Suala la VPN walengwa ni wapinzani, watumia VPN kuepuka gharama za mabando na kucheki mambo binafsi ondoeni hofu

Suala la VPN walengwa ni wapinzani, watumia VPN kuepuka gharama za mabando na kucheki mambo binafsi ondoeni hofu

Mkuu una ufahamu wowote kuhusu VPN. Tunnel ?

Ni application ambazo unaweza kutumia payload au SSH kupata huduma ya Internet bute bila kutoa Thumni sasa mkuu unapochepusha Matumizi ambayo ungepaswa ununue unafikiri wale wanaongeza kipi?

watakuwa wanatumia fedha nyingu kuendesha kampuni while kuna watu wanatumia minala yao bila kulipia huku wakipata Private gain..

Ila kwenye Hizi Tunnel wahanga wakubwa ni TTCL na Airtel, Tigo sio sana cuz wanatoa Slow speed..
Ila TTCL unaweza kutumia Mpaka 1TB kwa mwezi..

Ila bora wapigww kitu kizito maana na wenyewe wamezidi kutapeli Aisee
Washakula hela sana.
Ukijiunga kifurushi cha siku halafu ukabakiza dakika, sms na data huwa wanazipeleka wapi wakati umezinunua?
Unashangaa kifurushi kina dk, sms na mb lkn ikifika muda wanachukua.
Hasara, nishapata sana.
 
Hata mimi nilikuwa mbishi zaidi yako. Hicho ulichoandika nilikuwa naamini hivyo hivyo ni kweli ila upande wa pili wanatumia vyote.
Upo sawa kwasababu lengo kuu ni hilo uliloliandika na la pili ni kutumia internet bure. Siyo VPN zote zinazotoa free internet
Nilipakua Fast and furious X yenye mb 450 nikiwa na salio la 0 na nikaangalia.
Hakuna vpn itakayokusaidia kutumia internet bure vpn ipo kwaajili ya kuzifungua zile site zinazokuwa zimefungwa na serikali
Dunia ya tech hii.
 
Tangu lini tapeli akapata hasara?
Hiyo mitandao ni matapeli na kila siku wanabadilisha vifurushi. Angalia uchumi wa wawatanzania wengi halafu kwa 1000 unapata mb 450 kweli?
Leo kupata 10gb lazima uwe na 20,000.
Umeweka hizo VPN kimakusudi sijui unamkomoa nani? Hizo vpn sijawahi kutumia, natumia zingine kabisa na ni mtelezo.
Mitandao ya simu imekuwa mitapeli sana acha nao watapeli.
Kipindi kile 1gb kwa buku, nani alikuwa anahangaika na VPN? Mimi mwenyewe nilikuwa sijui VPN ila nilipoona bando kila siku zinabadilika, nikaanza kwa Droid ila sasa situmii tena, nina chombo jipya. Siwazi bando.
Muvi ya 1.4Gb ununue bando la 3,000 mpk 4,000 ndiyo upakue? Hapana, wapate hasara tu, mimi sina msaada nao.
Aliyekwambia Bundle lipo Juu sababu ya Mitandao ni nani ? Kikulacho ki Nguoni Mwako, Serikali yako ndio inakoroga as usual....
 
Aliyekwambia Bundle lipo Juu sababu ya Mitandao ni nani ? Kikulacho ki Nguoni Mwako, Serikali yako ndio inakoroga as usual....
Ni sawa ila kununua bando hapana
 
Ni sawa ila kununua bando hapana
Kabla Serikali hajarikoroga Mitandao ilikuwa inashindana kutoa Bundles yaani mpaka wengine wanatoa za bure usiku wa manane siku wote ni kama Bei wanacheza mule mule (ukiangalia vizuri tozo za serikali na bei elekezi zinachangia)
 
Kabla Serikali hajarikoroga Mitandao ilikuwa inashindana kutoa Bundles yaani mpaka wengine wanatoa za bure usiku wa manane siku wote ni kama Bei wanacheza mule mule (ukiangalia vizuri tozo za serikali na bei elekezi zinachangia)
Ni kweli walikuwa wanaingiza hela nyingi sana.
Mimi mwenyewe nilikuwa sijui VPN ila gharama za bando zilivyojuu ikabidi nitafute chaka ndiyo nikakutana na droid vpn ambaye wameshaifungia.
Nimeokoa pesa nyingi sana maana nilikuwa najiunga bando 1500 voda ila kila siku wanazidi kupunguza mb, dk mpk sms.
Nikaona hapa nitakuwa natumia hela nyingi sana kwa matumizi ya kawaida. Ndiyo nikakutana na droid, kinakatakata ila kilinisaidia sana ndipo nikakutana na machimbo mengi ni mtelezo tu
 
"Serikali corrunpt haikusanyi kodi ,itabaki kukumibizana na mama ntilie mitaani" - J.K Nyerere - 1922 - 14.10.1999

Serikali corrupt haikusanyi kodi itabaki kukumbizana na wapinzani -2nd version - 14.10.2023
 
Mkuu umefunga pm. Msaada wa machimbo please
Ni kweli walikuwa wanaingiza hela nyingi sana.
Mimi mwenyewe nilikuwa sijui VPN ila gharama za bando zilivyojuu ikabidi nitafute chaka ndiyo nikakutana na droid vpn ambaye wameshaifungia.
Nimeokoa pesa nyingi sana maana nilikuwa najiunga bando 1500 voda ila kila siku wanazidi kupunguza mb, dk mpk sms.
Nikaona hapa nitakuwa natumia hela nyingi sana kwa matumizi ya kawaida. Ndiyo nikakutana na droid, kinakatakata ila kilinisaidia sana ndipo nikakutana na machimbo mengi ni mtelezo tu
 
Back
Top Bottom