Suala la msanii AY kutoka kuwa wa Kimataifa mpaka kugeuka “Chawa mwandamizi” linahitaji mjadala fikirishi

AY angekuwa km kaka yake angejisikia sana aisee.
Sio kweli, huyo jamaa ana vitu vingi ila sio mtu wa kuvianika nje watu wavione kwa hio kua upande mmoja na FA hajaanza jana na hapo amekosekana Fid Q nadhani ndie alie wapuga picha, ukimkuta Fid utamkuta AY utamkuta FA ni hivyo
 
Eti mbongo kapuku unaoa mnyarwanda.
Kiko wapi sasa?
 
Eti mbongo kapuku unaoa mnyarwanda.
Kiko wapi sasa?
Huyo usimfananishe na wewe mtu km humjui kiundani ni vizuri ukapiga kimya, haumfikii huyo sio mwenzio wewe kua upande usio upenda wewe haina maana anakukosea kwa chochote ni maamuzi yake binafsi hata wewe kua upande wako hakupangii, ushawahi kuoa mnyarwanda?
 
Uko sahihi kabisa mr chawa mwandamizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…