilia kwa sasa maana wote tutapata hasara
Huko ni kumuonea..viongozi wako ndio blalifakini .
 
lita milioni 1 kwa lisaa,[emoji848], haswa wabongo tunachezewa akili, kumwagilia mboga mboga, mtu atumie lita milioni kwa lisaa[emoji23]

Viongozi wabongo walishajua akili finyu za wabongo basi ni mwendo wa kupindua pindua tu, hapa wameshapata sababu tayari.
Mkuu,kwa mujibu wa mzee Kasesela hapo hizo ni lita milioni 2 zinatolewa zisilete madhara kwenye mitambo.
Kwa hiyo lita milioni moja ni nusu ya hayo maji uyaonayo hapo.

Tunaambiwa tena mchina anayatumia ndani ya lisaa tu,kumwagilia matembele na mchicha ..maamae bongo tunaonana wajinga sana!😆
 
View attachment 2016617

Nataka niongee kwa hasira kali na leo Mod naomba mnivumilie lugha yangu. Hapa bongo kuna mambo ya kikhanithi yanaendelea sana na matokeo yake wananchi tunapata shida kwa sababu ya ukhanithi wa watu wachache.

Leo Nipashe wametoa taarifa kuwa kuna mchina amekamatwa anachepusha maji ya mto ruvu lita milioni moja kwa saa kumwagilia mbogamboga zake tu. Huu kama siyo ukhanithi ni kitu gani?

Huyu mtu haiwezekani anaingia nchini, anapewa vibali vyote halafu eti serikali isijue, Haiwezekani labda kama ni serikali ya mazuzu.

Leo kwa sababu kimenuka, maji hakuna wanajifanya kuja mbelembele kukamata bangusilo ili wammwagie lawama.

Tumeshasema mara kibao kuwa huu uhusiano wa kifala kati ya serikali yetu na wachina unatugharimu sana. Wachina wamekata miti sana nchi hii, Wao ndo wanconsume magogo ya miti kwa rate ya kutisha, halafu juzi serikali inajifanya kujikosha kwa kuzuia biashara ya magogo. Ilikuwa wapi siku zote?

Leo nilikuwa namsikiliza waziri wa zamani katika mtandao w clubhouse anaeleza kipindi alivyokuwa waziri wa mazingira alipojaribu kuwadhibiti wachina wasimalize misitu yetu. akapigiwa simu na wakubwa awaachie tu wachina waendelee!. Huu kama siyo uhujumu uchumi kwa nchi yetu ni nini?. Huu kama siyo Ukhanithi ni kitu gani?

Tunataka serikali yetu iache kuwaabudu Wachina, Tunataka serikali ilinde rasilimali za nchi hii. Hii tabia ya ubinafsi uliokithiri, upumbavu na kuuza nchi kukomeshwe mara moja.

Na wale wakubwa wanaouza nchi kwa vizawadi vidogo vya kufanyiwa massage huko Beijing waache mara moja tabia hizi za Kikhanithi
Kwani hawa wachina walianza lini kuingia nchini?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2016617

Nataka niongee kwa hasira kali na leo Mod naomba mnivumilie lugha yangu. Hapa bongo kuna mambo ya kikhanithi yanaendelea sana na matokeo yake wananchi tunapata shida kwa sababu ya ukhanithi wa watu wachache.

Leo Nipashe wametoa taarifa kuwa kuna mchina amekamatwa anachepusha maji ya mto ruvu lita milioni moja kwa saa kumwagilia mbogamboga zake tu. Huu kama siyo ukhanithi ni kitu gani?

Huyu mtu haiwezekani anaingia nchini, anapewa vibali vyote halafu eti serikali isijue, Haiwezekani labda kama ni serikali ya mazuzu.

Leo kwa sababu kimenuka, maji hakuna wanajifanya kuja mbelembele kukamata bangusilo ili wammwagie lawama.

Tumeshasema mara kibao kuwa huu uhusiano wa kifala kati ya serikali yetu na wachina unatugharimu sana. Wachina wamekata miti sana nchi hii, Wao ndo wanconsume magogo ya miti kwa rate ya kutisha, halafu juzi serikali inajifanya kujikosha kwa kuzuia biashara ya magogo. Ilikuwa wapi siku zote?

Leo nilikuwa namsikiliza waziri wa zamani katika mtandao w clubhouse anaeleza kipindi alivyokuwa waziri wa mazingira alipojaribu kuwadhibiti wachina wasimalize misitu yetu. akapigiwa simu na wakubwa awaachie tu wachina waendelee!. Huu kama siyo uhujumu uchumi kwa nchi yetu ni nini?. Huu kama siyo Ukhanithi ni kitu gani?

Tunataka serikali yetu iache kuwaabudu Wachina, Tunataka serikali ilinde rasilimali za nchi hii. Hii tabia ya ubinafsi uliokithiri, upumbavu na kuuza nchi kukomeshwe mara moja.

Na wale wakubwa wanaouza nchi kwa vizawadi vidogo vya kufanyiwa massage huko Beijing waache mara moja tabia hizi za Kikhanithi
Nchi hii haiwezi kupata maendeleo chini ya chama cha majambazi na wahudumu uchumi wanaojiita wazalendo, çcm
 
Hiyo bodi ya maji ilipaswa wote wawe wameachishwa kazi baada ya kutangaza hii taarifa. Bodi ilikuwa likizo na sasa ndo wamerudi kazini baada ya madhara kuwa makubwa
Wala sio bodi ya maji, yaani ndani ya wizara ya maji kuna idara inayoshughurika na mabonde, na huo ndio huwa wanatoa vibali vya kutumia maji na sio bure!!huyo mchina ni sarakasi tu, wala hutasikia kitakachoendelea!!
 
Back
Top Bottom