Suala la Mkataba wa Bandari: Ukisikia "ndani ntiti, nje ntiti" ndiyo hii sasa!

Suala la Mkataba wa Bandari: Ukisikia "ndani ntiti, nje ntiti" ndiyo hii sasa!

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
3,114
Reaction score
3,541
Naam wanabidi,

Kama mada inavyo jieleza, UKISIKIA NDANI ntiti nje ntiti ndio hii sasa. Leo makanisa ya Wakatoliki yatajaa Nia na madhumuni ni kusomewa waraka wa Maaskofu kuhusu Mkataba wa bandari zetu na DP world.

Huko Amerika, Diaspora jana wameandamana wakisema BANDARI ZETU URITHI WETU HAZIUZWI.

Mwabukusi na Mdude wanasema ndege ikisha pas hainaga reverse, wataendelea pale walipo ishia yaani kuupinga huu Mkataba hata ikibidi kuandaa maandamano ya kufa mtu.

Dr Wilbroad Slaa naye kasema harudi nyuma! Atapinga Mkataba Kwa nguvu zake zote, akili zake zote na Kwa roho yake yote. Anasema ni bora akataliwe duniani Kwa kusema ukweli kuliko kukataliwa mbinguni Kwa kuwa duniani hakukemea uongo.

Kwa taarifa za uhakika soon wasabato watatoa waraka wa kuukataa Mkataba na CCT muda siyo mrefu watakuwa na waraka mtakatifu wa kuupinga Mkataba.

Je, hii siyo NJE NTITI NDANI NTITI?
 
IMG-20230820-WA0004.jpg
 
Naam wanabidi,

Kama mada inavyo jieleza, UKISIKIA NDANI ntiti nje ntiti ndio hii sasa. Leo makanisa ya Wakatoliki yatajaa Nia na madhumuni ni kusomewa waraka wa Maaskofu kuhusu Mkataba wa bandari zetu na DP world.
Huko Amerika, Diaspora jana wameandamana wakisema BANDARI ZETU URITHI WETU HAZIUZWI.......!

Mwabukusi na Mdude wanasema ndege ikisha pas hainaga reverse, wataendelea pale walipo ishia yaani kuupinga huu Mkataba hata ikibidi kuandaa maandamano ya kufa mtu.

Dr Wilbroad Slaa naye kasema harudi nyuma ! Atapinga Mkataba Kwa nguvu zake zote, akili zake zote na Kwa roho yake yote. Anasema ni bora akataliwe duniani Kwa kusema ukweli kuliko kukataliwa mbinguni Kwa kuwa duniani hakukemea uongo.

Kwa taarifa za uhakika soon wasabato watatoa waraka wa kuukataa Mkataba na CCT muda siyo mrefu watakuwa na waraka mtakatifu wa kuupinga Mkataba.

Je, hii siyo NJE NTITI NDANI NTITI?
Muhubiri 4:13
Afadhali Kijana masikini mwenye hekima,kuliko Mfalme Mzee mpumbavu,ambaye hasikilizi shauri jema!

Heshima kubwa kwake Wakili msomi Boniface Mwabukusi na TEC!
 
Naam wanabidi,

Kama mada inavyo jieleza, UKISIKIA NDANI ntiti nje ntiti ndio hii sasa. Leo makanisa ya Wakatoliki yatajaa Nia na madhumuni ni kusomewa waraka wa Maaskofu kuhusu Mkataba wa bandari zetu na DP world.
Huko Amerika, Diaspora jana wameandamana wakisema BANDARI ZETU URITHI WETU HAZIUZWI.......!

Mwabukusi na Mdude wanasema ndege ikisha pas hainaga reverse, wataendelea pale walipo ishia yaani kuupinga huu Mkataba hata ikibidi kuandaa maandamano ya kufa mtu.

Dr Wilbroad Slaa naye kasema harudi nyuma ! Atapinga Mkataba Kwa nguvu zake zote, akili zake zote na Kwa roho yake yote. Anasema ni bora akataliwe duniani Kwa kusema ukweli kuliko kukataliwa mbinguni Kwa kuwa duniani hakukemea uongo.

Kwa taarifa za uhakika soon wasabato watatoa waraka wa kuukataa Mkataba na CCT muda siyo mrefu watakuwa na waraka mtakatifu wa kuupinga Mkataba.

Je, hii siyo NJE NTITI NDANI NTITI?
Na Waislamu na wasio na dini, vyama vyote wafanye hivi.

Hii kwa maslahi ya Taifa. Mkataba urekebishwe. Tumechoka na mbinu zenu CCM za kufungua kesi za mahakama za kimataifa halafu kuipiga pesa ndefu Tanzania.

Wanajua, wameweka vigezo, vipengele ambavyo kamwe hatuwezi kushinda kimataifa.

Wanachukua 10% wanaposaini mkataba na 10% tukishindwa kesi.
 
Kwahiyo serikali inaendeshwa na katoliki. Mtajua hamjui shenzi sana
Sio suala la kuendeshwa na Katoliki au la.....sikilizeni maoni ya wananchi....mliuleta mkataba wenyewe kwa wananchi watoe maoni japo mliwapa siku moja...maoni yanatolewa hamtaki mlikuwa mnadhani wananchi watakubali tu kama mnavyotaka....sasa tuwaeleweje?
 
Naam wanabidi,

Kama mada inavyo jieleza, UKISIKIA NDANI ntiti nje ntiti ndio hii sasa. Leo makanisa ya Wakatoliki yatajaa Nia na madhumuni ni kusomewa waraka wa Maaskofu kuhusu Mkataba wa bandari zetu na DP world.
Huko Amerika, Diaspora jana wameandamana wakisema BANDARI ZETU URITHI WETU HAZIUZWI.......!

Mwabukusi na Mdude wanasema ndege ikisha pas hainaga reverse, wataendelea pale walipo ishia yaani kuupinga huu Mkataba hata ikibidi kuandaa maandamano ya kufa mtu.

Dr Wilbroad Slaa naye kasema harudi nyuma ! Atapinga Mkataba Kwa nguvu zake zote, akili zake zote na Kwa roho yake yote. Anasema ni bora akataliwe duniani Kwa kusema ukweli kuliko kukataliwa mbinguni Kwa kuwa duniani hakukemea uongo.

Kwa taarifa za uhakika soon wasabato watatoa waraka wa kuukataa Mkataba na CCT muda siyo mrefu watakuwa na waraka mtakatifu wa kuupinga Mkataba.

Je, hii siyo NJE NTITI NDANI NTITI?
Ukitema nchale
Ukimumunya nchale
Ukimeza nchale...

Moja haikai
Mbili inagoma
Tatu inateleza..[emoji23]
 
Back
Top Bottom