Kazi za vigogo na kazi za watoto wa maskini.Hehehe, yaani mtu anayelipwa, say, 3m ndo huyo huyo mwenye marupurupu, posho na nyumba anapewa.
Na huyu anayelipwa 500k ndo hana cha marupurupu, posho na nyumba apange kwa kumega hiyo hiyo 500k yake kwa kiwango cha elimu kile kile.
Hii mifumo sijui imerithiwa kutoka wapi.
SUKAH
Yote hayo ndio yale yale tuu mtu kupewa vyeo viwili au kazi mbili mbili au mtu anastaafu halafu anateuliwa tena kwenye kundi la watu 60M yaani SHIDA NI KUBWA SANA.Mkuu wewe umezungumzia habar ya 'usawa katika mishahara' ukitamani wanaolipwa Kidogo waongezewe ili wawe sawa na wa sector nyinginezo kwa kulinganisha kiwango cha elimu zao.
Nadhani ungejikita kwa kupaza sauti juu ya usawa wa Mshahara kwa kulipa wafanyakazi kiwango Cha wastani ili kuokoa vijana ambao wanatamani kuingia kwenye system ya mshahara japo walipwe kiduchu tu, lakini imeshindikana toka 2012 mpaka 2021 Leo wapo mitaani wakijikita na mambo yasiyo chaguo lao walau tu mkono uende kinywani.
Ongera kwako wewe ambaye hukusomea UALIMU lakini unasubiri watoto wako wafundishwe na Walimu.Mmi napinga kabisa unajua izo sekta hazitegemi ruzuku tofauti na walimu na watu wengi kwanza mpo wengi mnafakazi masaa 6.
Alie nacho aongezee pambana ufike ulitumwa kusomea ualimu.
Huwezi jua vizazi vyako vitano vijavyo vitakuwaje ni bora upambane leo mana huwezi jua kesho.Siku zote maskini ndiyo wengi kuliko matajiri. Ndiyo maana kazi za maskini mfano :- udaktari, ualimu, unesi na upolisi zina watu wengi Sana.
Haiwezekani na hautatokea kamwe kuwapa watu hawa mishahara mikubwa. Kwani kufanya hivyo kuna madhara 2 makubwa:-
1.--maskini akipata matako hulia mbwaa, hivyo nchi haitatawalika.
2.--kwa wingi wao fedha za mishahara hazitatosha
Maskini fanyeni kazi za kimaskini mbakie maskini ili mtawaliwe vizuri
Hawa watu wa chini hawa ambao hawana posho, marupurupu wala per diem ndio waleta maendeleo lakini bahati mbaya sana hawa ndio wananyonywa hatari halafu watoa maamuzi wanakula bata inaleta uchungu sana.Wanaofanyakaz ni watu wengine. Haya Mambo ya hovyo kabisa. Kila Jema au baya mtunga Sheria ndio chanzo.
Warekebishe Sheria.
TATIZO WATANZANIA NI WATU WABINAFSI SANA NDUGU.MH. Raisi mwakani siku ya mei mosi tunaomba skeli ya mishahara ya watumishi ivunjwe ipangwe upya watumishi asilimia kubwa wanastaafu katika hali ya ufukara sana kwa kuwa kuna watumishi wameshaonekana wao ni wa mishahara ya chini wakiwemo walimu, sekta ya afya na kwengineko lakini kwa elimu hiyo hiyo aliyekuwa nayo huyo mtumishi anayeishi kwa shida kuna watumishi shida hawazijui kabisa kama waliopo kwenye mashirika ya selikari na viongozi yaani mtu anachukua 20ml kwa mwezi halafu kuna mtumishi anasuburi mshahara wa laki tatu kweli ina make sense tuwe wakweli jamani.
Kumbe polisi wana mbwembwe tu ila wanacholipwa ni takataka tu[emoji23][emoji23]Siku zote maskini ndiyo wengi kuliko matajiri. Ndiyo maana kazi za maskini mfano :- udaktari, ualimu, unesi na upolisi zina watu wengi Sana.
Haiwezekani na hautatokea kamwe kuwapa watu hawa mishahara mikubwa. Kwani kufanya hivyo kuna madhara 2 makubwa:-
1.--maskini akipata matako hulia mbwaa, hivyo nchi haitatawalika.
2.--kwa wingi wao fedha za mishahara hazitatosha
Maskini fanyeni kazi za kimaskini mbakie maskini ili mtawaliwe vizuri
Kumbe polisi wana mbwembwe tu ila wanacholipwa ni takataka tu[emoji23][emoji23]
Sifahamu ila nimeona mdau kawaorodhesha ktk orodha ya watumishi wapatao hela ndogo.Wanalipwa sh. Ngapi kwa mwenye shahada?... ktk Posho na mshahara...
Mkuu hilo swala limesababishwa na siasa maana mpaka sasa hata mama afanyaje hawezi kuongeza fanyeni ivi warudishe ada pesa isaidie kuongezea misharaha walimu mbona private walipwa vizuri mkuuOngera kwako wewe ambaye hukusomea UALIMU lakini unasubiri watoto wako wafundishwe na Walimu.
Upo nje ya mada...Serikali duniani kote haiwezi kuajiri graduate wote kwaio nafikiri mtoa mada alikua anaisisitiza serikali iangalie swala la mishahara ya watumishi wake Kuna gap kubwa Sana linapoteza Hari ya kujituma na uajibikaji kwa wake wenye salary ndogo.Mkuu wewe umezungumzia habar ya 'usawa katika mishahara' ukitamani wanaolipwa Kidogo waongezewe ili wawe sawa na wa sector nyinginezo kwa kulinganisha kiwango cha elimu zao.
Nadhani ungejikita kwa kupaza sauti juu ya usawa wa Mshahara kwa kulipa wafanyakazi kiwango Cha wastani ili kuokoa vijana ambao wanatamani kuingia kwenye system ya mshahara japo walipwe kiduchu tu, lakini imeshindikana toka 2012 mpaka 2021 Leo wapo mitaani wakijikita na mambo yasiyo chaguo lao walau tu mkono uende kinywani.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana aisee Ina maana mpk Leo wewe una amini walimu hawalipwi vizuri kwa sababu Ni wengi. ?Mmi napinga kabisa unajua izo sekta hazitegemi ruzuku tofauti na walimu na watu wengi kwanza mpo wengi mnafakazi masaa 6.
Alie nacho aongezee pambana ufike ulitumwa kusomea ualimu.
Kweli kwasababu Mimi Nina classmates wangu anafanyia kazi necta atakuepo analipwa mshahara mrefu Sana basiNECTA tu hapo PS analipwa 2.8 per moon mzee.
Kwani hao wengine wanafanya kazi kwa saa ngapi? Na hizo saa za ziada ni kwa sheria au kanuni ipi ya utumishi!Mmi napinga kabisa unajua izo sekta hazitegemi ruzuku tofauti na walimu na watu wengi kwanza mpo wengi mnafakazi masaa 6.
Alie nacho aongezee pambana ufike ulitumwa kusomea ualimu.
Kumbe tunajadiliana na mpumbavu!Unadhani pale BOT au TRA kuba BAED tumia akili kingine izo kada hata mm nilitishwa ntakosa mkopo soma ualimu sijaenda nikakosa kweli japo sina ajira
Sasa mtu anasoma akibahatisha kweny izo sekta katusua waambie watoto wenu waache kukimbilia ualimu
Mshahara wa polisi hauna tofauti na ule wa barmaid wa Kona bar. Si unaona hata maisha yao?? Duni kweli kweli.Kumbe polisi wana mbwembwe tu ila wanacholipwa ni takataka tu[emoji23][emoji23]
Yaani unacompare kama sio upumbavu huoni tabata we na ualimu wako wa degree usijifananishe na mfanyakz wa BOT hata diploma kwani huoni wanavyokula pesa na wataendelea mileleKumbe tunajadiliana na mpumbavu!