Suala la Viza ya Marekani na Canada Serikali ya Tanzania ivunje ukimya, foreign affairs watimize majukumu yao

Suala la Viza ya Marekani na Canada Serikali ya Tanzania ivunje ukimya, foreign affairs watimize majukumu yao

Mkuu Dr Matola PhD, swala la delay za US na CN visa sio bongo tu ni worldwide.

Kenya wanasubiri at least 1yrs kupata appointment ya visiting visa. Nigeria it was at least 2yrs, ilibidi wafanye petition kwa Biden aingilie kati sijui walifikia wapi:



In case of emergency unaweza kuomba expedition kwenye website yao, kwanza inabidi u-schedule appointment kawaida then uombe expedite. Itakubidi uambatanishe nyaraka zako. Nawajua watu kadhaa waliofanikiwa kwa njia hii. Ni bure kabisa ila lazima madai yako yawe ya msingi.

Visa za shule kidogo zina nafuu japo nazo zinachelewa ila sio kama visiting visa. Visiting visa kwa mtu yeyote anayehitaji aanze process mapema sana.

I agree with you wizara yetu ya mashauri ya nje ijaribu kuongea nao ukizingatia wasafiri bongo sio wengi sana kama nchi zingine hatuna sababu ya kusubiri muda mrefu hivyo. Viongozi wengi hawajui hiyo adha maana wao wanatumia diplomatic passports wanaruka tu visa is on the arrival.
Cha kushangaa Canada hawakuwa na shida kabisa nao wamekuwa wapumbavu kabisa kiasi kwamba consular section yao ni upuuzi mtupu.

Jamaa yangu wamempa viza ya miaka 10, akaingia Toronto then alikuwa US pia, akamaliza issue zake anarudi Toronto then akaja Bongo.

Alishapiga hizi Ingia toka nyingi Bongo Canada Bongo, na hafanyi illegal deal zozote zile, Sasa passport yake ilivyoexpire ameomba Canadian viza wamemnyima, na previous travel record yake iko vizuri sana, sasa sijajywa bado nini kinaendelea kwa hawa mapacha Wawili, is not fair at all.

Binafsi nimecancel trip kwa mwaka huu maana huu utumwa siuwezi kwakweli.
 
Wakuu kuna hili swala la viza ya Marekani na Canada nadhani si la kukaliwa kimya.

Ni kweli hizo nchi zina haki na mamlaka ya kuamuwa wanavyotaka lakini waziri wetu wa foreign affairs linapotokea jambo linawakwaza hana budi kukaa kikao na Mabalozi wa hizo nchi mbili hili kuondowa changamoto zilizopo kwa maslahi ya Watanzania.

Kuna issue ya Viza ya Marekani na Canada zimeleta sintofahamu kubwa sana na usumbufu.

Ubalozi wa Marekani Mtanzania ukitaka kuomba viza inabidi usubiri appointment schedule ya miezi 6.

Na kwa upande wa Canada ni siku 400 plus maana yake ni mwaka na kitu, why?

Sasa Nina maswali ambayo hayana majibu je kwa safari za dharura inakubalika kupata viza kwa short appointment schedule?

Pili kwa mtu wa safari ya kawaida unaruhusiwa kuomba viza nje ya Tanzania au kuna balozi za Marekani nchi zipi tunaweza kwenda kuomba viza huko kuliko kusubili miezi 6?

Vipi wizara yetu foreign affairs hawaoni huu usumbufu wanaotupa hawa USA na Canada?

Mbona Shenghen countries viza zao hazina usumbufu? Waziri wa foreign affairs akiambiwa yeye asubili viza interview schedule kwa miezi 6 angekubali?

Hebu tulijadili hili, kama wewe ni msafiri hili moja kwa moja linakuhusu.

Cc@Kiranga Bufa Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla Maghayo
Miezi sita viza? Hao hawataki watu waende kwao.
 
Cha kushangaa Canada hawakuwa na shida kabisa nao wamekuwa wapumbavu kabisa kiasi kwamba consular section yao ni upuuzi mtupu.

Jamaa yangu wamempa viza ya miaka 10, akaingia Toronto then alikuwa US pia, akamaliza issue zake anarudi Toronto then akaja Bongo.

Alishapiga hizi Ingia toka nyingi Bongo Canada Bongo, na hafanyi illegal deal zozote zile, Sasa passport yake ilivyoexpire ameomba Canadian viza wamemnyima, na previous travel record yake iko vizuri sana, sasa sijajywa bado nini kinaendelea kwa hawa mapacha Wawili, is not fair at all.

Binafsi nimecancel trip kwa mwaka huu maana huu utumwa siuwezi kwakweli.
Sikushauri ku cancel mkuu, kama trip zako zina umuhimu just waelewe tu. Hizi nchi zao zina mzigo mkubwa sana, hata zile nchi mahasimu wao ndiyo zinaongoza watu wa nchi hizo kukimbilia huko.
Ukiona wameanza hizi mambo, ujue kuna taarifa za kijasusi hivyo wanajaribu kufanya filtering ili ku mitigate risk au wameona fursa zilizopo zinaweza zika vanish very soon na kujikuta into Jeopardy.
Kuwa super power siyo jambo jepesi.
 
Sikushauri ku cancel mkuu, kama trip zako zina umuhimu just waeleww tu. Hizi nchi zao zina mzigo mkubwa sana hata zile nchi mahasimu wao ndiyo zinaongoza wat wa nchi hizo kukimbikia huko.
Ukiona wameanza hizi mambo, ujue kuna taarifa za kijasusi hivyo wanajaribu kufanya filtering ili ku mitigate risk au wameona fursa zilizopo zinaweza zika vanish very soon na kujikuta into Jeopardy.
Kuwa super power siyo jambo jepesi.
Sahihi.
 
Canadian Visa ni simple sana (study Visa and Spouse Visa)

Miezi minne tu umepewa visa

Tourist Visa ndugu zangu kusubiri ni balaa (kwanini)

Kwasababu Canada sasa wao wameamua kwamba ukiwa na Tourist Visa ukifika hapa unaweza kuibadilisha kwenda Work Visa ya Miaka 3 then ukawa na Canadian experience ukaomba PR (Canadian Tourist/Visitor visa ni pathway to PR kwa sasa)

Nchi za dunia ya 3 zinaona hilo gap ni zuri na halipaswi kuacha ndio maana wanakua wagumu kwa hoehae.

Sasa wanawazingatia watu wenye pesa kwanza ambao wanajua wakifika hapa wataacha mpunga.
 
Yeah, Visitors wanajua kwanini wanaomba kwenda kutembea na watoaji wa visa wanajua how hard waombaji wanazihitaji hizo visa, and pamoja na na restrictiins zake wanajua hao waombaji wanaenda kyfanya kazi under the counter na majority lengo leo na kuzamia. Watoaji wa visa wanalijua hilo ila wanajifanya ni kama hawalijui.
Wao wazungu siyo kwamba hawafanyi cheating, CIA wenyewe wakitaka kusafiri kwa fake identity wanafoji passport za nchi nyingine.

Kuna tajiri nilikwenda kwake Nice France hana hata mfanyakazi mmoja Nyumbani kwake mfaransa mwenzake, ni wa Morocco na wapishi Wabongo na Wabongo anawachukulia tourist viza tu.

Kwahiyo point yangu dunia huu ukikaza sana maisha yanakosa maana, Mimi nawakubali sana Shenghen countries ukitimia documents viza yao hawana mbambambaa, ndivyo inavyotakiwa kuwa, na siyo kama hawa mapacha wanavyotutesa sasa hivi.
 
Cha kushangaa Canada hawakuwa na shida kabisa nao wamekuwa wapumbavu kabisa kiasi kwamba consular section yao ni upuuzi mtupu.

Jamaa yangu wamempa viza ya miaka 10, akaingia Toronto then alikuwa US pia, akamaliza issue zake anarudi Toronto then akaja Bongo.

Alishapiga hizi Ingia toka nyingi Bongo Canada Bongo, na hafanyi illegal deal zozote zile, Sasa passport yake ilivyoexpire ameomba Canadian viza wamemnyima, na previous travel record yake iko vizuri sana, sasa sijajywa bado nini kinaendelea kwa hawa mapacha Wawili, is not fair at all.

Binafsi nimecancel trip kwa mwaka huu maana huu utumwa siuwezi kwakweli.

I hear you. Ni utumwa hakika.
 
Canadian Visa ni simple sana (study Visa and Spouse Visa)

Miezi minne tu umepewa visa

Tourist Visa ndugu zangu kusubiri ni balaa (kwanini)

Kwasababu Canada sasa wao wameamua kwamba ukiwa na Tourist Visa ukifika hapa unaweza kuibadilisha kwenda Work Visa ya Miaka 3 then ukawa na Canadian experience ukaomba PR (Canadian Tourist/Visitor visa ni pathway to PR kwa sasa)

Nchi za dunia ya 3 zinaona hilo gap ni zuri na halipaswi kuacha ndio maana wanakua wagumu kwa hoehae.

Sasa wanawazingatia watu wenye pesa kwanza ambao wanajua wakifika hapa wataacha mpunga.
Kuna taarifa kuwa baada ya Corona Canada walitowa viza nyingi sana kwa Waafrica na hasa ukanda wetu.

Kuna video clip zilisambaa watu Waafrica hawana shelter na wanafosi Asylum seeker, je kuna ukweli wowote? Na hili limechangia kwa Wacanada kufanya wasieleweke na kubania viza?
 
Sikushauri ku cancel mkuu, kama trip zako zina umuhimu just waelewe tu. Hizi nchi zao zina mzigo mkubwa sana, hata zile nchi mahasimu wao ndiyo zinaongoza watu wa nchi hizo kukimbilia huko.
Ukiona wameanza hizi mambo, ujue kuna taarifa za kijasusi hivyo wanajaribu kufanya filtering ili ku mitigate risk au wameona fursa zilizopo zinaweza zika vanish very soon na kujikuta into Jeopardy.
Kuwa super power siyo jambo jepesi.
Hapana mkuu hawa wazungu nawajuwa vizuri, wakianza mawenge wapotezee kwanza.

Nakumbuka kipindi Tony Blair akiwa Pm wa UK, British high commission Dar ilizinguwa kinoma issue za viza mpaka wakawapa uwakala Wahindi Mara sijui viza inatoka South Africa upuuzi mtu.

Mimi nikishaonaga mawenge ya hivyo huwa na Mimi natumbukia nyongo vilevile.
 
Dereva wa bodaboda una hasira sana, ila nakuelewa. Hivi umeshaletewa taarifa kuwa mnatakiwa kuanza kulipia 65,000 kwa mwaka kwa kila bodaboda😀
Kwenye hilo suala mama ataupiga mwingi muda si mrefu
Habari itakuwa hivi;
"Mama afuta kodi ya bodaboda
Mama ana upendo nani kama mama".

CCM ni mabingwa wa kuanzisha matatizo na taaruki
Baadae wanasema tumezifuta
 
Cha kushangaa Canada hawakuwa na shida kabisa nao wamekuwa wapumbavu kabisa kiasi kwamba consular section yao ni upuuzi mtupu.

Jamaa yangu wamempa viza ya miaka 10, akaingia Toronto then alikuwa US pia, akamaliza issue zake anarudi Toronto then akaja Bongo.

Alishapiga hizi Ingia toka nyingi Bongo Canada Bongo, na hafanyi illegal deal zozote zile, Sasa passport yake ilivyoexpire ameomba Canadian viza wamemnyima, na previous travel record yake iko vizuri sana, sasa sijajywa bado nini kinaendelea kwa hawa mapacha Wawili, is not fair at all.

Binafsi nimecancel trip kwa mwaka huu maana huu utumwa siuwezi kwakweli.
Hayo mambo ndiomaana nkitoka tz lazima nichukue uraia wa marekani au canada
 
Mkienda huko mnafaidika Nini? Mbona hatuoni Mabilionea kutokea US na Canada Bali ni Akina Vunjabei na dai wa hapahapa?
 
Mnalazimsiha kwenda us na canada ni kwa mama zenu kule? Tulizeni rinda bongo
 
Back
Top Bottom