Mimi siyo level uliyopo wewe kwamba nitatukana mtu kwa sababu ya msimamo wake.Ulitaka akubali kisha uanze kumtukana?
Kataa uamini siku ikifika hamtakuja na kuuliza tena humu mtakuja na hija nani achaguliwe ili aende bungeni, au nani kaachwa wakati alistahili.
Ndipo uwezo wenu wakufikiri unapoishia.Wakifukuzwa uwanachama spika yupo,atawalinda iwe kwa haki ama kwa batili.
Viva BAWACHA.
Hapana,sidhan kama tumefikia point ya kumuona zwazwa-No.,Mtu yeyote anayesaidia struggle kwa namna yoyote ile ni wa kuthaminiwa mno,lakini anapokosea lazima tuseme kuweka mambo sawa and ofcourse mtu hawezi kuwa sahihi kwenye kila jambo.Kama hamjui kigogo anasaidia Sana , mtakuwa watu wa ajabu msipomshukru huyo mwamba , anajaribu kuweka vitu waz ili isiwe surprise , wahusika wakiguswa wanakana ili kunetralize, ni Jambo la ajabu sa hv mnamuona zwazwa.... Wakat anajaribu kuexpose vitu vilivyopo behind the scene
Mtoa mada una upungufu Wa akili....suala linahusu chadema na bawacha hao kina halima Mdee....sasa spika Ndugai anaingiaje hapa? Unamuhusisha ndugai na masuala ya chadema ili iweje?Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.
Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya bunge.
Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.
Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.
Sheria inataka majina ya viti maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.
Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.
Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.
Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu
1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum?
2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?
Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.
Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.
Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.
Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!
Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule
1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?
2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?
3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
Wanajitahidi sana kupambana na mawimbi makali ambayo chama kinapitia.Mtu makini hawezi kuamini,na ukiangalia kwa umakini kawaweka viongozi BAWACHA-Mdee & Bulaya-mdee alivyokana tuhuma zikahamishiwa zaid kwa bulaya,nw wanataja tena wote kama mwanzo,kwa jicho la mbali unaona hapa ni uzushi mwingi kwa sababu hamna consistence ya habari,ila tatizo ninaloliona ni kwann kuharibu taswira ya mtu mwingine kwenye jamii bila kujiridhisha? Ila nachoisifu CDM ni kwamba wamejitahd kuwa very professional kudeal na changamoto.
Taharuki tayari imeshatokea unataka taharuki gani tena ?Kwa akli yako ulifkr watakubali ili walete taharuki ,
Hawajakubali bali ameenda mwenyewe!Kama wamekataa matokeo yote Kwa nn wamekuali mbunge wao mmoja aende bungeni , sambamba na hayo madiwani wa Chadema walioshinda still wanapiga kazi, kuna utata mkubwa kwenye hoja yako...
Wakumbushe walionunuliwa na wakapoteza sifa ya kuaminika kwa raia wapi MREMA LIPUMBA CHEYO DR SLAA hana uwezo hata wa kuitisha mkutano wa kataBAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19
Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali
Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete
Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
Slaa na lowasa wako wapi wanauwexo wa kushawishi watu wa upinzani sasa hiviTatizo la siasa ni washabiki, washabiki wa siasa ndio watu wasiojielewa. Mara kadhaa mmekumbushwa kuwa wanasiasa wote wanajuana na hawapo serious na kitu kinaitwa kupigania sijui watu
Kuna watu walikufa 2010 wakimpigania Dr.Slaa, leo wakiamka ukawaambia Dr.Slaa yupo ccm wanaweza kufa tena.
Kuna watu walikufa 2015 wakimpigania Lowassa, leo wakiamka?
Kama katibu wa chama aliweza kuondoka, iweje ushangae leo hii kwa mdee na bulaya?? Mtajifunza lini nyie watu msiosikia? Au ndio mtaandika post kila muda kuwatukana?
Kama spika alimlinda Mwambe,Lijuakali itashindikana nini kwa kinamama wa Bawacha viti maalum?Ndipo uwezo wenu wakufikiri unapoishia.
Wakumbushe walionunuliwa na wakapoteza sifa ya kuaminika kwa raia wapi MREMA LIPUMBA CHEYO DR SLAA hana uwezo hata wa kuitisha mkutano wa kata
You are right,Mwanachama ni mtu mwenye kadi husika ya chama pamoja na mengineyo,Pengine unaweza kukuta Slowly au Missile of the nation mna kadi zenu za CHADEMA na ni wanachama halali,sasa mmeteuliwa huko mtaani kuwa wabunge bila Mnyika kujua kwa mujimu wa utaratibu,sasa CHADEMA kama CHADEMA inakosa gani hapo au inahusikaje hapo na uchafu huu ambao haijashirikishwa? au pengine watu wanadhan kuwa mwanachama ni lazima uwe na jina kubwa kama MDEE na wengine ili uweze kuteuliwa kinyemela?Mwanachama ni mwanachama tu-na haya ni maswali wengi wanaoiponda CDM kuhusu fununu hz za teuzi hawataki kujiuliza.Hawajakubali bali ameenda mwenyewe!
Tofauti na viti maalum, hivi utaratibu wake ni lazima katibu mkuu apeleke majina huko NEC, na si kwa mtu kujipeleka mwenyewe
manin,,,,,,, zako labda ukawapoteze wasagaji wenzio wa LUMUMBABAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19
Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali
Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete
Msije kusema hatukuwashauri hili πππ
Hii Sera ni ya ccm kuwajengea uwezo wanawake! Midume ya chandimu inakandamiza haki za wanawake, afu kucha kutwa kuanzisha siredi humu, wabunge viti maalumu hata wakigoma kuingia, hakuna kinachobadilika, sisi ni kazi tu, tulichelewa sana!Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.
Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya bunge.
Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.
Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.
Sheria inataka majina ya viti maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.
Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.
Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.
Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu
1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?
2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?
Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.
Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.
Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.
Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!
Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule
1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?
2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?
3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
I love you .nyie ndio wanawake wachache wenye akili hapa dunianiBAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19
Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali
Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete
Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo unafkiri ile sera yenu ya ushoga inatekelezwa Tanzania.... au ndio hasira za kumkosa shogakoπππ Pole lakinimanin,,,,,,, zako labda ukawapoteze wasagaji wenzio wa LUMUMBA