Suala la mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar wala lisifanywe la kisiasa, pitieni hapa msome muelewe sababu

Suala la mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar wala lisifanywe la kisiasa, pitieni hapa msome muelewe sababu

Watanzania tupeane pole kwa msiba huu mzito katika taifa letu.

Kuna watu wanashangazwa na hili swala la kuamua kuhamisishia msiba wa mzee Mwinyi Zanzibar, wakidai kuwa mzee huyo alikuwa asha usia kuwa akifariki akazikiwe kwao Mkuranga walipozikiwa na kulazwa wazazi wake na babu zake.

Wengi wanalaumu bila kujua ni nini kilichojadiliwa kati ya mzee Mwinyi na familia yake kabla ya umauti kumkuta. Je, kama walijadiliana nae na mzee kuridhia kuzikiwa Zanzibar alipokulia, kuoa, na kuzaa watoto wake huko?

Ni kweli mzee Mwinyi ana asili ya kwetu bara, lakini ukiangalia muda alioondoka bara kwenda Zanzibar mpaka sasa ni almost miaka 90 ambayo ni sawa na karne nzima. Sasa mtu ambae aliondoka bara miaka 90 iliyopita inamaana kwa sasa wale watu waliokuwa wanamfahamu na kumjua kupitia wazazi wake kama vile mashangazi, wajomba, baba wadogo, mama wadogo nk wameshafariki muda mrefu sana. Hakuna anaemfahamu kiundani zaidi ya wale walioko Zanzibar.

Ni kweli wakati alipokuwa raisi na hata baada ya uraisi huenda alikuwa anakwenda kwao mara moja moja, lakini sasa wale watu wake wa muhimu ambao wangemfanya kuvutiwa na kwao wameshafariki hivyo alikuwa ni kama vile mtu mpya au muhamiaji asiefahamika kijijini kwao. Familia nzima mke na watoto ni wenyeji wa Zanzibar, sasa kuna ubaya gani watoto kuongea na mzee wao ili kumsihi azikiwe kule alipoanzia kujenga familia yake ambapo ana watu wengi wanaomfahamu zaidi ya huku alipotokea.

Binafsi nafikiri hili swala la kuzikiwa Zanzibar lina baraka zake baada ya watoto na mke / wake zake kukaa na kumuelewesha hadi mzee kubadili gia angani na kuridhia kuzikwa Zanzibar ila imekuwa siri tu ya kifamilia. Wao sio wajinga wa kukurupuka kupishana na usia wa baba yao, na wakati ni watu wazima wenye elimu zao lakini pia wanafahamu vizuri madhara ya kupishana na usia wa marehemu, hivyo naona wanabaraka zake wala hawakukurupuka yaje yawakute yaliowakuta wengine waliopishana na usia wa ndugu zao.
Nchi hii ni Tanzania, alikuwa Rais wa Zanzibar na wa JMT. ANGEWEZA KUZIKWA sehemu yoyote ndani ya JMT
 
Watanzania tupeane pole kwa msiba huu mzito katika taifa letu.

Kuna watu wanashangazwa na hili swala la kuamua kuhamisishia msiba wa mzee Mwinyi Zanzibar, wakidai kuwa mzee huyo alikuwa asha usia kuwa akifariki akazikiwe kwao Mkuranga walipozikiwa na kulazwa wazazi wake na babu zake.

Wengi wanalaumu bila kujua ni nini kilichojadiliwa kati ya mzee Mwinyi na familia yake kabla ya umauti kumkuta. Je, kama walijadiliana nae na mzee kuridhia kuzikiwa Zanzibar alipokulia, kuoa, na kuzaa watoto wake huko?

Ni kweli mzee Mwinyi ana asili ya kwetu bara, lakini ukiangalia muda alioondoka bara kwenda Zanzibar mpaka sasa ni almost miaka 90 ambayo ni sawa na karne nzima. Sasa mtu ambae aliondoka bara miaka 90 iliyopita inamaana kwa sasa wale watu waliokuwa wanamfahamu na kumjua kupitia wazazi wake kama vile mashangazi, wajomba, baba wadogo, mama wadogo nk wameshafariki muda mrefu sana. Hakuna anaemfahamu kiundani zaidi ya wale walioko Zanzibar.

Ni kweli wakati alipokuwa raisi na hata baada ya uraisi huenda alikuwa anakwenda kwao mara moja moja, lakini sasa wale watu wake wa muhimu ambao wangemfanya kuvutiwa na kwao wameshafariki hivyo alikuwa ni kama vile mtu mpya au muhamiaji asiefahamika kijijini kwao. Familia nzima mke na watoto ni wenyeji wa Zanzibar, sasa kuna ubaya gani watoto kuongea na mzee wao ili kumsihi azikiwe kule alipoanzia kujenga familia yake ambapo ana watu wengi wanaomfahamu zaidi ya huku alipotokea.

Binafsi nafikiri hili swala la kuzikiwa Zanzibar lina baraka zake baada ya watoto na mke / wake zake kukaa na kumuelewesha hadi mzee kubadili gia angani na kuridhia kuzikwa Zanzibar ila imekuwa siri tu ya kifamilia. Wao sio wajinga wa kukurupuka kupishana na usia wa baba yao, na wakati ni watu wazima wenye elimu zao lakini pia wanafahamu vizuri madhara ya kupishana na usia wa marehemu, hivyo naona wanabaraka zake wala hawakukurupuka yaje yawakute yaliowakuta wengine waliopishana na usia wa ndugu zao.
Ni 'suala'
Siyo 'swala'-mnyama

Hilo moja; la pili umeandika utumbo mkuu!
 
Watanzania tupeane pole kwa msiba huu mzito katika taifa letu.

Kuna watu wanashangazwa na hili swala la kuamua kuhamisishia msiba wa mzee Mwinyi Zanzibar, wakidai kuwa mzee huyo alikuwa asha usia kuwa akifariki akazikiwe kwao Mkuranga walipozikiwa na kulazwa wazazi wake na babu zake.

Wengi wanalaumu bila kujua ni nini kilichojadiliwa kati ya mzee Mwinyi na familia yake kabla ya umauti kumkuta. Je, kama walijadiliana nae na mzee kuridhia kuzikiwa Zanzibar alipokulia, kuoa, na kuzaa watoto wake huko?

Ni kweli mzee Mwinyi ana asili ya kwetu bara, lakini ukiangalia muda alioondoka bara kwenda Zanzibar mpaka sasa ni almost miaka 90 ambayo ni sawa na karne nzima. Sasa mtu ambae aliondoka bara miaka 90 iliyopita inamaana kwa sasa wale watu waliokuwa wanamfahamu na kumjua kupitia wazazi wake kama vile mashangazi, wajomba, baba wadogo, mama wadogo nk wameshafariki muda mrefu sana. Hakuna anaemfahamu kiundani zaidi ya wale walioko Zanzibar.

Ni kweli wakati alipokuwa raisi na hata baada ya uraisi huenda alikuwa anakwenda kwao mara moja moja, lakini sasa wale watu wake wa muhimu ambao wangemfanya kuvutiwa na kwao wameshafariki hivyo alikuwa ni kama vile mtu mpya au muhamiaji asiefahamika kijijini kwao. Familia nzima mke na watoto ni wenyeji wa Zanzibar, sasa kuna ubaya gani watoto kuongea na mzee wao ili kumsihi azikiwe kule alipoanzia kujenga familia yake ambapo ana watu wengi wanaomfahamu zaidi ya huku alipotokea.

Binafsi nafikiri hili swala la kuzikiwa Zanzibar lina baraka zake baada ya watoto na mke / wake zake kukaa na kumuelewesha hadi mzee kubadili gia angani na kuridhia kuzikwa Zanzibar ila imekuwa siri tu ya kifamilia. Wao sio wajinga wa kukurupuka kupishana na usia wa baba yao, na wakati ni watu wazima wenye elimu zao lakini pia wanafahamu vizuri madhara ya kupishana na usia wa marehemu, hivyo naona wanabaraka zake wala hawakukurupuka yaje yawakute yaliowakuta wengine waliopishana na usia wa ndugu zao.

Kumbe huna facts, umeweka hisia, sasa usisimange wenye hisia wenzako.
 
Hapa sio suala la maneno mengi yasiyo na msingi, ni suala la desturi zetu na kuzifuata. Kawaida desturi zetu inaonesha zinaenda kinyume na kile familia walichoamua.

Jiulize; vipi kama Dr. Mwinyi asingekuwa Rais wa Zanzibar leo, baba yake still angezikwa huko Zanzibar peke yake awaache ndugu zake wengine wazikwe Mkuranga? Jibu ni hapana.

Politics imeamua destiny ya Mzee Mwinyi kwa manufaa ya kisiasa ya mwanae.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwani ndugu zake wengine walizikwa wapi? Biladhaka alikuwa na kaka, wadogo zake, baba mdogo nk
 
Watanzania tupeane pole kwa msiba huu mzito katika taifa letu.

Kuna watu wanashangazwa na hili swala la kuamua kuhamisishia msiba wa mzee Mwinyi Zanzibar, wakidai kuwa mzee huyo alikuwa asha usia kuwa akifariki akazikiwe kwao Mkuranga walipozikiwa na kulazwa wazazi wake na babu zake.

Wengi wanalaumu bila kujua ni nini kilichojadiliwa kati ya mzee Mwinyi na familia yake kabla ya umauti kumkuta. Je, kama walijadiliana nae na mzee kuridhia kuzikiwa Zanzibar alipokulia, kuoa, na kuzaa watoto wake huko?

Ni kweli mzee Mwinyi ana asili ya kwetu bara, lakini ukiangalia muda alioondoka bara kwenda Zanzibar mpaka sasa ni almost miaka 90 ambayo ni sawa na karne nzima. Sasa mtu ambae aliondoka bara miaka 90 iliyopita inamaana kwa sasa wale watu waliokuwa wanamfahamu na kumjua kupitia wazazi wake kama vile mashangazi, wajomba, baba wadogo, mama wadogo nk wameshafariki muda mrefu sana. Hakuna anaemfahamu kiundani zaidi ya wale walioko Zanzibar.

Ni kweli wakati alipokuwa raisi na hata baada ya uraisi huenda alikuwa anakwenda kwao mara moja moja, lakini sasa wale watu wake wa muhimu ambao wangemfanya kuvutiwa na kwao wameshafariki hivyo alikuwa ni kama vile mtu mpya au muhamiaji asiefahamika kijijini kwao. Familia nzima mke na watoto ni wenyeji wa Zanzibar, sasa kuna ubaya gani watoto kuongea na mzee wao ili kumsihi azikiwe kule alipoanzia kujenga familia yake ambapo ana watu wengi wanaomfahamu zaidi ya huku alipotokea.

Binafsi nafikiri hili swala la kuzikiwa Zanzibar lina baraka zake baada ya watoto na mke / wake zake kukaa na kumuelewesha hadi mzee kubadili gia angani na kuridhia kuzikwa Zanzibar ila imekuwa siri tu ya kifamilia. Wao sio wajinga wa kukurupuka kupishana na usia wa baba yao, na wakati ni watu wazima wenye elimu zao lakini pia wanafahamu vizuri madhara ya kupishana na usia wa marehemu, hivyo naona wanabaraka zake wala hawakukurupuka yaje yawakute yaliowakuta wengine waliopishana na usia wa ndugu zao.
Rais Samia Hassan na Wenzake kwenye hili la kumzika Hayati Mwinyi Zanzibar tunawaombea Mungu ashughulike nao kwa haraka na wepesi mkubwa na mzito
 
Swala la kuzikiwa Zanzibar au Bara ni la familia. Ni kweli mzee Mwinyi ameishi muda mrefu bara na hata kufikia hatua ya kutaka azikiwe kwao Mkuranga, ila ninachosema huenda familia yake ilikaa ikamshauri akubali kuzikiwa Zanzibar wanapoona alioa, kuzaa na kukulia huko. Lakini pia inaweza kuwa ni sababu za kisiasa zimechangia.

Hata hivyo mtu akifa amekufa haijalishi anazikiwa Tanzania, Ufaransa au Marekani. Kikubwa azikwe udongoni alipotokea. Maana tunaambiwa tulitoka mavumbini na tutarudia huko huko mavumbini ambapo ni popote kwenye mchanga au udongo.
Tatizo hujaja na facts bali hisia ambazo hazileti mantiki.
 
Jana nilikuwa Unguja,huu Msiba tunasikitika wabara tu,wazenji hawana habari na sijui hapo Amani leo itakuaje,ila kama mtu alisema azikwe Mkuranga,kumpeleka kisiwani ni kukiuka wosia
 
Watanzania tupeane pole kwa msiba huu mzito katika taifa letu.

Kuna watu wanashangazwa na hili swala la kuamua kuhamisishia msiba wa mzee Mwinyi Zanzibar, wakidai kuwa mzee huyo alikuwa asha usia kuwa akifariki akazikiwe kwao Mkuranga walipozikiwa na kulazwa wazazi wake na babu zake.

Wengi wanalaumu bila kujua ni nini kilichojadiliwa kati ya mzee Mwinyi na familia yake kabla ya umauti kumkuta. Je, kama walijadiliana nae na mzee kuridhia kuzikiwa Zanzibar alipokulia, kuoa, na kuzaa watoto wake huko?

Ni kweli mzee Mwinyi ana asili ya kwetu bara, lakini ukiangalia muda alioondoka bara kwenda Zanzibar mpaka sasa ni almost miaka 90 ambayo ni sawa na karne nzima. Sasa mtu ambae aliondoka bara miaka 90 iliyopita inamaana kwa sasa wale watu waliokuwa wanamfahamu na kumjua kupitia wazazi wake kama vile mashangazi, wajomba, baba wadogo, mama wadogo nk wameshafariki muda mrefu sana. Hakuna anaemfahamu kiundani zaidi ya wale walioko Zanzibar.

Ni kweli wakati alipokuwa raisi na hata baada ya uraisi huenda alikuwa anakwenda kwao mara moja moja, lakini sasa wale watu wake wa muhimu ambao wangemfanya kuvutiwa na kwao wameshafariki hivyo alikuwa ni kama vile mtu mpya au muhamiaji asiefahamika kijijini kwao. Familia nzima mke na watoto ni wenyeji wa Zanzibar, sasa kuna ubaya gani watoto kuongea na mzee wao ili kumsihi azikiwe kule alipoanzia kujenga familia yake ambapo ana watu wengi wanaomfahamu zaidi ya huku alipotokea.

Binafsi nafikiri hili swala la kuzikiwa Zanzibar lina baraka zake baada ya watoto na mke / wake zake kukaa na kumuelewesha hadi mzee kubadili gia angani na kuridhia kuzikwa Zanzibar ila imekuwa siri tu ya kifamilia. Wao sio wajinga wa kukurupuka kupishana na usia wa baba yao, na wakati ni watu wazima wenye elimu zao lakini pia wanafahamu vizuri madhara ya kupishana na usia wa marehemu, hivyo naona wanabaraka zake wala hawakukurupuka yaje yawakute yaliowakuta wengine waliopishana na usia wa ndugu zao.
Umeelezea vizuri ndugu kina nani kwanza hao wanaolilia azikwe mkuranga? WAPUMBAVU tu hao
 
wewe kwenu ni bara?
Mimi m'bara original mkuu. Kuwa na mawazo tofauti haimaanishi kuwa mtu sio m'bara. Maana hata Hussein Mwinyi kwao bara, lakini kaamua baba yake azikiwe Zanzibar.

Kuna watz wengi walitoka mikoani kuja Dar, na bado wakifariki wanazikiwa hapa hapa Dar sio mikoani kwao.
 
Hata kwenye uzushi, kuna uzushi ubaoweza kutetewa kwa logical consistency. Ukiendekeza uzushi huo, nawwza kusema labda hapa kuna ukweli haujajulikana, unaanza kwa kuonekana kama uzushi.

Lakini, uzushi wako hauendani na logical consistency yoyote, hakuna sababu yoyote ya kumfanya Mwinyi asitake kuzikwa Zanzibar. Sababu mzizozitoa ni za uzushi pure ambao umekuwa based kwenye wosia wa Mwinyi, ambao ni wa hadithi za uzushi tu.

Yani sababu zako ni sawa na mimi niseme denoo JG anashikia bango hiki suala Mwinyi azikwe Mkuranga kwa sababu yeye ni mla nyama za watu anayeishi Mkuranga, anataka Mwinyi azikwe Mkuranga iki apate urahisi wa kufujua kaburi amle nyama Mwinyi wa watu.

Si unataka tuendekeze uzushi?

Bisha sasa.
Ndugu hao vijana wanabisha mambo wasioyajua. Huyo anaekwambia kuzikwa kifamilia huko kijiji ni jambo la mila na desturi. Anajifanya hajui kuwa 70% ya watu waliotoka mikoani kuja kutafuta maisha Dar huzikwa hapa hapa Dar es salaam na sio mikoani kwao.

Mbona hajawahi kubisha au kushangazwa na hilo?
 
Angezikwa Mkuranga, Dr. Mwinyi urais wake Zenji ungekoma 2025.

Mkakati ni mkakati....
Raisi na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Zanzibar uraisi wake ukome 2025 tena kwa serikali hii ya CCM 😂😂😂

Hata kura aliiba na hakuna kilichofanyika dhidi yake. Yuko ikulu anakula bata.

Nafikiri unatania tu mkuu wala haukumaanisha...
 
Jana nilikuwa Unguja,huu Msiba tunasikitika wabara tu,wazenji hawana habari na sijui hapo Amani leo itakuaje,ila kama mtu alisema azikwe Mkuranga,kumpeleka kisiwani ni kukiuka wosia
Tatizo hizi zote ni tetesi tu, hakuna mtu aliesikia wala kuona Mwinyi aki usia kuwa akifa azikiwe Mkuranga.
 
Umeelezea vizuri ndugu kina nani kwanza hao wanaolilia azikwe mkuranga? WAPUMBAVU tu hao
Wapo humu humu na wameanzisha uzi toka juzi usiku baada ya kusikia serikali imetangaza kuwa mzee Mwinyi atazikwa Zanzibar.
 
Hukufurihia kwasababu tu znz ila dar wp wng kwao mikoani lkn wanazikwa dar jua ya kwamba wk wengi wny asili ya bara na znz lkn hawakubali familia kuzikwa bara

mzee mwinyi haikufk mwezi mmoja km yupo tz lzm znz aje uhae wk wte sio km nnahadithiwa tulimuona wa znz mpk wtu wanashangaa kuambiwa sio mzanzibar lkn aliwathmin wznz kwa hali zte changa mote na misukosuko yte mzee mwinyi hakuwa nyuma zidi ya wznz

familia kukubaliana hawajakosea namna mzee alivokaa na wa znz

Wznz wanamsemo huu,sehm unapolelewa na ww nikwenu ukisoma historia yk tu huewz kulalamikia maamuzi ya familia
Umeandika vizuri na kwa ustadi mkubwa. Nafikiri wengi wakisoka andika lako watakubali kuwa wewe ni mtu mwenye akili kubwa humu jukwaani.
 
Unaishi njombe huko ndani ndani hujui mwinyi tangu kastaafu anaishi mikocheni !


Tuma ndugu zako walioko dar waende sehemu inaitwa mikocheni Kwa mwinyi
Hii mada ukiwa mlevi na unaisoma umelewa, hauwezi kuelewa kilichoandikwa.

Ndomaana nimeku quote leo maana najua pengine pombe za jana zimeshakutoka. Haya rudi tena kasome uzi uelewe nilichoandika.
 
Nchi hii ni Tanzania, alikuwa Rais wa Zanzibar na wa JMT. ANGEWEZA KUZIKWA sehemu yoyote ndani ya JMT
Sasa kama angeweza kuzikwa sehem yoyote ndani ya JMT mbona kuna watu wanalalamika yeye kuzikiwa Zanzibar? Kana kwamba Zanzibar sio sehemu ya JMT!
 
Back
Top Bottom