Suala la Mkuu wa Nchi kutoa mkeka nusu nusu unaohusu uteuzi wa nafasi za Uwaziri na Manaibu lipo vipi?

Duh ... ila we mtu wewe...!, zamani tuliaminishwa the best wa intel ni Jews, lakini kumbe Warusi nao ni noma, mkeka haujatoka jf tayari tunao!, utakuja kusababisha printer ihamishiwe chumbani!
P
Yes Ila jews bado wako vema kaka muulize Yule daktari mrembo ambaye Kidogo muoane ambaye kaishi na kusoma huku udaktari

Britanicca
 
Mramba Alisha najisi wizara ya fedha , hakuna mchaga atasogelea pale wizara ya mapene!
 
Yes Ila jews bado wako vema kaka muulize Yule daktari mrembo ambaye Kidogo muoane ambaye kaishi na kusoma huku udaktari

Britanicca
Duh...!, Duh...!, Duh...! Aise wewe ni noma!. Usikute ndio wewe ulikuwa unanilia hiyo kitu yangu kule Rostov on Dhow!.

Anyway nilikuwa TA wiki ya Elimu, June, nikaenda kumsalimia ma mkwe, July, akatuacha, akatwaliwa!, hivyo amefiwa na mama!.
Inabidi tutafutane!.
P
 
Mramba Alisha najisi wizara ya fedha , hakuna mchaga atasogelea pale wizara ya mapene!
Aiseee nyakati hubadilika mkuu, ingekuwa hivyo watu wa kanda ya Pwani wasingefaa kwa sababu ya Kikwete namna ambavyo utawala wake ulikuwa na skendo nyingi za ufisadi mkubwa mkubwa wa kutisha.
 
Haha wala si Mimi kaka
Mpe pole sana aisee

Britanicca
 
Unabananga kiswahili unatia aibu:
Maji unywewa = maji hunywewa,
Chakula uliwa= chakula huliwa.
Kwani wewe kanda ya ziwa mla matoke?
 
Hana kazi za kufanya na hiyo ndiyo kazi anayoiweza
 
Haha wala si Mimi kaka
Mpe pole sana aisee

Britanicca
Rafiki unajua hata wakati magufuri amefariki ulitia codes kwa mbali za sbb ya kufa kwake.Vipi hebu funguka basi tujue mioango Gani ilifanywa hadi Rais wetu mwenye ulinzi alifariki wakati alikuwa mzima sana wakati anamaliz ziara kwenye stend ya mabasi Mbezi.Kariby mkuu ututonye
 
Iwe sahihi au sio sahihi mimi nachukulia kuwa hii ni taarifa kamili kuwa kuna walimwengu wengine wanapigwa chini soon na kuungana na bwaku bwaku nape na mwenzie mgosi. Sikupingi Mkuu britanicca
 
Mkeka ujao nipo pamoja na Msigwa ole wao niwepo naenda kushita kwa Rais , hawezekaniki kila siku nakipigania chama alafu sili matunda ya nguvu yangu.
Mh Rais nimechoka nataka uniteuwe sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…