Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Kwa sasa pale Simba mimi kwa uzoefu wangu wa kufundisha soka kidogo siwezi kumpanga striker mwingine tofauti na Mugalu
Kagere anajua kufunga ila ni much dependent kwa kazi ya team yaani kama mnacheza na watu wachache juu na mnadefend kuzuia kushambuliwa kirahisi hutopata matokeo yake mazuri.Mugalu ile ball control aliyonayo na hata accuracy passing aliyonayo kamzidi mbali Kagere.Kama timu inaweza kupata matokeo kwa advantage ya striker kuwa strong kupigania mipira na washambuliaji wengine wakatumia mwanya wa gaps zilizoachwa wazi kufunga siwezi kumchezesha mchezaji ambaye anasubiri atafuniwe tu yeye anameza maana naweza kupata matokeo kwa njia nyingine ya middle zangu nzuri.
Nimewahi kutumia mbinu hiyo na kupata matokeo mazuri mno , yaani unakuwa na striker mwenye nguvu kazi yake kuwapa kivuli mabeki akina 10 ,8 ,11,7 wanapata urahisi wa kupenya kuichambua timu pinzani tunafunga goli.One match nakumbuka timu tulicheza wana beki mzuri mno (mzee wa kuosha mbele ) nikagundua wao walikuwa flopy kwenye middle so yule beki ndiye tegemeo lao kupeleka mipira mbele nikamwekea njemba inakaa nae kama ni mpira ukija beki anabaki kuhangaishana na njemba njemba anaweka kwenye njia 10 anazunguka anaweka nyavuni.Mipira ikawa haitoki nyuma kirahisi so mabeki wetu wakasogea juu na tukawabana vilivyo tukachukua ushindi mnono wa goli 8 though walikuwa wana awinga wazuri tu na 10 mzuri sana
Simba wanapaswa kutafuta striker mwenye uwezo wa kupiga chenga,kuhold mipira na kufunga , yaani striker ambaye anaweza kukusanya watu wawili hata watatu na kufunga maana ndicho tumekosa pale.Hawa waliopo wana mapungufu tunawatumia hivyo hivyo tu kibabe sasa huwezi kuchukua mtu dhaifu zaidi ukamweka benchi mtu dhaifu.
Kagere alishine kwenye mfumo wa Aussems aliyejiachia na kusahau deffensive roles zaidi ,Aussems aliamini kwenye kucheza tu si kuzuia kufungwa ,bali kufungwa huku tunafunga mwisho tuhesabu nani mshindi ndiyo maana wakati wa Aussems Kagere alishine cos timu ilikuwa inashambulia zaidi na alikuwa na washambuliaji hatari pale mbele na wote walicheza yaani BOKO ,OKWI NA KAGERE by now hatuchezi vile so kubalini tu maana huyu kocha anatafuta matokeo usidhani anatafuta kufungwa
Kagere anajua kufunga ila ni much dependent kwa kazi ya team yaani kama mnacheza na watu wachache juu na mnadefend kuzuia kushambuliwa kirahisi hutopata matokeo yake mazuri.Mugalu ile ball control aliyonayo na hata accuracy passing aliyonayo kamzidi mbali Kagere.Kama timu inaweza kupata matokeo kwa advantage ya striker kuwa strong kupigania mipira na washambuliaji wengine wakatumia mwanya wa gaps zilizoachwa wazi kufunga siwezi kumchezesha mchezaji ambaye anasubiri atafuniwe tu yeye anameza maana naweza kupata matokeo kwa njia nyingine ya middle zangu nzuri.
Nimewahi kutumia mbinu hiyo na kupata matokeo mazuri mno , yaani unakuwa na striker mwenye nguvu kazi yake kuwapa kivuli mabeki akina 10 ,8 ,11,7 wanapata urahisi wa kupenya kuichambua timu pinzani tunafunga goli.One match nakumbuka timu tulicheza wana beki mzuri mno (mzee wa kuosha mbele ) nikagundua wao walikuwa flopy kwenye middle so yule beki ndiye tegemeo lao kupeleka mipira mbele nikamwekea njemba inakaa nae kama ni mpira ukija beki anabaki kuhangaishana na njemba njemba anaweka kwenye njia 10 anazunguka anaweka nyavuni.Mipira ikawa haitoki nyuma kirahisi so mabeki wetu wakasogea juu na tukawabana vilivyo tukachukua ushindi mnono wa goli 8 though walikuwa wana awinga wazuri tu na 10 mzuri sana
Simba wanapaswa kutafuta striker mwenye uwezo wa kupiga chenga,kuhold mipira na kufunga , yaani striker ambaye anaweza kukusanya watu wawili hata watatu na kufunga maana ndicho tumekosa pale.Hawa waliopo wana mapungufu tunawatumia hivyo hivyo tu kibabe sasa huwezi kuchukua mtu dhaifu zaidi ukamweka benchi mtu dhaifu.
Kagere alishine kwenye mfumo wa Aussems aliyejiachia na kusahau deffensive roles zaidi ,Aussems aliamini kwenye kucheza tu si kuzuia kufungwa ,bali kufungwa huku tunafunga mwisho tuhesabu nani mshindi ndiyo maana wakati wa Aussems Kagere alishine cos timu ilikuwa inashambulia zaidi na alikuwa na washambuliaji hatari pale mbele na wote walicheza yaani BOKO ,OKWI NA KAGERE by now hatuchezi vile so kubalini tu maana huyu kocha anatafuta matokeo usidhani anatafuta kufungwa