Huyu jamaa na sikia kwamba alivyo rudi akajikita kwenye issues binafsi za uMC (huku kuna hela mno).
Mimi naona angekomaa na uMC unalipa ,kwa mtu kama Kikeke ana exposure, lugha ya Kingereza anaijua,sauti nzuri anayo sizani angekosa shughuli hata tano kwa mwezi,kwani nimemuona kwenye event nyingi za kiserikali kama MC,tena kama akicharge 3M mara tano hakosi 15M.
Ila sijui yy mwenye kaona nini ila Kikeke sio wa kufanya kazi kwenye hizi media za Wasafi, EFM,Clouds nk naona kama ataenda kutangaza kwa style ya kikatuni katuni.
,kama wafanyavyo watangazaji wa hivi vituo.