Suala la Mkataba wa Bandari: Ukisikia "ndani ntiti, nje ntiti" ndiyo hii sasa!

Suala la Mkataba wa Bandari: Ukisikia "ndani ntiti, nje ntiti" ndiyo hii sasa!

Kwani huo mkataba una nini???hatuwataki hao waarabu! Kwanza hao jamaa wana roho mbaya huko makwao tena wana ubaguzi sana wa kidini, hatuwataki tu! Waende zazimbar huku tanganyika hatuwqtaki
Hamuwataki wewe na kanisa lako.

Sisi tunawasubiri kwa hamu.

Wewe hata harufu ya bandari huijuwi.
 
Unaweka Uchamaa unatoa Udinii unaongezaa Ufeminist unatoa Uzalendooo[emoji28][emoji28][emoji28] Mwisho tunaanza kupotezana na kutishiana maisha kwa Maslahi ya MUARABUUU.. hii nchi kinachoimaliza ni Kiongozi kukosa msimamooo aamue awe dikteta au asikilize matakwa ya wananchi na kutii katibaa HUWEZI KUWA VYOTE.
 
Mmechelewa jamvini, karamu imeshaliwa.

Hivi mnangoja mkataba wa kibiashara uanikwe kama IGA?

Hakuna biashara ya Kimataifa duniani ikaendeshwa hivyo.
 
Hamuwataki wewe na kanisa lako.

Sisi tunawasubiri kwa hamu.

Wewe hata harufu ya bandari huijuwi.
Subiri uone! Wakatoliki waukataa Mkataba.
CCT wanafuata.
Wasabato leo au kesho wanatoa uelekeo wao.
Kimsingi wapiga kura wote wa Tanganyika hawautaki.
Sasa 2025 Bado mtabaki na serikali???
Kumbuka hapo bado mambo mengi hayaja toka......!
Nje ntiti ndani ntiti.
 
1692510782813.png

Hapo palipoandikwa KESHO, weka neno LEO badala yake..!!

CC Mwl.RCT
 
Waarabu ni wakoloni wabaya kuliko wote.

Sehemu zote zilizo kaliwa na Waarabu ni Ngumu sana Kuendelea. Tangu eaondoke zimebaki vilevile. Mfano: Tabora, Tanga na Zanzibar ( huku zenji watalii wa kizungu ndio wanachangandha kwa Sasa)
 
Kuna CCM na Wahuni wengine walioenda ibadani Leo, wamepiga makofi balaa baada ya Waraka wa TEC kusomwa
 
Kwani huo mkataba una nini???hatuwataki hao waarabu! Kwanza hao jamaa wana roho mbaya huko makwao tena wana ubaguzi sana wa kidini, hatuwataki tu! Waende zazimbar huku tanganyika hatuwqtaki
Na huko Zanzibar wanaogopwa sana ba ndio sababu haswa inayosababisha kukataa dual nationality maana wanajua utakuwa mwanya wa wao waarabu kurudi… sasa ya nini sisi huku Tanganyika tusakiziwe waarabu ili hali huko visiwani wanaogopwa na Mapinduzi yalikuwa ni Kwa ajili yao? Revenge is sweetie today, tomorrow or mtondo goo… tuachane na waarabu na haya makikataba yao. Historia tuliyofundishwa Mashuleni juu ya watu hawa bado ipo na zile habari za kuwahasi mababu zetu bado zipo… Chuki zidi za hawa watu ni mbuyu mkubwa. Hangaya, futa kwanza historia hiyo ndio uanze kushadadia mikataba na wajomba zako huko uarabuni. History tuliyo fundishwa bado iko hai hata sasa- hawa watu si wazuri na huko mbeleni tukiwangangania watatutesa sana kwenye kila angel. Hangaya, kama unataka kuwa Golbachev wa Urusi ndani ya Tanzania, utatusambaratisha na hili unalijua vema. Hatutaki kusambaratishwa Kwa style ya Golbachev. Itatuchukua muda kumpata Putin wetu tena ili atupiganie kuleta umoja wa kitaifa….no hayo tu na najua unasomaga humu. Usije sema ulisomewa nusu nusu. Achana na hawa watesi wa Babu zetu. Wajukuu hatutaki…
 
Kwani huo mkataba una nini???hatuwataki hao waarabu! Kwanza hao jamaa wana roho mbaya huko makwao tena wana ubaguzi sana wa kidini, hatuwataki tu! Waende zazimbar huku tanganyika hatuwqtaki
Uarabu Sio tatizo, tatizo ni vipengele vya mkataba hata angekuja mzungu, mchina, nk.
Mbona ule wa bandari bagamoyo wananchi waliukataa na hawakuwa waarabu
 
Haa Waraka Unapiga Yoyote Mtajijua Huko Huko
 
Ku
Subiri uone! Wakatoliki waukataa Mkataba.
CCT wanafuata.
Wasabato leo au kesho wanatoa uelekeo wao.
Kimsingi wapiga kura wote wa Tanganyika hawautaki.
Sasa 2025 Bado mtabaki na serikali???
Kumbuka hapo bado mambo mengi hayaja toka......!
Nje ntiti ndani ntiti.
Kujipa moyo ni jambo jema
 
Malango ya nchi hayawezi kumilikishwa kwa nchi ya kigeni, wanapewa na eneo la chuo cha polisi kurasini....huu ni uhuni wa mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom