Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Ameacha BBC kwa ajili ya kuingia EFM?!
Umejuaje kama ameacha ama ameachishwa ama mkataba umeisha..??
Lakini pia, unajua aina ya maisha aliokua anaishi huko London..??
Je alikua anafurahia maisha ya presha kubwa na kodi kubwa na house rent kubwa, gass na bills...??
Yaani mihua nachukia sana kuona mtu anajifanya kujua maisha ambayo hajawahi hata kuyaishi..mixxxuuu
 
BBC to Azam siyo kushuka?
BBC kuwa Jobless kabla ya Ikulu siyo kushuka?

Who told you, EFM ndiyo hitimisho la Salim? Unajuaje kama atabakia hapo kwa muda huku akisubiri appointment siku zijazo?

Mshahara wake wa BBC na wa sasa EFM unaujua? Upi mkubwa?

Mentality za wabongo ni za hovyo.
Hakuna kitu kizuri kwenye maisha kama ukuaji BBC ni platform kubwa sana duniani compared to EFM. Sio kwa ubaya kitendo cha kutoka BBC kurudi bongo kuajiriwa ni nonsense.

Kwa level za SK ilibidi awe Founder kwenye Televisheni yake hizi local Media ilibidi awe ni partner tu sio muajiriwa kwa Salim Kikeke sio ishu ya pesa pekee bali brand
 
Umejuaje kama ameacha ama ameachishwa ama mkataba umeisha..??
Lakini pia, unajua aina ya maisha aliokua anaishi huko London..??
Je alikua anafurahia maisha ya presha kubwa na kodi kubwa na house rent kubwa, gass na bills...??
Yaani mihua nachukia sana kuona mtu anajifanya kujua maisha ambayo hajawahi hata kuyaishi..mixxxuuu
Alishindwa kulipa bills za umeme na gas hivi BBC unaifananisha na Clouds Televisheni?
 
Kila mtu aishi maisha yake, madhali mie kikeke haniombi hata chumvi, siwezi mpigia kelele nyuma ya keyboard yeye ndio derev wa maisha yake.

Ni kama juzi kati tu hapa watu kumponda nature kukataa laki 5 kwa show ya wasafi, utafikiri necha huwa anawagongea sigara.🤣🤣
 
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.

Tatizo ni umaskini mkuu...

Mtu maskini huwa ana stress kiasi kwamba huwa anataka amshushe aliye juu aje chini wafanane...

Ndio maana kwenye uswahili kuna msemo kama "aliye juu, mngoje chini", na si kwamba "aliye juu, mfuate juu"
 
Wabongo ni watu wa hovyo. Wili chache zilizopita, kulikuwa na 'rumours' kuwa anahamia Wasafi FM.

Walifurahi na kungoja kwa hamu, huku wakiipongeza management hiyo kwa jeuri ya kufikia dau la Kikeke.

Leo kwa sababu ni EFM, wamekaza makalio kuponda eti kajishusha.

Na hawa wengi wao ni Jobless, walichonacho ni hela za bundle na muda usio na kazi. Pumbavu
mulemule mkuu
 
Lakini kuanzisha tv hadi isimame siyo kazi rahisi!
Unamkumbuka Abdallah Majura! aliacha kazi BBC akaanzisha radio yake AM24 mtokeo yake kaishia kumpangisha Mwamposa.
Kwa hiyo wanaoanzisha na kufanikiwa wanafanyaje mpaka yeye iwe ngumu kwake.? Salim Kikeke ni Brand kubwa yaani Jina lake tu kwa sasa haitaji kufanya kazi ili apate hela ya kula.
 
Wabongo ni watu wa hovyo. Wili chache zilizopita, kulikuwa na 'rumours' kuwa anahamia Wasafi FM.

Walifurahi na kungoja kwa hamu, huku wakiipongeza management hiyo kwa jeuri ya kufikia dau la Kikeke.

Leo kwa sababu ni EFM, wamekaza makalio kuponda eti kajishusha.

Na hawa wengi wao ni Jobless, walichonacho ni hela za bundle na muda usio na kazi. Pumbavu
Nadhani ni kutokana na majizo alivyoibrand radio yake kwenye mlengo mwepesi ambao unawafaa watu hususani wa uswazi, .

Hata hilo joto la asubuhi alipoingia roland "madenge wa twitter", wengi walilamikia makelele ya watu kama masanja yanayomnyima uhuru wa kujenga hoja.

Binafsi yangu, sidhani kama ni sawa kumripukia kwa chaguo lake lakini sidhani kama kikeke anaendana na brand ya Efm
 
Nadhani wengi walitamani ajiunge na TBC1 ya Chama pendwa!
Na huko asipoangalia taaluma yake ya Uandishi Habari katika Tasnia ya habari itakwisha!
Nadhani tu atafute kuunga juhudi za Chama pendwa.
 
Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.

Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.

Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Kwani Trump aliposema nchi za kiafrica ni shit hole countries wewe hukumuelewa?
 
Back
Top Bottom