Suala la Viza ya Marekani na Canada Serikali ya Tanzania ivunje ukimya, foreign affairs watimize majukumu yao

Suala la Viza ya Marekani na Canada Serikali ya Tanzania ivunje ukimya, foreign affairs watimize majukumu yao

Wakuu kuna hili swala la viza ya Marekani na Canada nadhani si la kukaliwa kimya.

Ni kweli hizo nchi zina haki na mamlaka ya kuamuwa wanavyotaka lakini waziri wetu wa foreign affairs linapotokea jambo linawakwaza hana budi kukaa kikao na Mabalozi wa hizo nchi mbili hili kuondowa changamoto zilizopo kwa maslahi ya Watanzania.

Kuna issue ya Viza ya Marekani na Canada zimeleta sintofahamu kubwa sana na usumbufu.

Ubalozi wa Marekani Mtanzania ukitaka kuomba viza inabidi usubiri appointment schedule ya miezi 6.

Na kwa upande wa Canada ni siku 400 plus maana yake ni mwaka na kitu, why?

Sasa Nina maswali ambayo hayana majibu je kwa safari za dharura inakubalika kupata viza kwa short appointment schedule?

Pili kwa mtu wa safari ya kawaida unaruhusiwa kuomba viza nje ya Tanzania au kuna balozi za Marekani nchi zipi tunaweza kwenda kuomba viza huko kuliko kusubili miezi 6?

Vipi wizara yetu foreign affairs hawaoni huu usumbufu wanaotupa hawa USA na Canada?

Mbona Shenghen countries viza zao hazina usumbufu? Waziri wa foreign affairs akiambiwa yeye asubili viza interview schedule kwa miezi 6 angekubali?

Hebu tulijadili hili, kama wewe ni msafiri hili moja kwa moja linakuhusu.

Cc@Kiranga Bufa Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla Maghayo


Huna haki yeyote ngozi nyeusi, bora ujue mapema.
 
Wakuu kuna hili swala la viza ya Marekani na Canada nadhani si la kukaliwa kimya.

Ni kweli hizo nchi zina haki na mamlaka ya kuamuwa wanavyotaka lakini waziri wetu wa foreign affairs linapotokea jambo linawakwaza hana budi kukaa kikao na Mabalozi wa hizo nchi mbili hili kuondowa changamoto zilizopo kwa maslahi ya Watanzania.

Kuna issue ya Viza ya Marekani na Canada zimeleta sintofahamu kubwa sana na usumbufu.

Ubalozi wa Marekani Mtanzania ukitaka kuomba viza inabidi usubiri appointment schedule ya miezi 6.

Na kwa upande wa Canada ni siku 400 plus maana yake ni mwaka na kitu, why?

Sasa Nina maswali ambayo hayana majibu je kwa safari za dharura inakubalika kupata viza kwa short appointment schedule?

Pili kwa mtu wa safari ya kawaida unaruhusiwa kuomba viza nje ya Tanzania au kuna balozi za Marekani nchi zipi tunaweza kwenda kuomba viza huko kuliko kusubili miezi 6?

Vipi wizara yetu foreign affairs hawaoni huu usumbufu wanaotupa hawa USA na Canada?

Mbona Shenghen countries viza zao hazina usumbufu? Waziri wa foreign affairs akiambiwa yeye asubili viza interview schedule kwa miezi 6 angekubali?

Hebu tulijadili hili, kama wewe ni msafiri hili moja kwa moja linakuhusu.

Cc@Kiranga Bufa Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla Maghayo
Tatizo la wabongo mnachagua ccm mnataka mkibilie us na Canada tulia hapa mkale matunda ya kazi yenu,wao wangekuwa wavivu nchi zao zingekua hivyo,au kama vipi omba visa ya Urusi ni rahisa sana kuipata,Jana wamezindua bomu kubwaaa la masafa marefu kuwaitokea.
 
Tatizo la wabongo mnachagua ccm mnataka mkibilie us na Canada tulia hapa mkale matunda ya kazi yenu,wao wangekuwa wavivu nchi zao zingekua hivyo,au kama vipi omba visa ya Urusi ni rahisa sana kuipata,Jana wamezindua bomu kubwaaa la masafa marefu kuwaitokea.
Sijawahi kuonaga mtu mzima kichwani aliyetoka Urusi, refer Dr Shika.
 
Acha fikra potofu,wewe Kama umekubali kusubilia kifia bongo tulia,hii inshu inatuusu tunaojielewa
Badala upambane unawaza kukumbia tulia, katika ile mitano bado miwili Kisha mitano tena.

Jiulie swali kwanini raia wa us na Canada wakitaka Kuja bongo wanagonga free entries kwanini isiwe sawa na kwetu kwenda USA na Canada? Wabongo tutulia tule matunda ya mitano tena ndio aya.
 
19310898_803.webp

Image: picture-alliance/AA/H. Turkia
Many migrants from Africa do not know what awaits them in Europe. Upon arrival they are faced with the bitter reality that Europe is not paradise. Some opt to return home and try to make it there after all.
Source DW
 
Shirika la Human Rights Watch na Amnesty International wanasema Canada inawashikilia maelfu ya waomba hifadhi kila mwaka katika mazingira ya unyanyasaji ambapo watu wenye rangi tofauti (hususani weusi) wanaonekana kushikiliwa kwa muda mrefu mahabusu wakiwa wanasubiri vibali vya kuishi nchini humo.

Kwa lugha nyepesi, baada ya kupata Visa hapa Tanzania halafu ukaenda huko kutaka kuzama, utakamatwa na kuwekwa kizuizini/mahabusu mpaka kieleweke.

Watanzania msidanganywe kwenda kutumika huko!
 
Badala upambane unawaza kukumbia tulia, katika ile mitano bado miwili Kisha mitano tena.

Jiulie swali kwanini raia wa us na Canada wakitaka Kuja bongo wanagonga free entries kwanini isiwe sawa na kwetu kwenda USA na Canada? Wabongo tutulia tule matunda ya mitano tena ndio aya.
shida ya Kwanza ni ngozi yetu,shida ya pili nchi yetu+viongozi wetu.anyway ila Mimi nitatoka tu.ila wewe uko wapi?
 
Kuna taarifa kuwa baada ya Corona Canada walitowa viza nyingi sana kwa Waafrica na hasa ukanda wetu.

Kuna video clip zilisambaa watu Waafrica hawana shelter na wanafosi Asylum seeker, je kuna ukweli wowote? Na hili limechangia kwa Wacanada kufanya wasieleweke na kubania viza?
Wakenya hao waliingia wengi na kuomba asylum,wacanada wameshtuka ndio maana wanabana kutoa visa
 
Badala upambane unawaza kukumbia tulia, katika ile mitano bado miwili Kisha mitano tena.

Jiulie swali kwanini raia wa us na Canada wakitaka Kuja bongo wanagonga free entries kwanini isiwe sawa na kwetu kwenda USA na Canada? Wabongo tutulia tule matunda ya mitano tena ndio aya.
Atake asitake ni mitano tena.😀😀
 
Badala upambane unawaza kukumbia tulia, katika ile mitano bado miwili Kisha mitano tena.

Jiulie swali kwanini raia wa us na Canada wakitaka Kuja bongo wanagonga free entries kwanini isiwe sawa na kwetu kwenda USA na Canada? Wabongo tutulia tule matunda ya mitano tena ndio aya.
Siyo kweli, tusidanganyane. Hakuna "free entry" kwa raia wa US na Canada kuingia Tanzania. Wanalipia visa, tena inategemea anakuja kufanya nini. Sema wao hawasubiri kupata,wanagongewa kabla au wanapoingia, siku hizi kuna e visa, kwa mtandao tu. Sio kama sisi tukitaka kwenda kwao tungoje.

Jionee gharama za visa wanazolipia wao:

Screenshot_20230902_213356_Chrome.jpg
 
Siyo Canada tu, hata Uingereza nimekweda bila viza 1995.
Siyo kweli. 1995 UK ilikuwa tayari unahitajika kuwa na Visa kabla hujaenda.

Tena walianza kuwa strict 1992/3 kwa Wimbi la wasomali lililokuwa linakwenda, Tanzania tulikuwa tunawapa passport wasomali kama njugu, baada ya kupinduliwa Siad Barre 1991.

Tuliharibu miaka ya 80's

1995 Labda ndege walikupakia kimagendo bila visa.
 
Back
Top Bottom