Suala la Notebook na Simu mahakamani: Kuna uwezekano Mawakili wa Serikali waliamua kuharibu ushahidi kwa makusudi?

Suala la Notebook na Simu mahakamani: Kuna uwezekano Mawakili wa Serikali waliamua kuharibu ushahidi kwa makusudi?

Ndio maana nikasema, je alitumia au alikuja navyo tu? Kama sio kosa kuingia navyo, it's okay. Issue inakuja alitumia or not? Sijui ni namba gani mahakama inaweza kuamua hili, lakini either way; upande wa serikali kama walikuwa wanataka mashahidi wao wawe wanapiga chabo; huo ndio mwisho wake, siamini kama jaji atakuwa torelant na watu kuingia na vitu vinavyoweza kuleta mashaka kwenye mwenendo wa kesi.

Swali la muhimu ni kwamba? Kwanini uende na diary pale kwenye kizimba kama sio alikuwa na nia ya kutumia?
HAKUTUMIA, hata mawakili wa utetezi waliokuwa wanamhoji hawakumwona, hakuna uthibitisho kuwa alitumia hata jaji aliuliza hilo na jaji mwenyewe hakumwona akitumia. kwahiyo sio tatizo. kama wewe ni mwanasheria usiargue kama sio learned brother. soma sheria uwe tofauti nao.
 
jambo ambalo halijathibitishwa ni kwamba, hata kama alikuwa navyo mkononi au mfukoni, hizo ni mali zake ametoka nazo nyumbani kwake, hakuna uthibitisho kwamba wakati akitoa ushahidi alikuwa anasoma, na kusoma haikataliwi kama ataiomba mahakama ili arefresh, huwa inaruhusiwa, sema hakuomba kurefresh na hakusoma. kwahiyo kuishika tu wakati huwa kunakuwa na nafasi ya kuomba kurefresh kama atakubaliwa, sio kosa. sasa ninyi wanasheria wa dcm msio jua kitu mnaona kama ndio mmeshashinda kesi, na mawakili wenu hawawaelekezi vizuri wanaendesha kesi kisiasa. kushika tu diary kuna kosa gani? pale ni open court, kuna watazamaji kibao, makarani, wafuasi wa chadema, waandishi wa habari, point of focus muda wote ipo kwa shahidi watu wote macho kodoo kw a shahidi kwasababu ndiye anayeulizwa maswali na kuyajibu, pia mawakili wa utetezi wapo wanamwangalia muda wote ili wapate wapi pa kumwuliza, hawajamwona anasoma diary wala kusoma msg za simu....uutasema kuna kosa gani limetendeka hapo?

halafu, shahidi yeyote, awe wa jamhuri au shahidi wa mshitakiwa, kabla hajaingia pale kizimbani huwa kuna nafasi ya kwenda kuendaliwa. hata mashahidi wa mbowe kabal hawajaingia kizimbani watachukuliwa na kina kibatala kwenda kwenye chumba cha siri wakamwandae pre-trial, kwa hiyo kwa akili zenu mnafikiri kwa ushaidi wa askari polisi kutakuwa na kitu kama walikuwa na nia ya kumfundisha watakuwa hawakumfundisha hadi aingie kizimbani? mbona mna akili finyu sana ninyi?
Tuambie kwa nini jaji ameruhusu vifaa vya shahidi vichukuliwe?? Halafu kwa unavyojifanya mjuaji si uende ukaungane na mawakili wa serikali mpambane na akina Kibatala jombaa??
 
Tuambie kwa nini jaji ameruhusu vifaa vya shahidi vichukuliwe?? Halafu kwa unavyojifanya mjuaji si uende ukaungane na mawakili wa serikali mpambane na akina Kibatala jombaa??
nimekuletea vifungu vya sheria viko wazi kabisa halafu bado unabisha? nani kawaloga ninyi? suala la jaji kuchukua hivyo vifaa usiniulize mimi, kamuulize yeye jaji, na pia utakapomuuliza hilo muulize pia ile hoja alimuuliza kibatala kama alimwona huyo shahidi akivitumia hivyo vitu. jaji mwenyewe anajua kuwa kuwa navyo tu vile vitu sio kosa ila kuvitumia bila ridhaa yake, huwa tunamwomba jaji au hakimu pale mahakamani kwamba shahidi anahitaji kuperuzi arefresh mindi kitu ambacho alikirekodi sehemu kipindi kile mind yake ilipokuwa fresh, na jaji au hakimu huwa anaruhusu. sasa shida ni kwamba kila mwanachadema sasahivi anajiona mwanasheria, ndo maana nikaamua niwawekee s.168 and 168 ya Cap.6 ili mbishane navyo kwasababu ninajua hata mawakili wenu walikuwa hawavijui.
 
yaani yeye anayemhoji ambaye ndio lazima amuangalie shahidi usoni hajamuona, halafu aliyeko nyuma kule ndo amuone, na msg hiyo kibatala aliisoma saa ngapi wakati alikua anahoji shahidi? wakili wa utetezi anayemhoji asimwone alafu prof j asiye mhoji ndio amwone? hamuoni uongo wa mchana? na huyo prof j ana ushahidi huo kama akiambiwa autoe pale mahakamani, hata amuone yeye tu wengine wote wasimwona hata wale wanaoichukia sana serikali pale ndani?
Yeye kasema aliambiwa kuwa shahidi Ana note book. Na simu akaanza kufatilia baadae akasibitisha. Yeye alitaka shaidi amalize kilakitu ili aje auharibu ushaidi wote mwishoni. Na alikusudia kuisibitishia mahakama kuwa hakujua tokea mwanzo Ila profesa Jay kamsaidia kutambua baadae na alipojua tu na kusibitishwa akaitaalifu mahakama
 
Yeye kasema aliambiwa kuwa shahidi Ana note book. Na simu akaanza kufatilia baadae akasibitisha. Yeye alitaka shaidi amalize kilakitu ili aje auharibu ushaidi wote mwishoni. Na alikusudia kuisibitishia mahakama kuwa hakujua tokea mwanzo Ila profesa Jay kamsaidia kutambua baadae na alipojua tu na kusibitishwa akaitaalifu mahakama
hiyo sio strategy ya mahakamani, umemwekea maneno mdomoni. mara tu ukiona kuna hitilafu mahakamani za aina hiyo huwa unatakiwa kuraise pingamizi, alitakiwa amsemelee wakati uleule kwa jaji kitu anachokifanya, kusubiri baadaye hiyo imeshakuwa hearsay haina ushahidi wowote na hakutakiwa kusema kabisa. hata hivyo kibatala anajulikana siku zote mahakamani huwa ni muongo sana na ana hasira na sifa za kijinga.
 
Kwa nini sasa jaji aliruhusu vifaa vya shahidi vichukuliwe? Kwa nini jaji asingetoa ufafanuzi pale pale kwamba shahidi hajavunja sheria yoyote na aachwe tuu na vitu vyake?
Si ndiyo maana aliamuru simu shahidi arudishiwe! Akasema mahakama ibaki na diary kesho atatoa uamuzi.
 
Unafurahia kuwaita wenzako nyumbu kwasababu tu umetofautiana nao mawazo, sio? Aya basi, wewe ni nguruwe maji kenge wewe mavi. Shoga mchafu

Okay, umejiskiaje sasa kuitwa hivyo?
Nimejisikia vizuri tu kwa kuwa siyo nguruwe wala mavi. Sema jingine!
 
Yaani kwa mwandiko huu wewe ni learned brother? Ptuuuu, mate usoni
nimewawekea vifungu msome mbishane navyo, ninyi hamjaleta kifungu hat akimoja. mimi naleta s. 168najd169 ya cap.6, ninyi leteni maneno ya mtaani na kujifanya wanasheria. ukija kisiheria nakujibu kisheria, ukija kilayman nakujibu kilayman, siwezi poteza elimu yangu nimesoka kwa miaka kibao kumfundisha mburura. kama haelewi haelewi tu.
 
👆Naona umepata desa, vizuri sana. Sasa twende utaratibu maana unaweza kuwa unashida ya lugha...
shule hiyo hukuielewa. diary na simu sio vitu haramu mahakamani, ila vikitumiwa vibaya ndio vinaweza kusababisha uharamu. kuingia na diary mahakamani sio kosa, ila kuitumia bila ridhaa ya mahakama sio kosa, but generally kuitumia pia sio kosa (ila kutumia bila ridhaa).

Alikuwa na ridhaa ya mahakama...?
zaidi ya yote, mawakili wake hawajasema walimwona, wanasema prof j aliwatumia msg kwamba amemuona anasoma, alithibitisha vipi kuwa alikuwa anasoma hiyo diary amwone yeye aliye mbali na wakili anamhoji asimwone? hauoni ukakasihapo?

Kuonwa au kutoonwa na wakili siyo ishu. Ishu ni kuwa alionekana na wengine na mawakili wakapewa taarifa na kisha kuthibitisha na ikawa kweli na vitu hivyo kuonekana/kukamatwa vikiwa na shahidi akiwa kizimbani...
soma section 168 na 169 hapo c hini, ya Tanzania Evidence Act, kama una akili utaelewa.

168.-(1) A witness may, while under examination, refresh
his memory by referring to any writing made by himself

1. How sure are you, that what he was refreshing from the diary/notebook was written by himself...?

2. Was he permitted by the judge to do that prior court procedures of doing so...?
at the
time of the transaction concerning which he is questioned or so
soon afterwards that the court considers it likely that the
transaction was at that time fresh in his memory.

Answered above
169. Whenever a witness may refresh his memory by
reference to any writing he may, if the court is satisfied that there
is sufficient reason for the non-production of the original and
with the permission of the court, refer to a copy of such writing.

Unaelewa maana ya hii;

"....if the court satisfied there is sufficient reason for non production of the original and with the permission of the court refer to the copy of such writing...."

So tell us;

1. Was he permotted by the court to refresh?

2. That which was being read by the witness, was it relevant to the original copy of the document referred to by the witness...?


sasa, kama shahidi huwa wakati mwingine anaruhusiwa kurefresh memory kwa kutumia nyaraka mbalimbali, diary ni nyaraka pia made by him, kwanini asiwe nayo kizimbani? nimewaletea sheria sasa, pambaneni nayo hiyo.
Unasema mwenyewe;

"....wakati mwingine shahidi huwa anaruhusiwa ku - refresh..."

Tuambie hapa aliruhusiwa na nani? Na wewe bush lawyer...???
 
👆Naona umepata desa, vizuri sana. Sasa twende utaratibu maana unaweza kuwa unashida ya lugha...


Alikuwa na ridhaa ya mahakama...?


Kuonwa au kutoonwa na wakili siyo ishu. Ishu ni kuwa alionekana na wengine na mawakili wakapewa taarifa na kisha kuthibitisha na ikawa kweli na vitu hivyo kuonekana/kukamatwa vikiwa na shahidi akiwa kizimbani...


1. How sure are you, that what he was refreshing from the diary/notebook was written by himself...?

2. Was he permitted by the judge to do that prior court procedures of doing so...?


Answered above


Unaelewa maana ya hii;

"....if the court satisfied there is sufficient reason for non production of the original and with the permission of the court refer to the copy of such writing...."

So tell us;

1. Was he permotted by the court to refresh?

2. That which was being read by the witness, was it relevant to the original copy of the document referred to by the witness...?



Unasema mwenyewe;

"....wakati mwingine shahidi huwa anaruhusiwa ku - refresh..."

Tuambie hapa aliruhusiwa na nani? Na wewe bush lawyer...???
hivi kweli ulishawahi kwend amahakamani, ukaimove mahakama kwa kitu ambacho hauna uhakika nacho umeambiwa tu? kweli jamani mawakili wa cdm kwanini mnamfanyia hivi mbowe? wakili wa utetezi aambiwe tu na mtu huko kwenye mabenchi kwamba ameona anasoma, yeye anayemhoji asimwone halafu aimuvu mahakama kwa kitu cha kusikia? wewe ni mtu wa kubishana na mimi kweli iwewe?
 
ukweli mchungu ni kwamba, section 168 haikatazi mtu kupanda kizimbani akiwa na document yeyote, diary ni document pia. ila hairuhusiwi kutumia document hiyo bila ridhaa ya mahakama. kabla ya kuisoma unatakiwa kuiomba mahakama urefresh, hamahaka ikukubaliana na wewe utarefresh. sasa kwenye hiyo kesi yenu, shahidi alipanda na diary, sio kosa, pia hakuna tangible evidence kwamba alikuwa anatumia hivyo hakuna kosa alilofanya. ukiwa mahakamani huwezi kusikiliza kila kitu hata kile ambacho hakina mashiko, mtu anaibuka tu kwenye bench huko anasema nimeona shahidi anasoma, yule aliye karibu na shahidi hajaona, halafu usababishe hadi mahakama kusimama kwasababu ya kitu usicho na uhakika? kwani huyo aliyeandika msg kwamba shahidi anasoma alikuwa na uhakika gani kwamba alikuwa anasoma diary na wakati alikuwa mbali kuliko hata mawakili wanaomshambulia huyo shahidi? akili zenu mmeuza ninyi.

ningekuwa mimi ningeshaacha kubishana, ukishindwa kitu kukubali kushindwa nako ni akili.
 
hivi kweli ulishawahi kwend amahakamani, ukaimove mahakama kwa kitu ambacho hauna uhakika nacho umeambiwa tu? kweli jamani mawakili wa cdm kwanini mnamfanyia hivi mbowe? wakili wa utetezi aambiwe tu na mtu huko kwenye mabenchi kwamba ameona anasoma, yeye anayemhoji asimwone halafu aimuvu mahakama kwa kitu cha kusikia? wewe ni mtu wa kubishana na mimi kweli iwewe?

Ndiyo maana nasema nina shaka kama kweli wewe ni Mwanasheria...

Hebu tueleze, hiyo diary/notebook na kalamu na simu vilikamatwa kutoka kwa nani...? Je, siyo kwa shahidi akiwa kizimbani..?

Ishu hapa siyo walijuaje...

Ishu ni KWELI au SIYO KWELI shahidi alikuwa na vitu hivyo kizimbani...?

Wewe Mwanasheria vipi lakini? Au hujui kuwa Jaji ali respond na shahidi kukaguliwa na kukutwa na vitu hivyo..?
 
HAKUTUMIA, hata mawakili wa utetezi waliokuwa wanamhoji hawakumwona, hakuna uthibitisho kuwa alitumia hata jaji aliuliza hilo na jaji mwenyewe hakumwona akitumia. kwahiyo sio tatizo. kama wewe ni mwanasheria usiargue kama sio learned brother. soma sheria uwe tofauti nao.
Am not a lawyer... mimi ni observer tu. Ndio maana nikasema "kama" ndio ilikuwa ni tactic, ndio mwisho tena.
 
Ndiyo maana nasema nina shaka kama kweli wewe ni Mwanasheria...

Hebu tueleze, hiyo diary/notebook na kalamu na simu vilikamatwa kutoka kwa nani...? Je, siyo kwa shahidi akiwa kizimbani..?

Ishu hapa siyo walijuaje...

Ishu ni KWELI au SIYO KWELI shahidi alikuwa na vitu hivyo kizimbani...?

Wewe Mwanasheria vipi lakini? Au hujui kuwa Jaji ali respond na shahidi kukaguliwa na kukutwa na vitu hivyo..?
hiyo diary na kalamu vilikamatwa toka kwa shahidi. na section 168 na 169 ya TEA cap.6 haikatazi mtu kuwa na diary au kalamu pale kizimbani kwasababu kuna wakati huwa anaweza kuomba kuperuzi kumbukumbu alizowahi kuziandika kabla huko nyuma. ndio maana alikuwa na diary. hivyo vifungu ndio vinasema hivyo kama huelewi kimombo.

168 na 169 hapo c hini, ya Tanzania Evidence Act, kama una akili utaelewa.

168.-(1) A witness may, while under examination, refresh
his memory by referring to any writing made by himself at the
time of the transaction concerning which he is questioned or so
soon afterwards that the court considers it likely that the
transaction was at that time fresh in his memory.

169. Whenever a witness may refresh his memory by
reference to any writing he may, if the court is satisfied that there
is sufficient reason for the non-production of the original and
with the permission of the court, refer to a copy of such writing.
 
ningelikuwa wakili wa mashtaka lazima ningeomba nafasi nikaendeshe hii kesi. tatizo nilishatoka huko, ila najua kinachoendelea kwasababu nilishawahi kuwa huko kipindi cha nyuma na nikiwa huko niliwafahamu sana hao wanasiasa wanaowatumia kujinufaisha na ninyi ni vipofu hamjui kitu. kuna siku mtafumbuka macho.
Wajifanya wajuwaaaa kumbe pengine wachomwa na jua la utosi [emoji12][emoji12][emoji12]
 
tr
Wajifanya wajuwaaaa kumbe pengine wachomwa na jua la utosi [emoji12][emoji12][emoji12]
trust me, wala sichomwi jua la utosi, namshukuru Mungu kwa neema yake. ila nawaonea huruma nini migongo ya wanasiasa.
 
Back
Top Bottom