Suala la utekaji kwa watoto wadogo ndani ya Tanzania ni dalili ya uwepo wa biashara haramu ya binadamu kwenye taifa letu

Suala la utekaji kwa watoto wadogo ndani ya Tanzania ni dalili ya uwepo wa biashara haramu ya binadamu kwenye taifa letu

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
1,012
Reaction score
2,317
Masuala ya utekaji yametokea kwa watu tofauti tofauti, ikiwemo wanasiasa wa upinzani na watoto zetu wadogo, bila shaka kwa uwepo wa hali hii kwenye taifa ni dalili tosha kwamba ndani ya taifa kwa sasa kuna biashara haramu ya binadamu kwa watoto.

Kwanini mambo kama haya hayaja kuwepo katika awamu zilizopita, je unazani watoto wetu waliotekwa kule simuyu na maeneo mengine mbali mbali wamepelekwa wapi? Ni wazi kabisa kuna dalili zote za uwepo wa biashara haramu ya binadamu kwenye taifa katika awamu ya mama samia.
 
Masuala ya utekaji yametokea kwa watu tofauti tofauti, ikiwemo wanasiasa wa upinzani na watoto zetu wadogo, bila shaka kwa uwepo wa hali hii kwenye taifa ni dalili tosha kwamba ndani ya taifa kwa sasa kuna biashara haramu ya binadamu kwa watoto.

Kwanini mambo kama haya hayaja kuwepo katika awamu zilizopita, je unazani watoto wetu waliotekwa kule simuyu na maeneo mengine mbali mbali wamepelekwa wapi? Ni wazi kabisa kuna dalili zote za uwepo wa biashara haramu ya binadamu kwenye taifa katika awamu ya mama samia.
Aisee umewaza kama mimi. Pia naamini biashara ya mihadarati ina mkono na utekaji. Wakishadhuumiani wanatekana.
 
Huwa nikiona watoto wadogo wanaotumika kwenye Vita na Ugaidi natafakari Sana.

Na Pia Ukizingatia hivi karibuni kulibainika uwepo wa vituo vyenye lundo la watoto wanaopatiwa mafunzo ya itikadi kali, Kuna namna hapa.
 
Back
Top Bottom