Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Nasikitika nipobkwenye nchi ya watu ma fakeni sana. Maisha yana njia nyingi yeye sio mjinga. Unakuta mtu anashauri ila hajawahi hata tafuta hela yake yeye kama yeye
Ujinga mtupu yaani. Juzi tu hapa kuna uzi ulianzishwa kwamba eti Salim Kikeke amerudi toka London halafu "anazurula" tu. Leo kaamua kufanya kitu watu wamekuja juu "kwa nini aende EFM". Aliyesema nchi yetu imejaa wagonjwa wa akili huenda alikuwa sahihi.
 
Ujinga mtupu yaani. Juzi tu hapa kuna uzi ulianzishwa kwamba eti Salim Kikeke amerudi toka London halafu "anazurula" tu. Leo kaamua kufanya kitu watu wamekuja juu "kwa nini aende EFM". Aliyesema nchi yetu imejaa wagonjwa wa akili huenda alikuwa sahihi.
Watz tuna wivu na maisha yasio tuhusu akizurura ni yeye na pesa zake ila hatujui mipaka yetu ndio tunaposumbuka hapo
 

Nikisema humu kadri siku zinavyoenda taifa ndio linazidi kuwa na watu wajinga sijui huwa mnaona napiga domo? Hii nchi ina watu wajinga sana.
SANA! MBAYA ZAIDI NI VIJANA HAOHAO WANAOENDA KUWA WAZEE WA KESHO NA KESHOKUTWA NDO WAJINGA PRO!

SIJUI KAMA HIYO KESHO NA KESHO KUTWA PATAKUWEPO NA WAZEE WENYE BUSARA NCHII HII 😔😔😔
 
Hatua ipi ?kwa mfano Kwako unaweza kuona jero ni ela ya kupiga hatua ya kuanzisha biashara mwenzako jero ni ela ya ndogo anahitaji buku mbili maisha ni kuhusu mtazamo nyie mnachowaza mwenzenu haja kiona
Kikeke ujanja Hana , akina Ruge walienda USA sjui kusoma tuu wakarudi na masponsor kibao , chap wakafyatua vitu, yeye amekaa uingereza miaka na Miaka ameshindwa kutengeneza platform anashindwa mpak na akina zamaradi mketema , tuseme Tu kwamba jamaa ni bonge la kiazi
 
Kule BBC alikuwa analipwa Tsh 15M kwa wiki, sawa na Tsh 60M kwa mwezi. Majizo ana ubavu wa kumlipa hela hizo au unasema tu? Think TWICE my friend.
Sasa mzee maisha ya London unataka ufanananishe na Dar iyo 60m ambayo sjui uliona wapi mkataba wake , bills tu na matumizi ya lazima unaweza staajabu inatumika 75 % bado kodi bado starehe
 
Dahh! Wewe ni demu wake Kikeke mpaka ujue mambo nyeti namna hiyo my friend?!

Mshara wa mtu ni siri... siku hizi ethics na etiquite hakuna tena ndomana watu wanaropoka hovyo mishahara yao au ya watu (hususan Hr officers)
Kule BBC alikuwa analipwa Tsh 15M kwa wiki, sawa na Tsh 60M kwa mwezi. Majizo ana ubavu wa kumlipa hela hizo au unasema tu? Think TWICE my friend.
 
Kikeke ujanja Hana , akina Ruge walienda USA sjui kusoma tuu wakarudi na masponsor kibao , chap wakafyatua vitu, yeye amekaa uingereza miaka na Miaka ameshindwa kutengeneza platform anashindwa mpak na akina zamaradi mketema , tuseme Tu kwamba jamaa ni bonge la kiazi
Unawaza kama kuku mzee kama akili ndo hizo tutawaliwe tena tu miaka 100 kama trump alivotamani
 
Kikeke ujanja Hana , akina Ruge walienda USA sjui kusoma tuu wakarudi na masponsor kibao , chap wakafyatua vitu, yeye amekaa uingereza miaka na Miaka ameshindwa kutengeneza platform anashindwa mpak na akina zamaradi mketema , tuseme Tu kwamba jamaa ni bonge la kiazi
Ruge alikuwa mwajiriwa wa Clouds, au hujui? Vyote alivyofanya ni kutokana yeye kuwepo Clouds. Mbona hakuchomoka na kuanzisha kitu chake?
 
Nifedheha sana mwanaume kukaa kujadili mwanaume mwenzio anavyopiga pesa kila Leo Hana muda Na nyinyi wew uko nyuma ya keyboard unaandika upupu hata uwezo Wa kuingiza 200k perday huna wacha mwanaume afanye anayoweza kuyafanya mwanaume Halisi hajadili maisha ya mwanaume mwenzie hyo ni kaz ya wanawake.
 
Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.

Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.

Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.

Waafrika hasa watanzania wame laanika.

Uafrika hasa Utanzania ni laana.
 

Nikisema humu kadri siku zinavyoenda taifa ndio linazidi kuwa na watu wajinga sijui huwa mnaona napiga domo? Hii nchi ina watu wajinga sana.
Kuwaita wajinga ni kuwapa hadhi, Maana mjinga ni mtu ambaye hajui kitu ila baada ya kuelimishwa hujitambua.

Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele,

Waafrika wana Upumbavu wa milele,

Kwenye DNA [emoji3459] za waafrika kuna chembechembe za Upumbavu ambazo mtoto akizaliwa hurithi chembe chembe hizo automatically.

Waafrika wame laanika.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Back
Top Bottom