Suala la Mishahara ya wafanyakazi wa serikali: Tuzungumze mazuri na mapungufu katika suala hili nyeti, tuweke siasa pembeni

Suala la Mishahara ya wafanyakazi wa serikali: Tuzungumze mazuri na mapungufu katika suala hili nyeti, tuweke siasa pembeni

"Ombi langu kwa President Magufuli:
kama wafanyakazi tumekukosea sehemu tunaomba utusamehe*

Mkuu, maneno ambayo nimeyanukuu hapo juu kutoka ktk mada yako yanaonyesha kana kwamba watumishi wa umma hawana haki zao za kisheria pale wanapotimiza majukumu yao ya kila siku, na tena wanaishi tu kupitia fadhila na huruma kutoka serikalini.

Kwa yaliyojili kwao katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, ukweli ni kwamba ni yeye ndiye ambaye amewakosea kwa kuwanyima stahiki zao ambazo zipo kisheria.
 
Unajisumbua bure kumbembeleza mtu asiye na chembe ya huruma. Kejeli unazozisoma kwa wapambe wake hapo juu ndo msimamo wake maana wanaongea lugha ya bosi wao. Watumishi mkifanya makosa mtalimia fizi hadi 2025, sisi tulishazoea kuhangaikia maisha kwa jasho lakini nyie mnaonewa na kubaguliwa makusudi na bado hamna cha kufanya, pelekeni ujumbe kupitia uchaguzi huu. 2010 Kikwete aliposema hataki kura za Watumishi akijifanya kipofu wa kutotambua nguvu ya watumishi kwamba wana ushawishi, wana ndugu na marafiki na wanachokisema wanasikilizwa na wakulima walio wengi kuliko wafanyabiashara yalimpata ya kumpata na kila mwenye akili aliyekuwepo anakumbuka. Alinyimwa nafasi ya kuwa mgeni rasmi Mei Mosi 2010 Songea hata ikatumika nguvu kubadilisha ratiba. Lakini mbali ya hilo na wizi wa Tume ya UCHAGUZI bado 20% ya kura ilishuka.
 
Hili la wafanyakazi kutoongezewa mishahara waachieni wao maana wengi wanaridhika nalo .

Wamekubali kujitoa muhanga kwa miaka kumi kwa ajili ya maendeleo ya taifa hili na maendeleo ya kizazi kijacho.

JPM endelea kujenga nchi wafanyakazi wako nyuma yako lakini wakumbuke kwenye ufalme wako maana wana hali ngumu.
 
Nyogeza ya Mshahara bila kupunguza mfumuko wa bei isingesaidia.
 
Muda Sasa Hivi Umefika 🙄😁😂😄😃😃
Ccm Mnapenda Singeri
Mnaulizwa, Bia Zangu Umekunywa
Utatoa, Hutoi Nauliza......
😑🤨😶😐😏Ndiyo Mnakosa Miaka 10
 
Hakuna namna ikifika October 28 mfundisheni magufuli nini maana ya kuwajali na kuwathamini wafanyakazi!!!
kwanza kabisa hamasisheni ndugu zenu,jamaa zenu na watu wenu wa karibu kumnyima kura

Na pili mnyimeni kura zenu na kataeni kabisa kushiriki katika wish wa kura. Mkitumwa kuiba matokeo fanyeni kinyume. Hakikisheni Magufuli na Chama chake hawashindi mwaka huu!!!

Na ile wenu msifanye, akishinda uraisi atawafanyia visasi vibaya hadi mtajuta nawaambia. Najua mnajua alivyo mtu wa visasi!!!
 
"Ombi langu kwa President Magufuli:
kama wafanyakazi tumekukosea sehemu tunaomba utusamehe*

Mkuu, maneno ambayo nimeyanukuu hapo juu kutoka ktk mada yako yanaonyesha kana kwamba watumishi wa umma hawana haki zao za kisheria pale wanapotimiza majukumu yao ya kila siku, na tena wanaishi tu kupitia fadhila na huruma kutoka serikalini.

Kwa yaliyojili kwao katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, ukweli ni kwamba ni yeye ndiye ambaye amewakosea kwa kuwanyima stahiki zao ambazo zipo kisheria.
Duniani huko watawala wanaheshimu na kuwaogopa wafanyakazi!! Ila hapa inaonekana wafanyakazi Eti wanaishi kwa kudra za watawala!! Kweli CCM wameliharibu hili taifa kwa kweli!!

Hakuna namna CCM inatakiwa kuendelea kutawala hapa Tanzania. Lazima wafundishwe kwa kupingwa chini kwenye uchaguzi huu ili wakajipange upya!!
 
"Ombi langu kwa President Magufuli:
kama wafanyakazi tumekukosea sehemu tunaomba utusamehe*

Mkuu, maneno ambayo nimeyanukuu hapo juu kutoka ktk mada yako yanaonyesha kana kwamba watumishi wa umma hawana haki zao za kisheria pale wanapotimiza majukumu yao ya kila siku, na tena wanaishi tu kupitia fadhila na huruma kutoka serikalini.

Kwa yaliyojili kwao katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, ukweli ni kwamba ni yeye ndiye ambaye amewakosea kwa kuwanyima stahiki zao ambazo zipo kisheria.
tunaambiwa mkubwa hakosei ndugu yangu! inabidi kujishusha!
 
Ndugu tumia ubongo wako kwa manufaa ya wengi na sio tumbo lako,hata huyo mzee ataondoka watakuja wengine,kukomoana sio vizuri sote ni binadamu na tupo nchi moja,yale mnayotaka mtendewe watendeeni na wengine vivyo hivyo!Wew ni mmoja ya wachache wanaofurahia marupurupu ya mzee kwa hiyo unaona wengine ni takataka!Hiyo miradi mnayoiimba ni watumishi haohao wanaoifanya ikasimama na kuonekana kwa watu!Acheni roho mbaya dhidi ya wengine
Rais Magufuli ameongeza pia
 
Mkuu acha uongo emu niambie ni mfanyakazi gani aliyeajiriwa mwaka 2014 na mwaka 2015 aliyepanda daraja????

Waliopandishwa daraja ni wale ambao walitakiwa wapande mwaka 2015/2016 wakaja wakapandishwa 2017/2018.

Magu ameharibu mfumo mzima,kupanda daraja ilikuwa kila baada ya miaka 3 sasa amebadilisha imekuwa kila baada ya miaka 4 yani uonevu mtupu.

Hao maafisa wa Wizara ya utumishi unawasingizia bure wao wanafanya Kutokana na maelekezo,ni mtumishi gani awe na faili mezani linahusu masilahi asilitoe atakuwa hajipendi.
 
Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu,polisi wanatufanyia 'mambo majinga' mengi sana kisa tu kujipendekeza na kujikweza kwa masisiemu na viongozi wa juu but in turn they(cops) remain with 280k salaries while other servants enjoy the country with enough salaries.
 
Hili la wafanyakazi kutoongezewa mishahara waachieni wao maana wengi wanaridhika nalo .

Wamekubali kujitoa muhanga kwa miaka kumi kwa ajili ya maendeleo ya taifa hili na maendeleo ya kizazi kijacho.

JPM endelea kujenga nchi wafanyakazi wako nyuma yako lakini wakumbuke kwenye ufalme wako maana wana hali ngumu.
Pekeka huu upuuzi kwenu huko! Hii nchi ina watu wa ajabu jamani! Kweli hakuna nchi nyepesi kuongoza kama TZ! Raia wengi wapo wapo tu!
 
Mkuu acha uongo emu niambie ni mfanyakazi gani aliyeajiriwa mwaka 2014 na mwaka 2015 aliyepanda daraja????

Waliopandishwa daraja ni wale ambao walitakiwa wapande mwaka 2015/2016 wakaja wakapandishwa 2017/2018.

Magu ameharibu mfumo mzima,kupanda daraja ilikuwa kila baada ya miaka 3 sasa amebadilisha imekuwa kila baada ya miaka 4 yani uonevu mtupu.

Hao maafisa wa Wizara ya utumishi unawasingizia bure wao wanafanya Kutokana na maelekezo,ni mtumishi gani awe na faili mezani linahusu masilahi asilitoe atakuwa hajipendi.
hujawah kufka utumishi wewe
 
Back
Top Bottom