The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Yani wewe ndio uwe na ukweli wa maisha ya Kikeke kuliko Kikeke mwenyewe!Asiambiwe ukweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani wewe ndio uwe na ukweli wa maisha ya Kikeke kuliko Kikeke mwenyewe!Asiambiwe ukweli?
Wajinga watashangaa lakini wenye akili watakusifu kwa kuwa unapunguza matumizi yasiyo ya lazima!!Ukishuka kwenye range ukapanda passo lazma utushangaze wapenzi watazamaji 😁
Ukweli upi acheni ulofa nyie watu...Mimi nimeona kule UK mtu alikua naibu waziri mkuu akaacha akawa mwandishi ni maisha tu...kwani shida iko wapi??? nyie majuha mnataka mpangie watu kazi una unataka awe omba omba muanzeel ooh Kikeke anapiga vibomu balaa...Asiambiwe ukweli?
Inaweza kuwa alikua analipwa pesa ndogo BBC na labda ndio sababu ya kuacha. Sio watangazaji wote wa BBC wanalipwa mishahara mikubwa, kuna mambo walio mle ndani ndio wanayajua.Ameacha BBC kwa ajili ya kuingia EFM?!
Naunga mkono hoja.Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
EFM inasikika mikoa mingi tu.Atoke media kubwa duniani aingie media ndogo inayoishia dar, bora angerudi kule alikokuwa kabla hajaenda BBC, au media zingine zinazo cover nchi nzima
Most ya wanaomshambulia ni watu wasio na upeoNimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Hajaacha,kaachishwa au mkataba umeisha simpre.Ameacha BBC kwa ajili ya kuingia EFM?!
Ameachana au ameachwa?,Usihukumu
Hauwezi kujua kilichomfanya aachane na BBC...Sio kila mtu anajielezea yanayomkuta
Ameachana au ameachwa?,Usihukumu
Hauwezi kujua kilichomfanya aachane na BBC...Sio kila mtu anajielezea yanayomkuta
Hajaacha,kaachishwa au mkataba umeisha simpre.
Nani kaona simpre?? 😃Ameachana au ameachwa?,
Hakuna mtu aache wali nyama akale dona na maharage tusilileteane utani
Mtu akienda abroad anaambiwa sio mzalendo,akirudi kwenye nchi yake analaumiwa kwanini karudi!
Tatizo kubwa la baadhi ya wabongo ni kutokujua wanataka nini hasa.
Kumbuka alimchapa maswali bi mkubwa akanuna.Nadhani tu atafute kuunga juhudi za Chama pendwa.
Ni hivi BBC Swahili wote wamehamia Kenya .Wanarusha matangazo yao kutoka Nairobi.Wafanyakazi walipewa uhuru,wale wanaokwenda Kenya sawa,wasiotaka kuhamia Kenya kazi yao iliishia hapo.Sababu za kuacha bbc mkataba alikuwa hawezi Tena kurenew au walimwambia aache Kuna ukuu wawilaya