Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Sergio Ramos katoka PSG kaenda Timu yake pendwa alipo anzia mpira ya Sevilla. Na kukataa mabilioni ya waarabu.

Imeonekana ni jambo la kawaida na maamuzi ya mtu binafsi. Kwa vile wazungu ni watu wastaarabu na walio elimika wanao tambua na kuheshimu maamuzi ya mtu.

Lakini kwa vile waafrika wame laanika kwa UPUMBAVU na hawanaga kazi za kufanya zaidi ya umbea, ulevi na majungu, Jambo dogo tu la mtu kama Salimu kikeke kuamua kwenda anapo papenda, imekuwa topic kubwa ya umbea.

Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Kutoka kufanya kazi BBC kuja kufanya kazi na wakina Masanja ni upoyoyo huo. Kikeke ni mfano mbaya kwa vijana wapambanaji
Laana ya kumtukana na kumsema Magufuli kila uchwao wakati wa uhai wake. Kutoka BBC hadi EFM. Dah ni fedheha angaeanzisha hata kilimo tu. Naona kama alikuwa amejipanga a badili nafasi ya Msigwa bahati mbaya sana mama nafikiri hajashawishika. Dah hatari sana

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia kwa upande mwingine, watz wanamuona ana talanta zaidi! Anastahili kuwa na cheo ki kubwa kama msemaji wa ikulu! CEO wa TBC!, au, Al Jazeera, sio kwenda kuajiliwa kwenye kampuni ndogo kama EFM,harafu ulipwe mshahara kama wa Kitenge au Zembwela!
Yaani Salim wa BBC aende EFM harafu awe anajibishana na watu vilaza kama Zembwela, Kitenge?!!
Tunaona anastahili ki kubwa!
Juzi,kwenye mkutano wa chakula kule Dar, MC wa, shughuri alikuwa mtangazaji wa CNN raia wa Kenya, Larry madowo! Kenge kama Zembwela, au Hando na kitenge, hata kama waliona lile tangazo, walipita pembeni! Maana shule Yao ndogo! Pale sio pa porojo za yanga na Simba!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa na sikia kwamba alivyo rudi akajikita kwenye issues binafsi za uMC (huku kuna hela mno).

Mimi naona angekomaa na uMC unalipa ,kwa mtu kama Kikeke ana exposure, lugha ya Kingereza anaijua,sauti nzuri anayo sizani angekosa shughuli hata tano kwa mwezi,kwani nimemuona kwenye event nyingi za kiserikali kama MC,tena kama akicharge 3M mara tano hakosi 15M.

Ila sijui yy mwenye kaona nini ila Kikeke sio wa kufanya kazi kwenye hizi media za Wasafi, EFM,Clouds nk naona kama ataenda kutangaza kwa style ya kikatuni katuni.
,kama wafanyavyo watangazaji wa hivi vituo.
Sure. Kwa tabia za hizi media atatoka hapo ataenda wasafi atarudi hapo atakuwa kama kitenge full kuzurura
 
Kikeke ujanja Hana , akina Ruge walienda USA sjui kusoma tuu wakarudi na masponsor kibao , chap wakafyatua vitu, yeye amekaa uingereza miaka na Miaka ameshindwa kutengeneza platform anashindwa mpak na akina zamaradi mketema , tuseme Tu kwamba jamaa ni bonge la kiazi
Wewe angeenda WCB ungemsifu humu mpk baasi
 
Watu wengi hawana kazi za kufanya,hivyo hujikuta wanafuatilia tu maisha ya watu,
Unakuta mtu maisha yake yeye mwenyewe hayaelewi wala hayaeleweki halafu anataka kumpangia Kikeke maisha yake,this is the highest stupidity.
Sijui hii tabia ilizukia wapi ila Mungu atusaidie tutakua na taifa la ajabu sana
 
Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.

Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.

Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Hii Nchi imejaa mbumbumbu huwezi shangaa
 
Back
Top Bottom