Ninakuombea sana sana ili upate teuzi hata ya ukuu wa wilaya angalao kwa mwaka mmoja tu..🙏Duh ... ila we mtu wewe...!, zamani tuliaminishwa the best wa intel ni Jews, lakini kumbe Warusi nao ni noma, mkeka haujatoka jf tayari tunao!, utakuja kusababisha printer ihamishiwe chumbani!
P
Haangalii maendeleo ya nchi ila anaangalia mwaka 2025 atapitaje kuwa mkuu tena. Ndiyo maana ya SSH2025. Ndo siasa zetu. Kila kukicha wanawaza uchaguzi maana wanafaidika nao. Wakimaliza wanawaza 2030 na siyo wanawaza wameshawaza. Wanatugeuza hatujitambui. Watu wa leo siyo wa mwaka 47.Habari ndugu zetu!
Hivi kwa hali ya uongozi ilivyo katika nchi pendwa yetu!
Je, ni kosa Mkuu wa nchi akatengua na kuteua kwa siku mbili au Tatu mfululizo kwenye nafasi za uwaziri na unaibu?
Mfano unasikia leo au Kesho anatoa ka mkeka kengine ka mawaziri wengine kuteuliwa na kutenguliwa? Au manaibu Wengine kuteuliwa na kutenguliwa?
Yaani Manaibu wengine wanapigwa chini na Mawaziri wengine kama watatu wakatolewa yaan mikeka inakuja Nusu nusu?
Britanicca
Msigwa akiteuliwa sisi tunaopigania chama tutahoji katiba yetu. Ili uwe kiongozi ndani ya chama chetu CCM unatakiwa uwe mwanachama hai miaka 5. Msigwa hata mwaka bado. Tutamsusia chama!Mkeka ujao nipo pamoja na Msigwa ole wao niwepo naenda kushita kwa Rais , hawezekaniki kila siku nakipigania chama alafu sili matunda ya nguvu yangu.
Mh Rais nimechoka nataka uniteuwe sasa
Mwache aende hivyo hivyo mwisho ajitengue na mwenyewe, na hivi huwa hasomi anachowekewa mezani🙌Habari ndugu zetu!
Hivi kwa hali ya uongozi ilivyo katika nchi pendwa yetu!
Je, ni kosa Mkuu wa nchi akatengua na kuteua kwa siku mbili au Tatu mfululizo kwenye nafasi za uwaziri na unaibu?
Mfano unasikia leo au Kesho anatoa ka mkeka kengine ka mawaziri wengine kuteuliwa na kutenguliwa? Au manaibu Wengine kuteuliwa na kutenguliwa?
Yaani Manaibu wengine wanapigwa chini na Mawaziri wengine kama watatu wakatolewa yaan mikeka inakuja Nusu nusu?
Britanicca
Kiboko ni Ummy hakuna cha maana anafanya lakini yupo kwenye teuzi zote
Huyu kabakishwa kwa ndumbaPlus yule Ashantu Kijaji,anakula mishahara ya Bure!
Weee jamaa wewe..ngoja uteuzi wangu utenguliwe ndo niteuliwe tenaHabari ndugu zetu!
Hivi kwa hali ya uongozi ilivyo katika nchi pendwa yetu!
Je, ni kosa Mkuu wa nchi akatengua na kuteua kwa siku mbili au Tatu mfululizo kwenye nafasi za uwaziri na unaibu?
Mfano unasikia leo au Kesho anatoa ka mkeka kengine ka mawaziri wengine kuteuliwa na kutenguliwa? Au manaibu Wengine kuteuliwa na kutenguliwa?
Yaani Manaibu wengine wanapigwa chini na Mawaziri wengine kama watatu wakatolewa yaan mikeka inakuja Nusu nusu?
Britanicca
Ukisema wewe sisi ni nani tusiamini😅😅Nasikia harufu ya kautenguzi ka wengine ndani ya siku mbili Tatu hizi ,
Nauliza tu mfano ukaambiwa yule Ummy mwalimu kapigwa chini je watasubiri waapishwe pamoja na wajana au ?
Nilijua Huyu tayariNauliza tu mfano ukaambiwa yule Ummy mwalimu kapigwa chini je watasubiri waapishwe pamoja na wajana au ?
Tumesubiri mtoza ushuru kapona safari hii?Nilijua Huyu tayari
AiseeNauliza tu mfano ukaambiwa yule Ummy mwalimu kapigwa chini je watasubiri waapishwe pamoja na wajana au ?