Suala la wafiwa kuandaa chakula kwa ajili ya wanaokuja kuzika ni utaratibu wa kupigwa vita

Suala la wafiwa kuandaa chakula kwa ajili ya wanaokuja kuzika ni utaratibu wa kupigwa vita

Mazoea Yana TABU....

Wako Wanaosema ni SADAKA KWA WANAOKUJA KUMZIKA MAREHEMU kwa kuwa huwajui hali zao walizonazo na walizotoka nazo.
(Ukichunguza ni kweli kwani wako wanaopata habari za msiba wakiwa kwenye mishe zao na hawana kitu ukiacha nauli,wako wale ambao walikuwa wanakaribia kwenda majumbani kwao,wakaghairi na kuja msibani huku wakiwa matumbo matupu Kabisa,wako wale walalahoi ambao habari za msiba zimewafikia na wana nguvu ya kuja msibani na msiba wenyewe UNAWAHUSU,wako vijana wadogo under 18 ambao hawana vipato vya kazi lakini wana ari ya kuja msibani kwa mpendwa wao).

N.B Sijapatapo kuona eti kwa kuwa NYUMBA YA MSIBA haijapikwa ama hawana kitu na kupelekea KUKOSA HUDUMA ZA KUMZIKA MAREHEMU na hata Kukosa ndugu watakaolala zile siku 3 za MATANGA(labda Kama wameamua iwe hivyo).
 
Je, mchungaji aliyekuja kuzika anapochukua sadaka yake kwani ni yeye kafiwa? Yaache yakae yalivyo watu siku hizi hawafikiri zaidi ya pua yao
Ule ni wizi kama wizi mwingine.

Ndio maana tunasema dini ni utapeli kama utapeli mwingine, Mungu hayupo.

Eti kwenye msiba mchungaji ama padri anakusanya sadaka ni mali yake, yaani analipwa kutoa huduma ya kiroho, huduma ya kiroho inalipiwaje hasa kwenye msiba?
 
mkuu msibani si kuna michango alafu mfiwa huusiki kupika kwa uzoefu wangu wamama ndio huwa busy kuchakata mambo ya chakula kupitia michango labda kama wewe huwa hushiriki misiba ya wenzako so wanakususia alafu kuna utaratibu familia hujiwekea kama sisi mchango minimum ni elfu 50 labda uwe na kipato cha chini sana na tunajua kweli huna
Huyu hashirikiani na wenzie mtaani anapoishi!
 
Suala hili lipigwe vita vikali sana kwa sababu ni sherehe tu ndio inayo namna ya kupika ili waliokuja kwenye hiyo shughuli wapate kula.

Haiwezekani umefiwa na kipenzi chako alafu hapo hapo unawapikia wanaokuja kumzika wale washibe waende zao.

Wale wanaokuja kukupa pole na kuzika ndo wakupe chakula cha wewe kula kwa sababu umepatwa na msiba,umeshughulishwa na kuondoka kipenzi chako alafu inakuwaje uwaze kuwapikia wanaokuja kkuzika,hiyo sio sherehe.

Mtu anatoka nyumba ya pili tu hapo alafu anataka kuja kula kwako uliyefiwa haoni haya kabisa.

Nilishatangaza nyumbani kuwa nikifiwa na mtu aliyeko ndani ya mamlaka yangu chakula ni kwa ajili ya familia tu kama kawaida na wale wageni wa mbali ambao hata bila msiba wangepikiwa na sio vinginevyo.

Ndugu wengi wakimaliza maziko wanabaki na madeni yasiyo ya lazima kwa sababu ya kutimiza utaratibu waliokuta katika jamii licha ya kuwa unawaumiza utaratibu huo lakini wamo tu.

Mfiwa kupika chakula ni sawa na mwenye sherehe kupika chakula

,kama kweli wameguswa na msiba wako wao ndo wakuletee chakula wewe msibiwa.


Haswa swahibu, ni ukweli mtupu usiokuwa na shaka.100% ✔✔

Utamuona mtu eti anaenda msibani kwa ajili ya kula tu, yeye siku zote ni kuangalia wapi kuna msiba ili ale. Na asiposhiba utamuona akihangaika kupata shani nyingine, akishiba utasikia akisema; "huu ubwabwa mtamu", kasahau kabisa kwamba pale ni msibani na ni jukumu la watu kuwachangia wafiwa rambirambi kama faraja kwao.

Jambo linalotakiwa ni kwa wafiwa kuweka ngumu kupikia watu wa karibu chakula ili somo lizoeleke miongoni mwa jamii zetu, na hakika hili ni fundisho la uisilamu.

Hongera swahibu kwa kutukumbusha jambo hili.✔✔
 
Suala hili lipigwe vita vikali sana kwa sababu ni sherehe tu ndio inayo namna ya kupika ili waliokuja kwenye hiyo shughuli wapate kula.

Haiwezekani umefiwa na kipenzi chako alafu hapo hapo unawapikia wanaokuja kumzika wale washibe waende zao.

Wale wanaokuja kukupa pole na kuzika ndo wakupe chakula cha wewe kula kwa sababu umepatwa na msiba,umeshughulishwa na kuondoka kipenzi chako alafu inakuwaje uwaze kuwapikia wanaokuja kkuzika,hiyo sio sherehe.

Mtu anatoka nyumba ya pili tu hapo alafu anataka kuja kula kwako uliyefiwa haoni haya kabisa.

Nilishatangaza nyumbani kuwa nikifiwa na mtu aliyeko ndani ya mamlaka yangu chakula ni kwa ajili ya familia tu kama kawaida na wale wageni wa mbali ambao hata bila msiba wangepikiwa na sio vinginevyo.

Ndugu wengi wakimaliza maziko wanabaki na madeni yasiyo ya lazima kwa sababu ya kutimiza utaratibu waliokuta katika jamii licha ya kuwa unawaumiza utaratibu huo lakini wamo tu.

Mfiwa kupika chakula ni sawa na mwenye sherehe kupika chakula

,kama kweli wameguswa na msiba wako wao ndo wakuletee chakula wewe msibiwa.
Jomba hujui watu wanakulaga michango yao....
 
Kiuhalisia hili swala linakera.
Juzi nomepakiwa na bodaboda alikua analalamika jana yake wametoka kuzika na familia haikuwa na kitu...ikalazimika kukopa na kuandaa chakula kidogo nacho hakikutosha raia wakaanza kulalamika kuwa hawakushiba!
Halafu kuna mijitu inashinda msibani kuanzia asubuhi hadi usiku yupo tu na anakula chakula bila kuchangia hata senti eti anamfariji mfiwa, wengine wanalalamika msibani unakuta nyumba imejaa watu wanalala sebuleni, vyumbani hadi nje.
Ni utaratibu wa kipuuzi sana, wanatakiwa wabaki watu wachache wa karibu wasiozidi kumi.
 
Suala hili lipigwe vita vikali sana kwa sababu ni sherehe tu ndio inayo namna ya kupika ili waliokuja kwenye hiyo shughuli wapate kula.

Haiwezekani umefiwa na kipenzi chako alafu hapo hapo unawapikia wanaokuja kumzika wale washibe waende zao.

Wale wanaokuja kukupa pole na kuzika ndo wakupe chakula cha wewe kula kwa sababu umepatwa na msiba,umeshughulishwa na kuondoka kipenzi chako alafu inakuwaje uwaze kuwapikia wanaokuja kkuzika,hiyo sio sherehe.

Mtu anatoka nyumba ya pili tu hapo alafu anataka kuja kula kwako uliyefiwa haoni haya kabisa.

Nilishatangaza nyumbani kuwa nikifiwa na mtu aliyeko ndani ya mamlaka yangu chakula ni kwa ajili ya familia tu kama kawaida na wale wageni wa mbali ambao hata bila msiba wangepikiwa na sio vinginevyo.

Ndugu wengi wakimaliza maziko wanabaki na madeni yasiyo ya lazima kwa sababu ya kutimiza utaratibu waliokuta katika jamii licha ya kuwa unawaumiza utaratibu huo lakini wamo tu.

Mfiwa kupika chakula ni sawa na mwenye sherehe kupika chakula

,kama kweli wameguswa na msiba wako wao ndo wakuletee chakula wewe msibiwa.
Uchoyo na roho mbaya vinakusumbua,
 
Back
Top Bottom