Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Hivi kumbe waliachana na yule mkewe mnyarwanda.! Vipi kuhusu mgao wa mali na divorce alimony, jamaa ali-hakimize mali zake au alizidiwa ujanja na demu?Pigo la kuachana na mkewe limemtafuna ubongo, hadi leo naona hayuko sawa!