Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #61
Punguza ujuwaji, walioharibu Uingereza ni wapemba baada ya Maalim Seif kuporwa ushindi na Ccm kwenye uchaguzi wa 1995 wapemba wengi na vijana wajanjawajanja wa kariakoo walikimbilia Uingereza na claim yao wote ilikuwa ni political asylum.Siyo kweli. 1995 UK ilikuwa tayari unahitajika kuwa na Visa kabla hujaenda.
Tuliharibu miaka ya 80's
Labda ndege walikupakia kimagendo.
Benjamin FernandezMkienda huko mnafaidika Nini? Mbona hatuoni Mabilionea kutokea US na Canada Bali ni Akina Vunjabei na dai wa hapahapa?
Jambo lakushangaza sana pamoja na kuishi kwenye nchi tajiri ccm wameuza uridhi wetu na kututumbukiza kwenye dimbwi la umasikini kwaujinga wetu wenyewe,leo hii maisha magumu ukitaka kukimbia unakutana na vikwazo vya visa, ccm watuambia ni wavivu tunadeka tujiajiri.Shirika la Human Rights Watch na Amnesty International wanasema Canada inawashikilia maelfu ya waomba hifadhi kila mwaka katika mazingira ya unyanyasaji ambapo watu wenye rangi tofauti (hususani weusi) wanaonekana kushikiliwa kwa muda mrefu mahabusu wakiwa wanasubiri vibali vya kuishi nchini humo.
Kwa lugha nyepesi, baada ya kupata Visa hapa Tanzania halafu ukaenda huko kutaka kuzama, utakamatwa na kuwekwa kizuizini/mahabusu mpaka kieleweke.
Watanzania msidanganywe kwenda kutumika huko!
Unafikiri Kwanini watanzania tuchukuliwa kama katuni na developed countries?Siyo kweli, tusidanganyane. Hakuna "free entry" kwa raia wa US na Canada kuingia Tanzania. Wanalipia visa, tena inategemea anakuja kufanya nini. Sema wao hawasubiri kupata,wanagongewa kabla au wanapoingia, siku hizi kuna e visa, kwa mtandao tu. Sio kama sisi tukitaka kwenda kwao tungoje.
Jionee gharama za visa wanazolipia wao:
View attachment 2737015
Huyo hajapatia hela usa ni mtoto wa bilionaire alisomeshwa havard akapewa mtaji na babaBenjamin Fernandez
Nala CEO
usiandike uongoWatanzania kweli vichwa vyetu vina upungufu wa madini. Ina maana hamkuelewa tu walichowaambia?
Mliambiwa muoane (mpelekeane moto) wanaume kwa wanaume, na wanawake kwa wanawake ili mpate misaada yao. Kesho nendeni wanaume mmevaa sketi, blauzi, make up, mawigi na makope muone visa mnapewa chap chap!!!
Kwa sisi ambao hatuna shida na hizo visa wala green card zao tuacheni na tanganyika yetu! Tutabanana humu humu mpaka mtoto wa Maryamu atakaporudi tena kwa mara ya pili kuja kuweka mahesabu sawa![emoji28][emoji28][emoji28]
Raia wa Us akienda Tanzania anaomba visa na anailipia mkuu. Canadians ndio wanagonga entryBadala upambane unawaza kukumbia tulia, katika ile mitano bado miwili Kisha mitano tena.
Jiulie swali kwanini raia wa us na Canada wakitaka Kuja bongo wanagonga free entries kwanini isiwe sawa na kwetu kwenda USA na Canada? Wabongo tutulia tule matunda ya mitano tena ndio aya.
Hata kama wanalipia lakini kwangu kama msafiri naona ni nafuu na rahisi kuliko sisi kutoka huku kwenda kwao.Raia wa Us akienda Tanzania anaomba visa na anailipia mkuu. Canadians ndio wanagonga entry
Yeye alisema hawahitaji visa ndio maana nikamfafanulia hayo. Sikuongelea urahisi wala ugumu.Hata kama wanalipia lakini kwangu kama msafiri naona ni nafuu na rahisi kuliko sisi kutoka huku kwenda kwao.
Ila katika international travel kinacho matter ni Passport yako na sio mfuko wako.