Suala la mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar wala lisifanywe la kisiasa, pitieni hapa msome muelewe sababu

Familia yake ndiyo wana maamuzi
Azikiwe wapi!

Ova
Wabongo wengi suala la kusema "naheshimu maamuzi yako katika jambo hili ambalo una uhuru wote wa kuamua wewe binafsi, hata kama mimi nisingeamua hivyo" ni suala gumu sana.

Yani hata ukimwambia mtu mimi napenda nyekundu sipwndi bkuu, hawezi juelewa juwa huo nibuamuzi wa binafsi na una uhuru huo.

Atataka kukusema "wewe utapenda vipi nyekundu wewe?".

Wengi masuala ya faragha ya binafsi, uhuru wa binafsi, ni masuala magumu sana kuyaelewa.

Kwa sababu wamezoea kuswagwa kama ng'ombe na kuishi kwa kukariri formula na kwenda kwa amri kutoka juu.

Hawajui uhuru ni nini.
 
Ukichota mchanga bara ukaenda kuumwaga zanzibar kuna shida gani.
A dead body is nothing, ukifa we sii kitu, unaliwa na wadudu iwe bara iwe znz
Imagine watu wanaiingilia familia ya wenzao kwenye suala la mazishi.

Unailazimisha vipi familia ya watu wasiokujua wapi wamzike baba yao?
 
Mwinyi hata nyumba Zanzibar Hana, Sasa alikuwa anaishi Kwa nani, AU kwenye Yale maflat ya pale unguja ?
Mkuu,

Tuseme Mwinyi hakuwa na nyumba Zanzibar, just for the sake of argument.

Hao watu wote wanaoishi Dar wana nyumba zao Dar?
 
Hapo juu nilimjibu nikamwambia kwamba binadamu akishakufa amekufa, sasa ukimzika kiembe samaki, mwanalumango, Ujerumani, UK nk haiwezi kubadilisha kitu.

Hawa hawa wanaopinga Mwinyi kuzikwa Zanzibar wakienda kanisani au misikitini utasikia wanasema kuwa binadam wote tulitoka udongoni, na tutarudi udongoni. Hivyo mtu akizikwa popote haina tatizo ilimradi mzikwaji awe amezikwa udongoni kule alipotokea. Sasa hapo tatizo liko wapi!
 
Acha roho ya kishetani. Halafu sema "mimi" sio "sisi".... usitujumuishe kwenye upumbavu wako
Umemjibu vizuri huyo mpumbavu mwenye roho ya kichawi. Siku ya kifo cha Lowasa kila uzi aliingia kumsifu na kuisikitikia familia yake kama vile na yeye ni mmoja wa wanafamilia.

Leo ameondoka mtu ambae leo hii kaifanya nchi ijue maendeleo ni kitu gani anakuja hapa kutapika mapombe yake aliyonywehwa na rafiki zake usiku.
 
Kwanini walimshadadia akazikwe kule kama yeye alitamani kuzikwa bara? Nini mzizi wa yote?
Ni wapi aliposhadadia akazikwe bara?

Unao ushahidi mkuu utuwekee hapa!
 
Kwani unafikiri tatizo lao ni Mwinyi anazikwa wapi?

Tatizo lao ni kwamba Mwinyi anazikwa huko "kinyume na wosia wake, ambao alisema anataka kuzikwa Mkuranga".

Na wanasema anazikwa huko kwa sababu za kisiasa.

Tatizo, huo wosia wake hawana ushahidi kwamba upo, ni wa hadithi tu.
 
MBONA UBUNGE ALIGOMBEA MKURANGA KWANI HAKUGOMBEA ALIKOKULIA na KUOA?
Rudi tena kusoma mada yangu mkuu, naona umekimbilia ku comment bila kusoma au kama ulisoma basi haukuelewa. Mimi sipingi mzee Mwinyi kuzikwa Mkuranga wala Zanzibar mkuu.

Nafikiri umenisoma vibaya!
 
Mswahili ukimuanzishia jambo tu basi atalimalizia yeye hata kama hatojua sababu ya kulianzisha hilo jambo.

Mimi nilitambalia mlemle walipopataka. Nikawambia sawa mzee Mwinyi tufanye alitaka azikiwe kwao, lakini baadae pengine watoto wake walikaa nae wakamshauri akifa wakamzike Zanzibar na yeye akakubali.

Sasa kama amekubaliana na familia yake kuwa azikiwe Zanzibar, hawa wanaopinga au kulaumu wanatumia kigezo gani kulaumu familia ya muhusika na wakati walipokaa kumshauri mzee wao hawa wanaolaumu hawakuwepo!

Badala ya kupewa jibu nikaishia kushambuliwa tu mwanzo mwisho bila kujibiwa.
 
Halafu watu hawa hawa wasiotaka kuipa familia ya Mwinyi uhuru wa kuamua baba yao azikwe wapi, watakuja hapa kudai uhuru kutoka serikalini, kudai haki zao za kikatiba.

Wakati wao wenyewr wameshindwa kuipa familia ya Mwinyi faragha ya kifamilia tu, tena katika msiba.

Hivi hata huo uhuru wanauelewa kweli?
 
Hukufurihia kwasababu tu znz ila dar wp wng kwao mikoani lkn wanazikwa dar jua ya kwamba wk wengi wny asili ya bara na znz lkn hawakubali familia kuzikwa bara

mzee mwinyi haikufk mwezi mmoja km yupo tz lzm znz aje uhae wk wte sio km nnahadithiwa tulimuona wa znz mpk wtu wanashangaa kuambiwa sio mzanzibar lkn aliwathmin wznz kwa hali zte changa mote na misukosuko yte mzee mwinyi hakuwa nyuma zidi ya wznz

familia kukubaliana hawajakosea namna mzee alivokaa na wa znz

Wznz wanamsemo huu,sehm unapolelewa na ww nikwenu ukisoma historia yk tu huewz kulalamikia maamuzi ya familia
 
Karume Babu zake walizikwa Malawi, yeye kazikwa Kisiwandui, na hakuna nongwa
 
Mwinyi hata nyumba Zanzibar Hana, Sasa alikuwa anaishi Kwa nani, AU kwenye Yale maflat ya pale unguja ?
Soma historia yk vzr utajifunza kitu usipoteshe fanya utafit kumbuka alikua mwalim mkuu skuli ya makadara mjni znz miaka ming kabla ya hapo alikua mwalim wa kawaida miaka mingi tu na nyumba yk ipo hadi leo na kipindi anaishi mikwechen km yupo tz hawez kufk mwez mmoja lazima aje znz akipenda kutumia usafir wa boti nenda bandarin dar utapata uhalisia na km hufahm anashamba lake sehm inoitwa kitopo mara nyingi akija anaenda wng hamfaham mnaongea kumba
 
Unaishi njombe huko ndani ndani hujui mwinyi tangu kastaafu anaishi mikocheni !


Tuma ndugu zako walioko dar waende sehemu inaitwa mikocheni Kwa mwinyi
 
Eti kaishi Zanzibar miaka 90,pale mikocheni Zanzibar?

Wamekataa kumpeleka mkuranga kwao, makazi duni ni aibu ingepata
 
Maswali nimekuuliza pale juu naona umeshindwa kujibu ili tujue mvivu kati yetu ni nani, naamini umepata jibu ukaamua kupotezea usijali kiutu uzima nimekuelewa, naona umerukia sehemu nyingine kama kawaida yako....

Unaposema: " hakuna sababu yoyote ya kumfanya Mwinyi asitake kuzikwa Zanzibar" kwani ulikuwa unaingia ndani ya kichwa chake kuona nini alichokuwa akifikiria wakati akiwa hai? huoni kama huu nao ni "uzushi" wako!, ajabu one minute unajidai hupendi uzushi, next unaleta uzushi wako!.

Unadai tena: "hakuna logical consistency yoyote.." unaweza vipi kuipata consistency kwa jambo lililoanza kuzungumzwa juzi baada ya kifo chake? Hujioni ulivyo mweupe hata usiyejua maana ya consistency!.

- Usilazimishe kuufunga mjadala because of your lazy mind - kusubiri ushahidi, wacha tunaofikirisha bongo zetu tuendelee kutafakari mbele tutaipata hiyo logical consistency yako.

Unaita tena sababu nazotoa ni "uzushi pure" sijui unatumia kipimo gani kudhani hivyo, narudia tena kama ni fikra zako, basi uko wrong, kwasababu wewe sio kipimo cha usahihi hapa duniani, kujua uzushi upi ni pure, na upi sio pure, hata kama unatumia "logic" yako, kwangu huo ni ujuaji wako tu.

Lastly, huo mfano uliotoa wa .... mimi kuwa sawa na kula nyama za watu, hapo ndio naona kabisa umechoka akili ndugu, pumzika, maana hata mambo unayozungumzia hayaendani tena na mada iliyoko mezani, umegeuka ndege anayerukia kila tawi la mti, bahati mbaya kwake miti yote huteleza!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nikajua unajua kumbe unahisi. Hao unaowasema watoto wake ikiwa ni pamoja na Rais wa Zanzibar Dr. Mwinyi, aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mbona hakutengwa kwa vile ni Mzanzibar? Mkuranga ndo kwao hayo mengine ya Mzee Ruksa kuzikwa Zanzibar ni ya kutafuta uhalali wa kisiasa wa Dr. Mwinyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…