Suala la wamachinga; Nchi imekomaa au upinzani umepata pigo kwenye mfumo wake wa uzazi?

Suala la wamachinga; Nchi imekomaa au upinzani umepata pigo kwenye mfumo wake wa uzazi?

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
Kwa kawaida tulitarajia...
1: Wamachinga waandamane na kufanya fujo.
2: Kuona wapinzani wakiitumia hii kama fursa ya kujijenga kisiasa.

UHALISIA
1: Wamachinga wametii haraka tena kwa ustaarabu ambao haujawahi kuwepo.
2: Wapinzani hawana time nao. Wala hakuna anayejishughulisha nao.

TATIZO NI NINI NAJIULIZA.
Je, Nchi imekuwa na kustaarabika kiasi kwamba jambo ambalo ni kosa sasa haliungwi mkono kishabiki.
Je, Upinzani umedumaa kiasi hakuna kizazi kipya cha kupokea kizazi fifishi cha wakina Mnyika,Zitto, Lema, etc
Je, Bado tuna Magufuliphobia. Aliposema kitu hata bila kujali ni sahihi au sio sahihi kukipinga ilikuwa ni kama kupingana na nchi.

nini maoni yako
 
Ngoja nisome maoni ya wadau hapa hakika nitajifunza jambo.
 
Wanajua policcm hawatawaacha .kwani kwa aquilina ilikuaje??maandamano kdogo mabomu na risasi juu.
 
Tatizo watanzania kila kitu kinafanyika kisiasa what about professionalism? Tubadilike basi ibaki wakati tufikiri katika angle ya kitaalam nachukia siasa lakin nahitaji kudeal nayo vilevile kwakua inagusa maisha na maslahi yangu. Hapo ndio nazid kuchoka
 
Kwa kawaida tulitarajia...
1: Wamachinga waandamane na kufanya fujo.
2: Kuona wapinzani wakiitumia hii kama fursa ya kujijenga kisiasa...
Wamachinga wametii wapi?
Upo Dar es Salaam hii?
Pita Manzese.
 
Kwa kawaida tulitarajia...
1: Wamachinga waandamane na kufanya fujo.
2: Kuona wapinzani wakiitumia hii kama fursa ya kujijenga kisiasa.

UHALISIA
1: Wamachinga wametii haraka tena kwa ustaarabu ambao haujawahi kuwepo.
2: Wapinzani hawana time nao. Wala hakuna anayejishughulisha nao.

TATIZO NI NINI NAJIULIZA.
Je, Nchi imekuwa na kustaarabika kiasi kwamba jambo ambalo ni kosa sasa haliungwi mkono kishabiki.
Je, Upinzani umedumaa kiasi hakuna kizazi kipya cha kupokea kizazi fifishi cha wakina Mnyika,Zitto, Lema, etc
Je, Bado tuna Magufuliphobia. Aliposema kitu hata bila kujali ni sahihi au sio sahihi kukipinga ilikuwa ni kama kupingana na nchi.

nini maoni yako
Nani alikudanganya kuwa wapinzani wanataka uchafu uliokuwa umetapakaa mijini? Cheap popularity ya kuwadekeza machinga huku sheria za mini zikivunjwa waziwazi.
 
Wapinzani hawapo,ila wapo watu waliotumwa na mabeberu kubwabwaja.

Tangu Lissu na Mbowe watangaze maandamano yasiyokoma na wao wenyewe Wala familia zao hazikutokea!.Watu waligundua wao ndo ulikuwa mtaji wa upinzani.
 
Kwa kawaida tulitarajia...
1: Wamachinga waandamane na kufanya fujo.
2: Kuona wapinzani wakiitumia hii kama fursa ya kujijenga kisiasa.

UHALISIA
1: Wamachinga wametii haraka tena kwa ustaarabu ambao haujawahi kuwepo.
2: Wapinzani hawana time nao. Wala hakuna anayejishughulisha nao.

TATIZO NI NINI NAJIULIZA.
Je, Nchi imekuwa na kustaarabika kiasi kwamba jambo ambalo ni kosa sasa haliungwi mkono kishabiki.
Je, Upinzani umedumaa kiasi hakuna kizazi kipya cha kupokea kizazi fifishi cha wakina Mnyika,Zitto, Lema, etc
Je, Bado tuna Magufuliphobia. Aliposema kitu hata bila kujali ni sahihi au sio sahihi kukipinga ilikuwa ni kama kupingana na nchi.

nini maoni yako
Mkuu mitale Ulipoteaga wapi? Hadi kwenye comments nyingi humu Nilikuwaga na kutag. Kuna uzi wako flani nilipata darsa. Ni ile ukiwa kwenye hadhara jitahidi sana kuwa msikilvu siyo muongeaji sana. Dan faure kwenye iyo avatar picha yako alishindwa kwenye uchaguzi ushelisheli nilikurag mara nyingi sana.

Karibu jamvin tena
 
Kwa kawaida tulitarajia...
1: Wamachinga waandamane na kufanya fujo.
2: Kuona wapinzani wakiitumia hii kama fursa ya kujijenga kisiasa.

UHALISIA
1: Wamachinga wametii haraka tena kwa ustaarabu ambao haujawahi kuwepo.
2: Wapinzani hawana time nao. Wala hakuna anayejishughulisha nao.

TATIZO NI NINI NAJIULIZA.
Je, Nchi imekuwa na kustaarabika kiasi kwamba jambo ambalo ni kosa sasa haliungwi mkono kishabiki.
Je, Upinzani umedumaa kiasi hakuna kizazi kipya cha kupokea kizazi fifishi cha wakina Mnyika,Zitto, Lema, etc
Je, Bado tuna Magufuliphobia. Aliposema kitu hata bila kujali ni sahihi au sio sahihi kukipinga ilikuwa ni kama kupingana na nchi.

nini maoni yako
Kuhusu Machinga, hukumwelewa Hayati Magufuli, na kama ulimwelewa una chuki binafsi. Ebu msikilize kwa umakini.
 
Wamachinga wametii!? Endelea kujidanganya. Amos makala na genge lake wamebomoa mabanda na kuharibu mali zao usiku wa manane, wewe utaonea wapi hayo!? Njaa haina bingwa, bado machinga wanaendelea kupanbana barabarani.
 
Nani kakudanganya kua wamachinga wamekubali ww nenda kkoo ukakutane nao au popote ulipo waulize uamuzi wa kuondolewa km wameuchukuliaje ndo utapata jibu ...pia naona vyombo vyetu vya habari sijui hata vinakazi gani hata kufuatilia suala km hili hutaona.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Tupo n
Kwa kawaida tulitarajia...
1: Wamachinga waandamane na kufanya fujo.
2: Kuona wapinzani wakiitumia hii kama fursa ya kujijenga kisiasa.

UHALISIA
1: Wamachinga wametii haraka tena kwa ustaarabu ambao haujawahi kuwepo.
2: Wapinzani hawana time nao. Wala hakuna anayejishughulisha nao.

TATIZO NI NINI NAJIULIZA.
Je, Nchi imekuwa na kustaarabika kiasi kwamba jambo ambalo ni kosa sasa haliungwi mkono kishabiki.
Je, Upinzani umedumaa kiasi hakuna kizazi kipya cha kupokea kizazi fifishi cha wakina Mnyika,Zitto, Lema, etc
Je, Bado tuna Magufuliphobia. Aliposema kitu hata bila kujali ni sahihi au sio sahihi kukipinga ilikuwa ni kama kupingana na nchi.

nini maoni yako
Tupo busy na kesi mliyomzushia Dkt Mbowe, kenge nyie
 
Kwa kawaida tulitarajia...
1: Wamachinga waandamane na kufanya fujo.
2: Kuona wapinzani wakiitumia hii kama fursa ya kujijenga kisiasa.

UHALISIA
1: Wamachinga wametii haraka tena kwa ustaarabu ambao haujawahi kuwepo.
2: Wapinzani hawana time nao. Wala hakuna anayejishughulisha nao.

TATIZO NI NINI NAJIULIZA.
Je, Nchi imekuwa na kustaarabika kiasi kwamba jambo ambalo ni kosa sasa haliungwi mkono kishabiki.
Je, Upinzani umedumaa kiasi hakuna kizazi kipya cha kupokea kizazi fifishi cha wakina Mnyika,Zitto, Lema, etc
Je, Bado tuna Magufuliphobia. Aliposema kitu hata bila kujali ni sahihi au sio sahihi kukipinga ilikuwa ni kama kupingana na nchi.

nini maoni yako
Karibu Tanzania na pole kwa safari.
Hao wamachinga mbona bado tunao na wanaendelea na shughuri zao kama kawaida, lakini hao akina Shaka, Musukuma na Polepole wanaowatetea wamachinga ni wapinzani? Tatizo ulilonalo ni kuwa na akili iliyoganda, ikiyeyuka swala la machinga hautalihusisha na vyama vya siasa.
 
Ninachoona ninkama upinzania nao wameona hii ni kama tiketi au gia ya kuingilia kwenye kampeni za 2025 ndo maana kwa sasa wameamua kukaa kimya ccm wafanye wanayoyafanya.
 
Back
Top Bottom