Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mazoea Yana TABU....
Wako Wanaosema ni SADAKA KWA WANAOKUJA KUMZIKA MAREHEMU kwa kuwa huwajui hali zao walizonazo na walizotoka nazo.
(Ukichunguza ni kweli kwani wako wanaopata habari za msiba wakiwa kwenye mishe zao na hawana kitu ukiacha nauli,wako wale ambao walikuwa wanakaribia kwenda majumbani kwao,wakaghairi na kuja msibani huku wakiwa matumbo matupu Kabisa,wako wale walalahoi ambao habari za msiba zimewafikia na wana nguvu ya kuja msibani na msiba wenyewe UNAWAHUSU,wako vijana wadogo under 18 ambao hawana vipato vya kazi lakini wana ari ya kuja msibani kwa mpendwa wao).
N.B Sijapatapo kuona eti kwa kuwa NYUMBA YA MSIBA haijapikwa ama hawana kitu na kupelekea KUKOSA HUDUMA ZA KUMZIKA MAREHEMU na hata Kukosa ndugu watakaolala zile siku 3 za MATANGA(labda Kama wameamua iwe hivyo).
Wako Wanaosema ni SADAKA KWA WANAOKUJA KUMZIKA MAREHEMU kwa kuwa huwajui hali zao walizonazo na walizotoka nazo.
(Ukichunguza ni kweli kwani wako wanaopata habari za msiba wakiwa kwenye mishe zao na hawana kitu ukiacha nauli,wako wale ambao walikuwa wanakaribia kwenda majumbani kwao,wakaghairi na kuja msibani huku wakiwa matumbo matupu Kabisa,wako wale walalahoi ambao habari za msiba zimewafikia na wana nguvu ya kuja msibani na msiba wenyewe UNAWAHUSU,wako vijana wadogo under 18 ambao hawana vipato vya kazi lakini wana ari ya kuja msibani kwa mpendwa wao).
N.B Sijapatapo kuona eti kwa kuwa NYUMBA YA MSIBA haijapikwa ama hawana kitu na kupelekea KUKOSA HUDUMA ZA KUMZIKA MAREHEMU na hata Kukosa ndugu watakaolala zile siku 3 za MATANGA(labda Kama wameamua iwe hivyo).