Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.

Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.

Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Ukiwa maarufu, wewe unakuwa sio Kwa ajili ya wewe Tu, unakuwa Mali ya wote, utafatiliwa mpaka sehemu unayokunya na utapondwa au kupongezwa kulingana na status yako, ukiwa maarufu be careful Sana kulinda image, la sivyo unaweza ukawa kituko mpaka ukajidharau
 
La msingi hapo Kikeke ni kukaa kimyah na kufanya KAZI yake ....maana binadamu hakosi lawama hata kama mtu hamchangii hata mia
Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.

Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.

Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
 
Ukiwa maarufu , wewe unakuwa sio Kwa ajili ya wewe Tu , unakuwa Mali ya wote , utafatiliwa mpak sehemu unayokunya , na utapondwa au kupongezwa kulingana na status yako, ukiwa maarufu be careful Sana kulinda image , la sivyo unaweza ukawa kituko mpak ukajidharau
Sikatai suala la kufuatiliwa. Ninachopinga kutaka kumpangia mtu maamuzi kwa suala ambalo havunji sheria wala kuharibu maadili. Ni ajabu!
 
Inasikitisha sana, kwani wanaomshambulia ni kina nani kwenye maisha yake?! Hawana maisha mpaka waangalie wenzao wanafanya Nini?!
Screenshot_20230824-021928~2.jpg
 
Wabongo ni watu wa hovyo. Wili chache zilizopita, kulikuwa na 'rumours' kuwa anahamia Wasafi FM.

Walifurahi na kungoja kwa hamu, huku wakiipongeza management hiyo kwa jeuri ya kufikia dau la Kikeke.

Leo kwa sababu ni EFM, wamekaza makalio kuponda eti kajishusha.

Na hawa wengi wao ni Jobless, walichonacho ni hela za bundle na muda usio na kazi. Pumbavu
 
Wabongo ni watu wa hovyo. Wili chache zilizopita, kulikuwa na 'rumours' kuwa anahamia Wasafi FM.

Walifurahi na kungoja kwa hamu, huku wakiipongeza management hiyo kwa jeuri ya kufikia dau la Kikeke.

Leo kwa sababu ni EFM, wamekaza makalio kuponda eti kajishusha.

Na hawa wengi wao ni Jobless, walichonacho ni hela za bundle na muda usio na kazi. Pumbavu
Wabongo sometimes nawaelewa twende taratibu.

Charles Hilary BBC kaenda Azam sasa SMZ msemaji wa serikali.

Zuhura Yunus BBC straight Ikulu

Salim Kikeke BBC kaanza kuzurula then EFM

Wacha nikae kimya maana hata robo ya mafanikio yake sina
 
Wabongo sometimes nawaelewa twende taratibu.

Charles Hilary BBC kaenda Azam sasa SMZ msemaji wa serikali.

Zuhura Yunus BBC straight Ikulu

Salim Kikeke BBC kaanza kuzurula then EFM

Wacha nikae kimya maana hata robo ya mafanikio yake sina
BBC to Azam siyo kushuka?
BBC kuwa Jobless kabla ya Ikulu siyo kushuka?

Who told you, EFM ndiyo hitimisho la Salim? Unajuaje kama atabakia hapo kwa muda huku akisubiri appointment siku zijazo?

Mshahara wake wa BBC na wa sasa EFM unaujua? Upi mkubwa?

Mentality za wabongo ni za hovyo.
 
Back
Top Bottom