Suala la Notebook na Simu mahakamani: Kuna uwezekano Mawakili wa Serikali waliamua kuharibu ushahidi kwa makusudi?

Suala la Notebook na Simu mahakamani: Kuna uwezekano Mawakili wa Serikali waliamua kuharibu ushahidi kwa makusudi?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Hivi kwanini hawakumkagua na kujirisha kabla kuwa shaidi kwa namna yoyote asifanye kitu kitakachoharibu ushaidi. Kwasababu.

1. Mawakili wanajua NI kosa kupanda Kizimbani na simu. Na wanajua kabisa kwa Sasa kila mtu lazima anasimu ya mikononi. Kwanini wasingemuuliza alipoiacha simu au kumuomba simu kabla hajapanda Kizimbani.

2. Je, waliamini kbs shahidi hakuja mahakamani na simu.

3. Simu NI kitu kinachoonekana kirahisi mfukoni. Kwa shaidi uliyekuwa nae huwezi kuona kuwa anaingia na simu kwa kuona upana wa mifuko. Yani upana wa mifuko.

Je, waliacha haya yatokee makusudi ili kesi iharibike.
 
Ivi kwanini hawakumkagua na kujirisha kabla kuwa shaidi kwa namna yoyote asifanye kitu kitakachoharibu ushaidi. Kwasababu.

1. Mawakili wanajua NI kosa kupanda Kizimbani na simu. Na wanajua kabisa kwa Sasa kila mtu lazima anasimu ya mikononi. Kwanini wasingemuuliza alipoiacha simu au kumuomba simu kabla hajapanda Kizimbani.

2. Je waliamini kbs shahidi hakuja mahakamani na simu.

3. Simu NI kitu kinachoonekana kirahisi mfukoni. Kwa shaidi uliyekuwa nae huwezi kuona kuwa anaingia na simu kwa kuona upana wa mifuko. Yani upana wa mifuko.

Je waliacha haya yatokee makusudi ili kesi iharibike.
Mimi nauita weledi wa wanakijani huo, na pia weledi was wabambikiaji wa kesi tajwa.
 
Ivi kwanini hawakumkagua na kujirisha kabla kuwa shaidi kwa namna yoyote asifanye kitu kitakachoharibu ushaidi. Kwasababu.

1. Mawakili wanajua NI kosa kupanda Kizimbani na simu. Na wanajua kabisa kwa Sasa kila mtu lazima anasimu ya mikononi. Kwanini wasingemuuliza alipoiacha simu au kumuomba simu kabla hajapanda Kizimbani.

2. Je waliamini kbs shahidi hakuja mahakamani na simu.

3. Simu NI kitu kinachoonekana kirahisi mfukoni. Kwa shaidi uliyekuwa nae huwezi kuona kuwa anaingia na simu kwa kuona upana wa mifuko. Yani upana wa mifuko.

Je waliacha haya yatokee makusudi ili kesi iharibike.
Mkuu hakuna sheria inayokataza shahidi kuingia na diary wala simu tena kuna wakati shahidi anaweza kuiomba mahakama kujikumbusha vitu mbalimbali kama vile namba au akaunti. Subiri kesho utaona uamuzi utakavyokuwa. Kinachokatazwa ni kutoa ushahidi ukisoma moja kwa moja toka kwenye kumbukumbu yoyote bila idhini ya Mahakama.
 
Mkuu hakuna sheria inayokataza shahidi kuingia na diary wala simu tena kuna wakati shahidi anaweza kuiomba mahakama kujikumbusha vitu mbalimbali kama vitu kama namba au akaunti. Subiri kesho utaona uamuzi utakavyokuwa. Kinachokatazwa ni kutoa ushahidi ukisoma moja kwa moja toka kwenye kumbukumbu yoyote bila idhini ya Mahakama.
Kwa kuwa ni sehemu ya timu bambikizi lazima utetee uchafu, kwani mzee wa chabo aliomba kibali wapi kuingia na simu na nyoongeza ya dayari.
 
Kwa kuwa ni sehemu ya timu bambikizi lazima utetee uchafu, kwani mzee wa chabo aliomba kibali wapi kuingia na simu na nyoongeza ya dayari.
Ulishatoa ushahidi hata mara moja mkuu?. Kama ni kosa mbona alirudishiwa simu yake siku ileile? Nyumbu ni shida hata kuushughulisha ubongo wenu ni shida tupu!!
 
Ulishatoa ushahidi hata mara moja mkuu?. Kama ni kosa mbona alirudishiwa simu yake siku ileile? Nyumbu ni shida hata kuushughulisha ubongo wenu ni shida tupu!!
Vipi fisi, wale wa kijani, ulafi wao una ona sio shida. Vipi kuhusu ukatili wao na unyama wao Kwa wale wanaowapa nafasi hata ya kujimilikisha fursa zote wanazozipata kwa mgongo wa wanaowawezesha kuona pakudhulumu na wakumdhulumu.
 
Mkuu hakuna sheria inayokataza shahidi kuingia na diary wala simu tena kuna wakati shahidi anaweza kuiomba mahakama kujikumbusha vitu mbalimbali kama vile namba au akaunti. Subiri kesho utaona uamuzi utakavyokuwa. Kinachokatazwa ni kutoa ushahidi ukisoma moja kwa moja toka kwenye kumbukumbu yoyote bila idhini ya Mahakama.
Ina maana we unajua kuliko akina kibatara?
 
Mimi nauita weledi wa wanakijani huo, na pia weledi was wabambikiaji wa kesi tajwa.
Tumekubaliana usipige spana za nguvu Sana wasije kushtuka! Watasanda TU kabla ya kumaliza mashahidi wao wa kuchonga!
 
Mkuu hakuna sheria inayokataza shahidi kuingia na diary wala simu tena kuna wakati shahidi anaweza kuiomba mahakama kujikumbusha vitu mbalimbali kama vile namba au akaunti. Subiri kesho utaona uamuzi utakavyokuwa. Kinachokatazwa ni kutoa ushahidi ukisoma moja kwa moja toka kwenye kumbukumbu yoyote bila idhini ya Mahakama.

Tukueleweje sasa? Maana unaji - contradict mwenyewe kwa kusema;

å Hakuna sheria inayoruhusu shahidi kuingia na simu, kalamu ama na diary/note book, na;

Wakati huo huo unasema;

å Isipokuwa kosa ni kutoa ushahidi huku ukisoma sehemu (hopefully ikiwa na maana ya diary au notebook au karatasi yoyote)

## Sasa tuambie tofauti ya A na B ni nini?

## Maana ni obviously, kama mtu yuko kizimbani na notebook au diary au karatasi ya maandishi tafsiri yake ni kuwa alikuwa anasoma..., au siyo?

## By the way unadhani wanasheria na mawakili wa upande wa utetezi ni wajinga na hawaelewi sheria hata kupoteza muda wa mahakama kwa kuliibua hilo...?

## Nakuhakikishia jambo moja, kuwa, hawa wabambika/watunga kesi za uongo wanaweza kuruka mtego wa 1 labda na wa 2 na pengine na wa 3 lakini wa 4 lazima Jamhuri na Jaji wao wajitie kitanzi wenyewe...!!!

WAIT & SEE. Nimetamka mimi The Palm Tree
 
Mkuu hakuna sheria inayokataza shahidi kuingia na diary wala simu tena kuna wakati shahidi anaweza kuiomba mahakama kujikumbusha vitu mbalimbali kama vile namba au akaunti. Subiri kesho utaona uamuzi utakavyokuwa. Kinachokatazwa ni kutoa ushahidi ukisoma moja kwa moja toka kwenye kumbukumbu yoyote bila idhini ya Mahakama.
Ona unavyojikoroga! Huyo shahidi wako aliomba idhini Kwa jaji kuzitumia hizo nyenzo zake? Unazijua taratibu za mahakama? Pambania buku Saba Yako mwayego kwani sheria kwako ni sawa kumbaka nyau!
 
Ivi kwanini hawakumkagua na kujirisha kabla kuwa shaidi kwa namna yoyote asifanye kitu kitakachoharibu ushaidi. Kwasababu.

1. Mawakili wanajua NI kosa kupanda Kizimbani na simu. Na wanajua kabisa kwa Sasa kila mtu lazima anasimu ya mikononi. Kwanini wasingemuuliza alipoiacha simu au kumuomba simu kabla hajapanda Kizimbani.

2. Je waliamini kbs shahidi hakuja mahakamani na simu.

3. Simu NI kitu kinachoonekana kirahisi mfukoni. Kwa shaidi uliyekuwa nae huwezi kuona kuwa anaingia na simu kwa kuona upana wa mifuko. Yani upana wa mifuko.

Je waliacha haya yatokee makusudi ili kesi iharibike.
jambo ambalo halijathibitishwa ni kwamba, hata kama alikuwa navyo mkononi au mfukoni, hizo ni mali zake ametoka nazo nyumbani kwake, hakuna uthibitisho kwamba wakati akitoa ushahidi alikuwa anasoma, na kusoma haikataliwi kama ataiomba mahakama ili arefresh, huwa inaruhusiwa, sema hakuomba kurefresh na hakusoma. kwahiyo kuishika tu wakati huwa kunakuwa na nafasi ya kuomba kurefresh kama atakubaliwa, sio kosa. sasa ninyi wanasheria wa dcm msio jua kitu mnaona kama ndio mmeshashinda kesi, na mawakili wenu hawawaelekezi vizuri wanaendesha kesi kisiasa. kushika tu diary kuna kosa gani? pale ni open court, kuna watazamaji kibao, makarani, wafuasi wa chadema, waandishi wa habari, point of focus muda wote ipo kwa shahidi watu wote macho kodoo kw a shahidi kwasababu ndiye anayeulizwa maswali na kuyajibu, pia mawakili wa utetezi wapo wanamwangalia muda wote ili wapate wapi pa kumwuliza, hawajamwona anasoma diary wala kusoma msg za simu....uutasema kuna kosa gani limetendeka hapo?

halafu, shahidi yeyote, awe wa jamhuri au shahidi wa mshitakiwa, kabla hajaingia pale kizimbani huwa kuna nafasi ya kwenda kuendaliwa. hata mashahidi wa mbowe kabal hawajaingia kizimbani watachukuliwa na kina kibatala kwenda kwenye chumba cha siri wakamwandae pre-trial, kwa hiyo kwa akili zenu mnafikiri kwa ushaidi wa askari polisi kutakuwa na kitu kama walikuwa na nia ya kumfundisha watakuwa hawakumfundisha hadi aingie kizimbani? mbona mna akili finyu sana ninyi?
 
th
Ona unavyojikoroga! Huyo shahidi wako aliomba idhini Kwa jaji kuzitumia hizo nyenzo zake? Unazijua taratibu za mahakama? Pambania buku Saba Yako mwayego kwani sheria kwako ni sawa kumbaka nyau!
there is no evidence kwamba alizitumia, alishika tu. kuzishika tu pale bila kuzitumia sio kosa, kwasababu huwa ana haki ya kuomba kurefresh toka kweney kumbukumbu zake pia wakati akitoa ushahidi.
 
Tukueleweje sasa? Maana unaji - contradict mwenyewe kwa kusema;

å Hakuna sheria inayoruhusu shahidi kuingia na simu, kalamu ama na diary/note book, na;

Wakati huo huo unasema;

å Isipokuwa kosa ni kutoa ushahidi huku ukisoma sehemu (hopefully ikiwa na maana ya diary au notebook au karatasi yoyote)

## Sasa tuambie tofauti ya A na B ni nini?

## Maana ni obviously, kama mtu yuko kizimbani na notebook au diary au karatasi ya maandishi tafsiri yake ni kuwa alikuwa anasoma..., au siyo?

## By the way unadhani wanasheria na mawakili wa upande wa utetezi ni wajinga na hawaelewi sheria hata kupoteza muda wa mahakama kwa kuliibua hilo...?

## Nakuhakikishia jambo moja, kuwa, hawa wabambika/watunga kesi za uongo wanaweza kuruka mtego wa 1 labda na wa 2 na pengine na wa 3 lakini wa 4 lazima Jamhuri na Jaji wao wajitie kitanzi wenyewe...!!!

WAIT & SEE. Nimetamka mimi The Palm Tree
Kwa wote wanaouzia akili zao lile geti mbogamboga no shida kuelewa mambo haya Kwa urahisi.
 
jambo ambalo halijathibitishwa ni kwamba, hata kama alikuwa navyo mkononi au mfukoni, hizo ni mali zake ametoka nazo nyumbani kwake, hakuna uthibitisho kwamba wakati akitoa ushahidi alikuwa anasoma, na kusoma haikataliwi kama ataiomba mahakama ili arefresh, huwa inaruhusiwa, sema hakuomba kurefresh na hakusoma. kwahiyo kuishika tu wakati huwa kunakuwa na nafasi ya kuomba kurefresh kama atakubaliwa, sio kosa. sasa ninyi wanasheria wa dcm msio jua kitu mnaona kama ndio mmeshashinda kesi, na mawakili wenu hawawaelekezi vizuri wanaendesha kesi kisiasa. kushika tu diary kuna kosa gani? pale ni open court, kuna watazamaji kibao, makarani, wafuasi wa chadema, waandishi wa habari, point of focus muda wote ipo kwa shahidi watu wote macho kodoo kw a shahidi kwasababu ndiye anayeulizwa maswali na kuyajibu, pia mawakili wa utetezi wapo wanamwangalia muda wote ili wapate wapi pa kumwuliza, hawajamwona anasoma diary wala kusoma msg za simu....uutasema kuna kosa gani limetendeka hapo?

halafu, shahidi yeyote, awe wa jamhuri au shahidi wa mshitakiwa, kabla hajaingia pale kizimbani huwa kuna nafasi ya kwenda kuendaliwa. hata mashahidi wa mbowe kabal hawajaingia kizimbani watachukuliwa na kina kibatala kwenda kwenye chumba cha siri wakamwandae pre-trial, kwa hiyo kwa akili zenu mnafikiri kwa ushaidi wa askari polisi kutakuwa na kitu kama walikuwa na nia ya kumfundisha watakuwa hawakumfundisha hadi aingie kizimbani? mbona mna akili finyu sana ninyi?
Kabla hatujaendelea tuambie wewe ni shahidi wa ngapi upande wa mashitaka?
 
th

there is no evidence kwamba alizitumia, alishika tu. kuzishika tu pale bila kuzitumia sio kosa, kwasababu huwa ana haki ya kuomba kurefresh toka kweney kumbukumbu zake pia wakati akitoa ushahidi.
Aliomba hiyo ruhusa? Mbona unajikoroga? Angeomba ruhusa ya kuwa nazo jaji angemteteta siyo? But hakumtetea zaidi Sana alimwombea simu isibaki mahakamani! Elewa hivyo!
 
Hapa ndio utaona ni namna gani serikali imeng'ata pande la nyama isiloweza kutafuna, halafu bahati mbaya ni la moto.

Mbowe sio malaika, lakini kumpa kesi ya ugaidi ilikuwa ni upumbavu wa kiwango cha juu sana. Makosa mazito yanataka uthibitisho mzito. Mbowe sio mjinga kiasi eti cha kuamua kuanza kufanya ugaidi.

Waache wapambane na huu mfupa
 
Back
Top Bottom