Sasa kama anakaa bench lazima kiwango kishuke, unajua kila unapocheza unakuwa unajibolesha, maana upinzani wa jana si wa leo.Kagere naye kashuka kiwango.
Hebu mfananishe na Kagere wakati anasajiriwa.
Simba kwa sasa mfungaji bora ni John Boko sema bado yuko majeruhi.
Ila ukimchukua Kagere na Mugalu katika swala la kufunga magoli basi Kagere ni mzuri zaidi.
Unaambiwa kocha anamwanzisha Mugalu ili akabe hapo ndani ya 18 ya adui.
AhahahaNjoo huku mkuu....
Uzi wako unakusubiri.
Kagere ni mzuri kufunga kuliko Mugalu..na analingana kwa sifa zilizobaki na mugalu na kikubwa zaidi kagere ana kasi kuliko mugalu.
Anyway, mkuu ID yako na coment yako nimeisave. Muda ni mwamuzi mzuri namimi sitasita kukukumbusha.
Kwa Mugalu sina neno ila kiufupi ni kwamba ni mwendawazimu pekee atakayeamin kuwa Mugalu ni Striker wa kutisha.
Kuhusu Mkude nakubali kabisa, jamaa alishapotea toka dakika ya kwanza mpaka ya mwisho, hakuwa mchezoni kabisa.
Tuseme ni Yikpe mwenye asili ya Congo
Hawezi kuonekana, atakuwa huko tandale kwa mfuga mbwa amejifunika blanketi lenye kungunj na viroboto anagugumia tu kwa maumivu.Uko wapi sasa
Aje huku tuhangaike nayemwenye uzi wake
Kagere ni mzuri kufunga kuliko Mugalu..na analingana kwa sifa zilizobaki na mugalu na kikubwa zaidi kagere ana kasi kuliko mugalu.
Anyway, mkuu ID yako na coment yako nimeisave. Muda ni mwamuzi mzuri namimi sitasita kukukumbusha.
Sasa mkuu...habari za rede zimetoka wapi...au unatumia nyenzo za kukalia ktk kufikiriaEti mpira unajua kwa kuitazama na kuucheza! Ulipoanza na hiyo Sentensi tu nimejua kuwa huyu Hamna Kitu ni mweupe.
Yani wewe Dogo kucheza Rede shule ya Msingi ndiyo unasema umecheza Mpira?
Sawa Muda ni Mwalilimu mzuri umeshakuumbua.
Mkuu nimekuj kumkumbusha