Suala la Mugalu imenifanya nigundue jinsi gani wachambuzi wengi wa soka Bongo ni bendera fata upepo

Suala la Mugalu imenifanya nigundue jinsi gani wachambuzi wengi wa soka Bongo ni bendera fata upepo

Kagere naye kashuka kiwango.
Hebu mfananishe na Kagere wakati anasajiriwa.
Simba kwa sasa mfungaji bora ni John Boko sema bado yuko majeruhi.

Ila ukimchukua Kagere na Mugalu katika swala la kufunga magoli basi Kagere ni mzuri zaidi.
Unaambiwa kocha anamwanzisha Mugalu ili akabe hapo ndani ya 18 ya adui.
Sasa kama anakaa bench lazima kiwango kishuke, unajua kila unapocheza unakuwa unajibolesha, maana upinzani wa jana si wa leo.
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kagere ni mzuri kufunga kuliko Mugalu..na analingana kwa sifa zilizobaki na mugalu na kikubwa zaidi kagere ana kasi kuliko mugalu.

Anyway, mkuu ID yako na coment yako nimeisave. Muda ni mwamuzi mzuri namimi sitasita kukukumbusha.

Mkumbushe basi [emoji1787][emoji1787]
 
Kwa Mugalu sina neno ila kiufupi ni kwamba ni mwendawazimu pekee atakayeamin kuwa Mugalu ni Striker wa kutisha.

Kuhusu Mkude nakubali kabisa, jamaa alishapotea toka dakika ya kwanza mpaka ya mwisho, hakuwa mchezoni kabisa.

Uko wapi sasa
 
Kagere ni mzuri kufunga kuliko Mugalu..na analingana kwa sifa zilizobaki na mugalu na kikubwa zaidi kagere ana kasi kuliko mugalu.

Anyway, mkuu ID yako na coment yako nimeisave. Muda ni mwamuzi mzuri namimi sitasita kukukumbusha.

Eti mpira unajua kwa kuitazama na kuucheza! Ulipoanza na hiyo Sentensi tu nimejua kuwa huyu Hamna Kitu ni mweupe.

Yani wewe Dogo kucheza Rede shule ya Msingi ndiyo unasema umecheza Mpira?

Sawa Muda ni Mwalilimu mzuri umeshakuumbua.
 
Eti mpira unajua kwa kuitazama na kuucheza! Ulipoanza na hiyo Sentensi tu nimejua kuwa huyu Hamna Kitu ni mweupe.

Yani wewe Dogo kucheza Rede shule ya Msingi ndiyo unasema umecheza Mpira?

Sawa Muda ni Mwalilimu mzuri umeshakuumbua.
Sasa mkuu...habari za rede zimetoka wapi...au unatumia nyenzo za kukalia ktk kufikiria
 
IMG_3743.jpg

Hapo vipi mleta mada
 
Back
Top Bottom