Hamuwataki wewe na kanisa lako.Kwani huo mkataba una nini???hatuwataki hao waarabu! Kwanza hao jamaa wana roho mbaya huko makwao tena wana ubaguzi sana wa kidini, hatuwataki tu! Waende zazimbar huku tanganyika hatuwqtaki
Hii nimeipenda
Subiri uone! Wakatoliki waukataa Mkataba.Hamuwataki wewe na kanisa lako.
Sisi tunawasubiri kwa hamu.
Wewe hata harufu ya bandari huijuwi.
Na huko Zanzibar wanaogopwa sana ba ndio sababu haswa inayosababisha kukataa dual nationality maana wanajua utakuwa mwanya wa wao waarabu kurudi… sasa ya nini sisi huku Tanganyika tusakiziwe waarabu ili hali huko visiwani wanaogopwa na Mapinduzi yalikuwa ni Kwa ajili yao? Revenge is sweetie today, tomorrow or mtondo goo… tuachane na waarabu na haya makikataba yao. Historia tuliyofundishwa Mashuleni juu ya watu hawa bado ipo na zile habari za kuwahasi mababu zetu bado zipo… Chuki zidi za hawa watu ni mbuyu mkubwa. Hangaya, futa kwanza historia hiyo ndio uanze kushadadia mikataba na wajomba zako huko uarabuni. History tuliyo fundishwa bado iko hai hata sasa- hawa watu si wazuri na huko mbeleni tukiwangangania watatutesa sana kwenye kila angel. Hangaya, kama unataka kuwa Golbachev wa Urusi ndani ya Tanzania, utatusambaratisha na hili unalijua vema. Hatutaki kusambaratishwa Kwa style ya Golbachev. Itatuchukua muda kumpata Putin wetu tena ili atupiganie kuleta umoja wa kitaifa….no hayo tu na najua unasomaga humu. Usije sema ulisomewa nusu nusu. Achana na hawa watesi wa Babu zetu. Wajukuu hatutaki…Kwani huo mkataba una nini???hatuwataki hao waarabu! Kwanza hao jamaa wana roho mbaya huko makwao tena wana ubaguzi sana wa kidini, hatuwataki tu! Waende zazimbar huku tanganyika hatuwqtaki
Uarabu Sio tatizo, tatizo ni vipengele vya mkataba hata angekuja mzungu, mchina, nk.Kwani huo mkataba una nini???hatuwataki hao waarabu! Kwanza hao jamaa wana roho mbaya huko makwao tena wana ubaguzi sana wa kidini, hatuwataki tu! Waende zazimbar huku tanganyika hatuwqtaki
KUjipa matumaini ni jambo jemaUkitema nchale
Ukimumunya nchale
Ukimeza nchale...
Moja haikai
Mbili inagoma
Tatu inateleza..[emoji23]
Kujipa moyo ni jambo jemaSubiri uone! Wakatoliki waukataa Mkataba.
CCT wanafuata.
Wasabato leo au kesho wanatoa uelekeo wao.
Kimsingi wapiga kura wote wa Tanganyika hawautaki.
Sasa 2025 Bado mtabaki na serikali???
Kumbuka hapo bado mambo mengi hayaja toka......!
Nje ntiti ndani ntiti.
Kwahiyo serikali inaendeshwa na katoliki. Mtajua hamjui shenzi sana
ina maana hujui ndege ya raisi ilipo?Fedha za kishika uchumba watarudisheje Kwa mwaraabu
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Yani mimi hapa ndio nashindwa kuelewa kama mkataba una nufaisha taifa na wenye taifa hawautaki si utafute wa wekezaji wengineHili limkataba kwa nini samia kaling'ang'ania kuna nini?
Kabisa sasa sijui kwa nini sa100 anataka kuforce sijui yani🤷Yani mimi hapa ndio nashindwa kuelewa kama mkataba una nufaisha taifa na wenye taifa hawautaki si utafute wa wekezaji wengine