Ni kazi yake hiyo kutengeneza taharuki tu.last time alikuwa anamhusisha Ester Bulaya kuwa aliandaa orodha, jana kamtaja Mashinji ni uzushi tu ili aendelee kuishi mjini.Jamaa style yake ya kutuhumu haijakaa poa.List ya mwanzo alituma akasema wafukuzwe,jana katuma majina baadhi ya mwanzo na mengine mapya;manake hawa ambao wametolewa wangeshakuwa wamefukuzwa kama alivyokuwa anataka si ingekuwa si haki? Mimi nadhani chama makini kisideal na uzushi au fununu
Tena na Tanzania wahame wakaanzishe chama ulaya kwenye siasa safi"Makamanda maandazi" wa CHADEMA mnanikumbusha wakati wa tetesi za Lowassa kujiunga CHADEMA!
"Makamanda maandazi" mlikuwa mnajiapiza kama atajiunga CHADEMA mtahakikisha Mbowe anang'oka!
Baada ya Lowassa kujiunga CHADEMA, kelele zote zilipotea na Mbowe mpaka leo ni mwenyekiti
Kelele nyingi, matendo zero.
Mbowe alishawajua ninyi ni debe tupu...
Wabunge wataenda bungeni na hakuna lolote mtakalofanya zaidi ya kuanza kupongeza na kusema "hatuwezi kumwachia bla bla shamba peke yake". Tunaenda kubanana huko huko!
Kama CHADEMA hawapeleki wabunge basi na ruzuku wazikae.
Tanzania kuna vituko!
Bungeni mna watu 370 hao 19 mnawataka wa nini?Ulitaka akubali kisha uanze kumtukana?
Kataa uamini siku ikifika hamtakuja na kuuliza tena humu mtakuja na hija nani achaguliwe ili aende bungeni, au nani kaachwa wakati alistahili.
Mwaka gani chadema ilikubali matokeo?Mpango wowote wa kupeleka wabunge viti maalum bungeni,utaiathiri pakubwa chama kikuu CHADEMA kwa kuwa watakua wamekubali kuwa Uchaguzi ulikua huru, Chama kikuu kineyakataa matokeo ya uchaguzi wote kitendo cha kukubali kupeleka wabunge viti maalum Bungeni ni kukubaliana na dhulma zilizofanyika katika uchaguzi.
Mkuu huu ni ukweli japo wengi watakupinga, Hivi piga picha hao wafuasi wa slaa na Lowassa waliothirika na uchaguzi uliopita leo wako na hali gani.Tatizo la siasa ni washabiki, washabiki wa siasa ndio watu wasiojielewa. Mara kadhaa mmekumbushwa kuwa wanasiasa wote wanajuana na hawapo serious na kitu kinaitwa kupigania sijui watu
Kuna watu walikufa 2010 wakimpigania Dr.Slaa, leo wakiamka ukawaambia Dr.Slaa yupo ccm wanaweza kufa tena.
Kuna watu walikufa 2015 wakimpigania Lowassa, leo wakiamka?
Kama katibu wa chama aliweza kuondoka, iweje ushangae leo hii kwa mdee na bulaya?? Mtajifunza lini nyie watu msiosikia? Au ndio mtaandika post kila muda kuwatukana?
Mwaka gani CCM haikupora uchaguzi?Mwaka gani chadema ilikubali matokeo?
Mtu makini hawezi kuamini,na ukiangalia kwa umakini kawaweka viongozi BAWACHA-Mdee & Bulaya-mdee alivyokana tuhuma zikahamishiwa zaid kwa bulaya,nw wanataja tena wote kama mwanzo,kwa jicho la mbali unaona hapa ni uzushi mwingi kwa sababu hamna consistence ya habari,ila tatizo ninaloliona ni kwann kuharibu taswira ya mtu mwingine kwenye jamii bila kujiridhisha? Ila nachoisifu CDM ni kwamba wamejitahd kuwa very professional kudeal na changamoto.Kuna watu kawataja kwenye ile orodha wamekanusha, na mimi nimeongea na mojawapo pia kakanusha juu ya hilo.
Kwa akli yako ulifkr watakubali ili walete taharuki ,Kuna watu kawataja kwenye ile orodha wamekanusha, na mimi nimeongea na mojawapo pia kakanusha juu ya hilo.
A very logical question.Mwaka gani CCM haikupora uchaguzi?
Kwanini wasipewe polisi hizo nafasi?BAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19
Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali
Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete
Msije kusema hatukuwashauri hili 😂😂😂
Kama wamekataa matokeo yote Kwa nn wamekuali mbunge wao mmoja aende bungeni , sambamba na hayo madiwani wa Chadema walioshinda still wanapiga kazi, kuna utata mkubwa kwenye hoja yako...Mpango wowote wa kupeleka wabunge viti maalum bungeni,utaiathiri pakubwa chama kikuu CHADEMA kwa kuwa watakua wamekubali kuwa Uchaguzi ulikua huru, Chama kikuu kineyakataa matokeo ya uchaguzi wote kitendo cha kukubali kupeleka wabunge viti maalum Bungeni ni kukubaliana na dhulma zilizofanyika katika uchaguzi.
Kama ni wanachama wa CHADEMA, na wakafuata taratibu za utumishi kuacha kazi wanaweza piaKwanini wasipewe polisi hizo nafasi?
Kama hamjui kigogo anasaidia Sana , mtakuwa watu wa ajabu msipomshukru huyo mwamba , anajaribu kuweka vitu waz ili isiwe surprise , wahusika wakiguswa wanakana ili kunetralize, ni Jambo la ajabu sa hv mnamuona zwazwa.... Wakat anajaribu kuexpose vitu vilivyopo behind the sceneMtu makini hawezi kuamini,na ukiangalia kwa umakini kawaweka viongozi BAWACHA-Mdee & Bulaya-mdee alivyokana tuhuma zikahamishiwa zaid kwa bulaya,nw wanataja tena wote kama mwanzo,kwa jicho la mbali unaona hapa ni uzushi mwingi kwa sababu hamna consistence ya habari,ila tatizo ninaloliona ni kwann kuharibu taswira ya mtu mwingine kwenye jamii bila kujiridhisha? Ila nachoisifu CDM ni kwamba wamejitahd kuwa very professional kudeal na changamoto.
Nafikiri hili ni Bunge lenye utata kuwahi kutokea,Huyu Mbunge mmoja kwa tiketi ya CHADEMA ana hoja za msingi kuwa Bungeni, Hivyo ni vizuri kusuburi vyombo halali vya Chama vikae na kutoa tafsiri ya Pamoja .Kama wamekataa matokeo yote Kwa nn wamekuali mbunge wao mmoja aende bungeni , sambamba na hayo madiwani wa Chadema walioshinda still wanapiga kazi, kuna utata mkubwa kwenye hoja yako...
Mashabiki wa siasa ndio huwa siriazi Ila sio wahusika wenyewe!Wakienda bungeni ndio watapoteza heshima yote waliyonayo kwenye jamii, watajitia doa ambalo halitafutika.
Watanzania wa sasa wanaelewa kila kitu, ole wao hao wanawake.
Mkuu CHADEMA ni taasisi kama taasisi nyingine,na kabla maamuzi hayajachukuliwa juu ya uanachama wa mtu ni lazima vikao halali vya chama vifanyike juu ya jambo husika,na kufanya vikao ni logistics kubwa and very complicated hasa ukiangalia political environment ya sasa manake tunaongelea habari ya wajumbe wengine kuwa exile,polisi,nk.na mikutano mingine ya ndani ya chama kuharamishwa.Hope you will try to understand from their point of view.Kama wamekataa matokeo yote Kwa nn wamekuali mbunge wao mmoja aende bungeni , sambamba na hayo madiwani wa Chadema walioshinda still wanapiga kazi, kuna utata mkubwa kwenye hoja yako...
Kutokana na jumla ya kura zote za wabungeKwanza bora tuelimishane - pengine tunakosea pahala. Hivi viti maalum vinatokana na vigezo gani kwa chama husika - kutokana na idadi ya wabunge chama kilichopata ktk uchaguzi, au kutokana na idadi ya kura za mgombea urais alizopata mgombea wa chama husika?
Nadhani sheria lazima itakuwa wazi ktk hili na mwenye kufahamu twaomba atuwekee hapa kipengele/vipengele husika.
Wakifukuzwa uwanachama spika yupo,atawalinda iwe kwa haki ama kwa batili.Kama uongozi wa chama haujaridhia, wakienda Dodoma wafukuzwe uanachama.